Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

Tatizo sio degree

Kuna sababu nyingi za kupinga au kuunga hoja mada yako.

Tambua ya kwamba kila discipline ina taratibu zake.

Natolea mfano kwenye Engineering discipline.

Kuwa Engineer haimaanishi lazima ubuni au ufanye mambo makubwa sanaaa.

bali kusimamia na kutekeleza yale uliyobobea kwa ufasaha, ukiona kuna kona kona nyingi kwenye ufasaha hapo ndio tunasema huyu engineer wa mchongo.

Kwa mfano miradi ya umeme unayoona inatekelezwa kila kitu kimezalishwa na manufacturer kuanzia cables, na mitambo yote itakayotumika.

kazi ya Engineer itakua kutafsiri na kuelewa kile ambacho kimekusudiwa kulingana na taaluma aliyofunzwa.

Anatafsiri nini?

Manufacturer atamwambia hii cable ina uwezo wa kubeba mkondo wa umeme kiasi hiki, na ufungwaji wake uwe wa namna hii kulingana na testing zilizofanywa na mtengenezaji.

Kwa elimu aliyopata ya engineer ni rahisi zaidi kutekeleza maelekezo ya mzalishaji kuliko mtu asie na taaluma husika kwasababu kuna mambo mengi engineer amajifunza darasani yanayoendana na anachokifanya kwa wakati husika.

Hivyo hivyo kwa taaluma zingine iwe sheria, afya na mengineyo mengi.

Kwa hiyo mtu abezwe kwa ufanisi wake sio alichosomea.
Sawa toa ubunifu toa mambo makubwa bado hata huko kwenye usimamizi wa miradi wataalamu wengi wakusimamia hawatoki bongo wanatoka nje. Mainjinia wabongo wengi wanaenda tarula kwenye barabara za vumbi sijui tanroad kuweka vilaKa. Wakati huhuo kuna bongo wengi hawana hizo degree na wanafanya vizuri sanasana kwenye umeme.
 
Sawa ila ni Elimu sahihi inayoendana na mazingira hafu elimu sahihi sio hayo madegree yasio na kazi wala kuweza kubadilisha Hali mbaya ya nchi za Africa. Hafu kitu kingine ambacho hukijui mapokeo ya elimu yapo ya aina nyingi siyo tu hiyo ya kukaa darasani nahiyo ya kukaa darasani ni Kati njia dhaifa sana ila ni rahisi kupata elimu.
Embu yataje hayo mapokeo mkuu.
 
Embu yataje hayo mapokeo mkuu.
Shule za nyumbani(home schooling), kujifundisha au kujisomea, mwenyewe(self taught),
mafunzo kazini (on job training),
Uzoefu wa kazi (apprenticeship),
Uvuvio ( inspiration)
 
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
Kwa sababu haziyaathiri maisha yako moja kwa moja au?

Hiv unajua ni nn kinasababisha Leo unaandika hapa na watu wanasoma unachokiandika?
 
Ila mainjinia wa magharibi wamiaka hiyo wenye elimu za kawaida walifanya.

Wright brothers ( high school dropper) walibuni ndege
Uko kitumwa wa historia enzi hizo hakukuwa na vyombo vya kusimamia ubora ndio maana hao wagunduzi ndege wakijaribu iliwaua


Sasa hivi huwezibuni ndege Yako huna Elimu ya Engineering na kusomea upilot ukairusha hakuna kitu kama hicho usikariri historia.
Sasa hivi ukitengeneza ndege au helikopta na hujasoma lazima waje mainjinia waliosoma kuhakiki ubora popote duniani
 
Ila mainjinia wa magharibi wamiaka hiyo wenye elimu za kawaida walifanya.

Wright brothers ( high school dropper) walibuni ndege
Uko kitumwa wa historia enzi hizo hakukuwa na vyombo vya kusimamia ubora ndio maana hao wagunduzi ndege wakijaribu iliwaua


Sasa hivi huwezibuni ndege Yako huna Elimu ya Engineering na kusomea upilot ukairusha hakuna kitu kama hicho usikariri historia.
Sasa hivi ukitengeneza ndege au helikopta na hujasoma lazima waje mainjinia waliosoma kuhakiki ubora popote duniani
 
Uko kitumwa wa historia enzi hizo hakukuwa na vyombo vya kusimamia ubora ndio maana hao wagunduzi ndege wakijaribu iliwaua


Sasa hivi huwezibuni ndege Yako huna Elimu ya Engineering na kusomea upilot ukairusha hakuna kitu kama hicho usikariri historia.
Sasa hivi ukitengeneza ndege au helikopta na hujasoma lazima waje mainjinia waliosoma kuhakiki ubora popote duniani
Hivi mimi na wewe nani Yuko kitumwa zaidi. Kwanza kabisa engineering sio Sheria ni matumizi ya sanyansi na hesabu kulingana na uchumi wa eneo uhusika Sasa huwezi lazimisha nitumie engineering ya marekani wakati marekani ametuzidi uchumi mara kaza Mfano huwezi lazimisha nitumie titanium wakati Kwangu Kuna Mbao Bora nifikirie niboreshaje Mbao iwe na uwezo kama titanium. Hayo mavyombo ya usimamizi ndio yanayowafanya muwe mafala yaani yasimimaie maarifa ambayo watu walirisk maisha Yao na familia kuyaleta nyie mnataka kuyacopy kirahisirahisi tu with empty hand.
 
Uko kitumwa wa historia enzi hizo hakukuwa na vyombo vya kusimamia ubora ndio maana hao wagunduzi ndege wakijaribu iliwaua


Sasa hivi huwezibuni ndege Yako huna Elimu ya Engineering na kusomea upilot ukairusha hakuna kitu kama hicho usikariri historia.
Sasa hivi ukitengeneza ndege au helikopta na hujasoma lazima waje mainjinia waliosoma kuhakiki ubora popote duniani
Ndio maana bongo wanajiita mainjinia walikaririshwa engineering wamekua mabodaboda, madalali, wachuuzi, Jobseeker
Na wanasiasa wasomi wamegeuka ombaomba huku wakizunguka kutafuta wawekezaji huku wakiaminishwa maarifa yaliyopo ndio Sheria Kwamba huwezi fanya nje ya hayo maarifa ya ughaibuni. Ndio maana nchi inaishia kuwa maskini na ombaomba

Lakini watu ambao hakuwapita darasani walipata elimu Kwa njia nyingine ndio wamekua waendasha uchumj wa nchi watu kama artisian miner, Mafundi ujenzi, mafundi umeme, wakulima.
 
Naungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
Daa😭😭😭 mwambie dogo arudi nyumbani haraka sana tena mwambie huyo mama kama anampenda mtoto wake hiyo hela ya ada ampe kama mtaji wa kitaa ,,,,dogo aendo huko chuo wanakotuibia hela zetu pale tu atakapopata mkopo na hiyo coz ni bonge la scam muonyeshe hii post huyo mama ujinga wa wazazi wetu ndo unaofanya yote haya yanatokea
 
Naungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
Shida wazazi wengi wamepata muamko wakati ambao Elimu imekua ya kitapeli zaidi Na serikali ya CCM imewahadaa sana ila na dhani wakijifunza Kwa walio tangulia kama ulivyo mshahuri itakuwa vyema
 
Back
Top Bottom