Marekani kweli ana hela hizo? mbona anadaiwa na china nasikia$60 billion Ukraine
$14 billion for Israel
$9 billion Gaza + West bank
$4.83 billion Taiwan
---
Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance for Gaza and nearly $5 billion for the Indo-Pacific.
Meanwhile Biden is putting veterans behind Non citizens for healthcare, using resources for them.
Sasa kila anayepewa pesa au kukopeshwa unadhani ni maskini kama Tanzania pengine wanafanya majaribio yao sasa wanahitaji utaalam na msaada kutoka USA ndio maana yakatoka hayo maela kwanza ni mapesa mengi sana usa haijawahi kutupa sisi msaada au mkopo wa mara moja kwa kiwango hivyo hapo juu..Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?
Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo
Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
Aliyekuambia ya kwamba nchi ikiwa inadaiwa ndio inakosa bajeti ni nani?ma
Marekani kweli ana hela hizo? mbona anadaiwa na china nasikia
Marekani iliwahi saidia Urusi, China, Japan, South Korea, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Israel, etc.Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?
Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo
Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
Marekani waliwakopesha warusi silaha na deni nafikiri limekwisha lipwa, China walishirikiana na US kumtandika Japan China lengo lake kumtoa Japan China na US kumshinda Japan baada ya uchokozi wake U.S, naye German ilikuwa ni silaha na mikopo.Marekani iliwahi saidia Urusi, China, Japan, South Korea, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Israel, etc.
Taiwan inahitaji msaada wa Marekani, na huwa inaomba kabisa.
Issue ya Korea kusini nayo ilikuwa ya kimaslahi zaidi ya kipebari na ukomunisti na ndio maana NK ilikuwa na backup ya ChinaMarekani iliwahi saidia Urusi, China, Japan, South Korea, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Israel, etc.
Taiwan inahitaji msaada wa Marekani, na huwa inaomba kabisa.
Lend lease kwa Soviet Union ilikuwa ni msaada. Marekani ilitoa ndege za kivita zaidi ya 10,000 na vifaru zaidi ya 6,000 pamoja na mambo mengine kwa Urusi na haikuwa loanMarekani waliwakopesha warusi silaha na deni nafikiri limekwisha lipwa, China walishirikiana na US kumtandika Japan China lengo lake kumtoa Japan China na US kumshinda Japan baada ya uchokozi wake U.S, naye German ilikuwa ni silaha na mikopo.
Kuhusu Taiwan ni mauziano ya silaha katika mtindo huo unao onekana wa kimsaada au msaada usio na mahusiano hayo ?
Naniii, Mbona Urusi ni Tajili ila inapokea Pesa za Ukimwi(USAIDS) toka Us?.Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?
Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo
Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
Lakini ni msaada, haijalishi nakusaidia nikiwa na maslahi na wewe au sina ila bado ni msaada.Issue ya Korea kusini nayo ilikuwa ya kimaslahi zaidi ya kipebari na ukomunisti na ndio maana NK ilikuwa na backup ya China
Etii mkono wa baunsa umenikumbusha mbali sana kuhusu yule mzee wa BirminghamNaniii, Mbona Urusi ni Tajili ila inapokea Pesa za Ukimwi(USAIDS) toka Us?.
Ama ni wivu tu( in Mkono wa Baunsa voice?). joke.
Huzi hela nadhani USA huo anaziprint tu .kwa kuwa zinahitajika na zikifika huo zina thamani$60 billion Ukraine
$14 billion for Israel
$9 billion Gaza + West bank
$4.83 billion Taiwan
---
Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance for Gaza and nearly $5 billion for the Indo-Pacific.
Meanwhile Biden is putting veterans behind Non citizens for healthcare, using resources for them.
NK sidhani kama ile chance ya kufika Seoul kama watakakuja kuipata tena Kim amebaki kulialia kila siku kuhusu NK kuungana na S. Korea.Lakini ni msaada, haijalishi nakusaidia nikiwa na maslahi na wewe au sina ila bado ni msaada.
Maslahi ya kibepari kwa mfano South Korea ingekuwa Communist ikafa njaa kama North Korea hao Marekani wangepungukiwa nini.
Ile Marekani inaingia vitani kuwasaidia South Korea, tiyari North Korea majeshi yake yashateka mji mkuu Seoul na yanamiliki eneo kubwa la South
Brother hiyo misaada anayotoa USA sio pesa cash mkononi bali ni misaada ya silaha, chakula, madawa n.k yenye thamani ya hizo pesa.Marekani utafikiri wanafyatua pesa kwa kutumia Press Machine na kisha kugawa, hata waarabu wanaosemwa kwamba wana hela lakini ni bahiri kama mpare huwezi kuona hela yake.
NB: Hakuna nchi isiyo na deni duniani kila nchi inadaiwa ila viwango ndio tofauti.
Wanaponiacha hoi hawa jamaa ni pale wanatoa misaada worldwide huku wakiwa na raia wao homeless wengi tu$60 billion Ukraine
$14 billion for Israel
$9 billion Gaza + West bank
$4.83 billion Taiwan
---
Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance for Gaza and nearly $5 billion for the Indo-Pacific.
Meanwhile Biden is putting veterans behind Non citizens for healthcare, using resources for them.
Kwa hiyo hizo silaha,chakula na madawa anaviokota? Siyo kwamba vinatengenezwa kwa gharama piaBrother hiyo misaada anayotoa USA sio pesa cash mkononi bali ni misaada ya silaha, chakula, madawa n.k yenye thamani ya hizo pesa.
Ubeberu ulaaniwe .....🙄🙄$60 billion Ukraine
$14 billion for Israel
$9 billion Gaza + West bank
$4.83 billion Taiwan
---
Senate gives $60 billion for Ukraine, $14 billion for Israel, $9 billion in humanitarian assistance for Gaza and nearly $5 billion for the Indo-Pacific.
Meanwhile Biden is putting veterans behind Non citizens for healthcare, using resources for them.