Seneti ya Marekani yapitisha msaada wa trilioni 152 Ukraine, Trilioni 35 Israel, Trilioni 22 Palestina, Trilioni 12 Taiwan

Seneti ya Marekani yapitisha msaada wa trilioni 152 Ukraine, Trilioni 35 Israel, Trilioni 22 Palestina, Trilioni 12 Taiwan

Wanaponiacha hoi hawa jamaa ni pale wanatoa misaada worldwide huku wakiwa na raia wao homeless wengi tu
Ni ajabu kabisa! Ni tabia mbaya ya ubinafsi na kujionesha tu mbele ya watu. Jitosheleze na kutunza kwanza nyumbani kwako kabla ya kuwasaidia wengine. Huo ndio umwamba unaofaa - kuijali familia yako kwanza.
 
NK sidhani kama ile chance ya kufika Seoul kama watakakuja kuipata tena Kim amebaki kulialia kila siku kuhusu NK kuungana na S. Korea.

Ila Park naye alikuwa na mawazo ya kuja kuivamia NK aiunganishe na SK na Park alikuwa General kabla ya mapinduzi ubaya aliuawa kabla hiyo plan yake haija fanikiwa na sidhani kama US au China wange ruhusu hilo
Kipindi Pak anafanya mapinduzi kuondoa viongozi wala rushwa South Korea, miaka ile North Korea iko developed ina viwanda vingi na huku South Korea uchumi wake ni wa msaada kutoka Marekani. Zaidi ya nusu ya fedha za kigeni za South Korea ilikuwa ni msaada wa Marekani, kuna mwaka 80% ya fedha za kigeni ni msaada wa Marekani.

General Pak akafanya mapinduzi baada ya North Korea kutumia utajiri wao na maendeleo yao kuitishia South kuivamia huku wakidai watawapa maisha mazuri. Kipindi kile hadi Marekani ikaamua ikubali matumizi ya hela iliyotoa kwa serikali ya South Korea endapo tu rushwa na ubadhirifi haujazidi 10% ya fedha. Yani kuzuia wizi ilikuwa haiwezekani kabisa kabisa, Marekani na ujanja wote ilijitahidi kupunguza.

Ila Asians ni tofauti sana na Waafrika, General Pak alipofanya mapinduzi alitumia tafiti na mipango iliyoandaliwa na serikali ya kiraia wala rushwa. Mipango mizuri sana ila hawatekelezi. Alafu Pak akafunga matajiri wote akiwaita wezi, muda mfupi akagundua sio wezi ila wanaenda na mfumo ndio akawafungua kina Samsung. Chaebols nyingine kama Hyundai na LG zikasaidiwa na serikali. Alafu akapeleka Wakorea wengi sana nje kusoma na akabadili mfumo wa umiliki wa ardhi. Miaka michache tu South ikaizidi North ambao hawa mwanzoni walibebwa na uwepo wa resources hasa coal.
 
Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?

Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo

Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
mpk sasa umewasaidia nin wapalestina mpk uanze kujaji misaada ya wenzio ?
 
Lend lease kwa Soviet Union ilikuwa ni msaada. Marekani ilitoa ndege za kivita zaidi ya 10,000 na vifaru zaidi ya 6,000 pamoja na mambo mengine kwa Urusi na haikuwa loan

Lend or lease. Marekani alikuwa anaweza kuchukua kitu chochote cha kutumia kwenye vita ile dhidi ya Nazi Germany ila sababu Urusi haikuwa na lolote la hadhi ya kuchukuliwa na Marekani, na Marekani ilijitosheleza ndio maana Urusi ikapokea tu kama Burundi inavyopokea misaada. Baadae mkataba ni wa kukodisha na kukodi, aya umekodisha ndege bure na umeziharibu au zimeharibiwa na adui, zilipe. Ndio hapo nchi zikailipa Marekani tena kwa riba ndogo sana, kwa msamaha wa deni na kwa kupewa miaka hata 40. Tabia za superpower hizo.

Taiwan ina privilege ya kuuziwa baadhi ya silaha za Marekani zisizowekwa open market. Sio kila mwenye hela anaenda US kumwaga mabilioni kununua silaha, kwa miaka kadhaa US iliblock Turkey kununua F-16 mpya mpaka mwaka huu, vilevile Turkey ilikataliwa kuuziwa Patriot ikaenda kununua S-400, Turkey hiyohiyo ilitolewa kwenye mradi wa F-35 ikarudishiwa hela. US hawauzi silaha kwa njaa.

Pia Taiwan inapewa misaada kama training ngumu ambazo sio kila nchi inapewa, na zina gharama kubwa. Inahesabika in monetary terms.
kwamba Urusi alisaidiwa kama Burundi tu ? wavaa kobaz wamekusikia kwel ?
 
Wanaponiacha hoi hawa jamaa ni pale wanatoa misaada worldwide huku wakiwa na raia wao homeless wengi tu
homelea wengi ni ndugu zenu wanaotoka amerika ya kusini na afrika pamoja na Asia bila kusahau waharifu waliokimbia Ulaya wanaenda jificha USA hawa ndo wanaichafua ile nchi
 
Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?

Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo

Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
Hapo ni silaha zimepelekwa
 
Ni ajabu kabisa! Ni tabia mbaya ya ubinafsi na kujionesha tu mbele ya watu. Jitosheleze na kutunza kwanza nyumbani kwako kabla ya kuwasaidia wengine. Huo ndio umwamba unaofaa - kuijali familia yako kwanza.
homeles wengi ni ndugu zenu wanaokimbilia USA bila mipango , ndio maana wanawaacha mitaan , China amedhibiti huo ujinga
 
Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?

Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo

Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
Wanatoa mfuko wa kushoto wanaingiza mfuko wa kulia.
 
Ni ajabu kabisa! Ni tabia mbaya ya ubinafsi na kujionesha tu mbele ya watu. Jitosheleze na kutunza kwanza nyumbani kwako kabla ya kuwasaidia wengine. Huo ndio umwamba unaofaa - kuijali familia yako kwanza.
Una hoja nzuri mkuu.....

Ila bado sio vibaya kusaidia wenye hali mbaya zaidi yao.

majimbo na majiji ya Marekani yanaweza vyema kulimudu hilo bila msaada wa Serikali KUU, tofauti na wanaowasaidia.
 
Kipindi Pak anafanya mapinduzi kuondoa viongozi wala rushwa South Korea, miaka ile North Korea iko developed ina viwanda vingi na huku South Korea uchumi wake ni wa msaada kutoka Marekani. Zaidi ya nusu ya fedha za kigeni za South Korea ilikuwa ni msaada wa Marekani, kuna mwaka 80% ya fedha za kigeni ni msaada wa Marekani.

General Pak akafanya mapinduzi baada ya North Korea kutumia utajiri wao na maendeleo yao kuitishia South kuivamia huku wakidai watawapa maisha mazuri. Kipindi kile hadi Marekani ikaamua ikubali matumizi ya hela iliyotoa kwa serikali ya South Korea endapo tu rushwa na ubadhirifi haujazidi 10% ya fedha. Yani kuzuia wizi ilikuwa haiwezekani kabisa kabisa, Marekani na ujanja wote ilijitahidi kupunguza.

Ila Asians ni tofauti sana na Waafrika, General Pak alipofanya mapinduzi alitumia tafiti na mipango iliyoandaliwa na serikali ya kiraia wala rushwa. Mipango mizuri sana ila hawatekelezi. Alafu Pak akafunga matajiri wote akiwaita wezi, muda mfupi akagundua sio wezi ila wanaenda na mfumo ndio akawafungua kina Samsung. Chaebols nyingine kama Hyundai na LG zikasaidiwa na serikali. Alafu akapeleka Wakorea wengi sana nje kusoma na akabadili mfumo wa umiliki wa ardhi. Miaka michache tu South ikaizidi North ambao hawa mwanzoni walibebwa na uwepo wa resources hasa coal.
Jamaa ni hatari sana hawa wa Asia hata madikteta wao kuna namna unaona wanavyo waza ni tofauti pamoja ya kwamba kuna muda wanapata madikteta vichaa haswa.

Mfano ukiondoa ujinga ujinga wa kina familia ya kina Kim ila kuna kitu kidogo wanakosa nacho kujifungua kimataifa na kuanza kushirikiana na mataifa mbalimbali tena NK kwa level wakijifungua sidhani kama ishi ya viwanda itakuwa vikwazo kwao.

Licha ya kwamba jamaa wametengwa haswa ila wanajitahidi ukilinganisha hata na sisi ambao hatuja tengwa na yoyote

Nina hakika NK ametuacha sisi katika maeneo mengi sana pamoja na upuuzi puuzi wa familia ya Kim lakini Asians wapo smart s
 
Wamarekani katika situation kama hizi huwa wanatoa msaada au wanatoa pesa za kununulia silaha kwa hayo maeneo I mean Ukraine and Taiwan ?

Mfano Taiwan ana hitaji msaada gani toka U.S Taiwan sio masikini kabisa na si kwamba haijiwezi hata kidogo

Taiwan ina uwezo unaowiana na Singapore, Qatar kiuchumi sio poor ni rich in everything
Kupunguza nguvu ya Uchumi wa Nchi jirani...
 
Back
Top Bottom