Dangote anadaiwa piama
Marekani kweli ana hela hizo? mbona anadaiwa na china nasikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dangote anadaiwa piama
Marekani kweli ana hela hizo? mbona anadaiwa na china nasikia
Samia alikuwa ananunua magoli ya kina Mayele huku watoto hawana vyumba vya madarasa wala madawatiWanaponiacha hoi hawa jamaa ni pale wanatoa misaada worldwide huku wakiwa na raia wao homeless wengi tu
Samia alikuwa ananunua magoli ya kina Mayele huku watoto hawana vyumba vya madarasa wala madawati
Labda kama hujawahi kuishi Marekani, katika nchi kama Marekani mtu kuwa homeless sio kitu rahisi hata kidogo kwa kuzingatia fursa kibao zilizopo katika nchi hiyo.Wanaponiacha hoi hawa jamaa ni pale wanatoa misaada worldwide huku wakiwa na raia wao homeless wengi tu
Mkuu, yaulize tena masikio yako kwa umakini zaidima
Marekani kweli ana hela hizo? mbona anadaiwa na china nasikia
Hizo silaha, Chakula, Madawa nk wao wanapewa bure na nani.❓Brother hiyo misaada anayotoa USA sio pesa cash mkononi bali ni misaada ya silaha, chakula, madawa n.k yenye thamani ya hizo pesa.
acha matusi........toa hoja..next time you will face the wrah of bad languageMkuu, yaulize tena masikio yako kwa umakini zaidi
Hahaaha dadeq Wabongo tuna Problemas!Umenikumbusha jamaa yangu aliyepandishiwa kodi ya nyumba baada ya kununua gari😂😂. ....mwenye nyumba alisema tushirikishane maendeleo.
Ni shida.Hahaaha dadeq Wabongo tuna Problemas!