Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

Kupanga ni Kuchagua!!,nadhani ungekuwa wewe ungetangaza Ikulu, Lakini wenzio wamewaza tofauti!!,tuyaheshimu mawazo ya wenzetu!!
 
Hawana cha kufanya, Serikali nikama mtu asiye na kazi. SS angekuwa bize, kazi ya kutangaza angeachiwa waziri husika tu, tena ingekuwa wizarani.
 
Naamini kutakuwa na takwimu sahihi kwa maendeleo na mgawanyo sahihi wa keki ya taifa. Kipindi cha mwendazake si ajabu takwimu zingepikwa ili tu chattel ionekane ina watu wengi. Ili iwe mkoa na hatimaye jiji.. (Apumzike panapo mstahili)

PS

Mkoa kama wa Mbeya, una wakazi wengi, una changia Pato la serikali kwa kiasi kikubwa. Ila hamna barabara "double road"

Miundombinu duni, mji haujapangika, ardhi wana pima viwanja halafu wanapotea.. Umeme, maji, barabara kazi kwa wanunuzi kukarabati, Rejea viwanja vya iduda, mbeya peak, isyesye.
Yanii umeongea ukweli mchungu ufisadi ni kitu kibaya sanaa
 
...
IMG-20221031-WA0025.jpg
 
Wasani gani walikuwepo hapo wakitumbuiza

Ova
 
Siko tayari kuishi kwa kudhulumu wengine, maana ya kuwa mtumishi wa umma ni kuhakikisha unatatua matatizo ya umma na sio kufuja mali za umma.

Kuna watu wengi wanavuja jasho usiku na mchana na kulipa makodi kila mahala ili wananchi wengi wapate huduma bora na kwa wakati.

Ni dhambi kubwa sana ukiwa umepewa dhamana na wewe kuitumia hiyo dhamana kujinufaisha na sio kutumika kwa manufaa ya waliokupa dhamana.

Kuwa mwajiriwa kwenye ofisi za umma maana yake umepewa dhamana kutumikia umma na sio kuukandamiza umma kwa kutumia hizo nafasi.
Tafuta hela wewe tafuta pesa
 
Wanaume tuendelee kupiga mashine.... hizi xy chromosomes naona zinakosa balansi...
 
Binafsi sina maoni juu ya Matokeo ya Sensa 2022
 
Back
Top Bottom