Mpaka na mimba zilizoharibika..π€£Sidhani kama kweli dhamira yao SENSA, maswali ni mengi sana na yasiyo na mlengo wa Sensa ya watu, na ndio maana wanatumia muda mrefu sana kwenye kaya moja,
Baadhi ya maswali yanafikirisha na kukera,
-mimba zilizoharibika!!!! Ngapi!!
-Umewahi kuolewa!!! Mara ngapi!!
Hapo tukajikuta tumeanzisha mjadala mwingine wa yeye kuulizwa badala ya yeye kuuliza.
Wapewe mwezi mzima ndio watawafikia kaya zote kwa hilo zoezi wanalofanya.
Sijahesabiwa na hawatanihesabu.Wanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Mimi mpaka sasa sijahesabiwa mimi na watu wengine kama 10 niliokaa nao haaWanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
Kwani sensa haikupangiwa bajeti au pesa zimeishaliwa?Twende pole pole jamani. Hivi mnajua hawa makarani wanalipwa kimafungu mara hawa wamelipwa hivi mara hawa wamelipwa vile na yamkini wapo kata moja na wametofautiana AE na wanajaza dodoso la aina moja. Tusiwalaumu makarani kuna kitu hakipo sawa kwenye mfumo.
Hayo maswali yote ni nn tena mengi ni ya kipuuzi tu.We Jamaa muongo
Sensa ya 2012 watu wamehesabiwa siku 1 Kweli
Then unajua kuwa sensa ya mwaka huu ina Maswali 100?
Tofauti na 2012?
WalikudharauMbona mimi kwangu haikuchukua dakik nyingi kuhesabiwa ? Ni kima dakik 5 tu Na maswali pia hayakuwa mengi ni kama maswali 5 t hayakuzidi apo
No Sense ni mfumo uliotumika ndo mbaya.Honestly, kwa nchi kama Tanzania huwezi kufanya sensa kwa siku moja unless kama unakusudia kufanya survey na sio sensa!!
Assume una Makarani 200K wanaotakiwa kuwafikia watu 50M... hapo ina maana kila karani anatakiwa kuwafikia watu 50M/200K = 250
Again, assume unatumia dakika 10 kwa kila mtu... yaani una-include muda wa kutoka sehemu moja hadi nyingine. Hiyo maana yake kila karani atatumia Dakika 2500 kuwafikia hao watu 250.
Dakika 2500 ni sawa na saa 41... NONE STOP ambazo ni almost 4 days for 10 hours per day!!
That being said, kama siku za nyuma sensa zilikuwa zinachukua siku moja, basi tulikuwa tunapigwa manake hata hizo dakika 10 nilizotaja, ni impractical.
Inawezekana kabisa kutumia siku moja na tatizo maccm hayakubali kushauriwa.Hivi huyu Mayalla ni mwandishi wa habari navyosikiaga au siyo? Kwa sababu sikutegemea kama hajui sensa iliyopita ilichukua zaidi ya siku moja
HApo hawataweza kupata takwimu za uhakika kamwe, kuna watakao kua hawajahesabiwa siku za nyuma wataamkia sehemu ambazo wameshahesabiwa, Data zitakazopatikana hazitakua sahihiWanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
14 kulikuwa na kaya ngapi?Rafiki yangu, kabla ya kuandika anza kufanya utafiti. Sensa zilizopita hakuna sensa ilichukua siku chache kama hii. Unayoita ya 2012 ilichukua siku 14
Inaonesha wewe si mwana mahesabu. Kaya za 2012 kwa vyovyote zilikuwa chache kuliko za 2022. Sensa inaweza kuchukua siku moja ila gharama yake itakuwa kubwa. Usisahau kama hii sensa inachukua siku 7 ungaliweza kuongeza wahesabuji 7 wakifuatana na guides 7 kwa siku moja. Ila kuna gharama za Vishkwambi vitaongezeka, gharama za mafunzo zitaongezeka etc.14 kulikuwa na kaya ngapi?
πππ Inawezekana karani alinidharau kwelii kwa maana ni mtu wa apa apa kitaa ananifaham la pili siku ya kuanza zoezi la sensa hakupita home alikuja siku ya pili ambapo pia home hapakuwa na mtu ikabidi anifuate kwenye mishe zangu ninapopigia kaz na pia akamfuata wife kwao ukweni walikua na harus akaenda kumalizia kuhesabia uko siku ya sensa tulilala watu 4 so wengine wote akawakuta uko uko nao haikuchukua ata dakik 10 akanambia amemalizaWalikudharau