KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Mpaka na mimba zilizoharibika..🤣Sidhani kama kweli dhamira yao SENSA, maswali ni mengi sana na yasiyo na mlengo wa Sensa ya watu, na ndio maana wanatumia muda mrefu sana kwenye kaya moja,
Baadhi ya maswali yanafikirisha na kukera,
-mimba zilizoharibika!!!! Ngapi!!
-Umewahi kuolewa!!! Mara ngapi!!
Hapo tukajikuta tumeanzisha mjadala mwingine wa yeye kuulizwa badala ya yeye kuuliza.
Wapewe mwezi mzima ndio watawafikia kaya zote kwa hilo zoezi wanalofanya.
Wana mgomo au..?