Sensa: Kianalogia siku 1, kidigitali siku 7! Could there be something wrong somewhere?! Kesho mwisho! Je, ambao bado hawajafikiwa watahesabiwa?!

Sensa: Kianalogia siku 1, kidigitali siku 7! Could there be something wrong somewhere?! Kesho mwisho! Je, ambao bado hawajafikiwa watahesabiwa?!

Wanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
Si kweli, Sensa ya 2012 nilipata kibarua NBS, ilikuwa wiki 2. Siku kadhaa (zaidi ya wiki) za kujaza madodoso field i.e mnaita kuhesabiwa, then baada ya kumaliza siku za field karani anakaa sehemu kama siku 3 kufunga hesabu zake, then msimamizi wa makarani (huyu alisimamia kama makarani 10) anatumia siku kadhaa ku-compile ripoti za makarani wake na kuziwasilisha Katani. Kwenye kata wanazituma jimboni, jimbo to H/shauri....

Hii ya sasa kila kitu kinakamilika kila jioni tena kwa dk 1 tu.
 
No Sense ni mfumo uliotumika ndo mbaya.
Na huo mfumo mzuri unakuwaje?! Au ndo huu 👇 👇 👇 👇 👇
Mfumo waliyoitumia kwenye sensa ni mbovu.wangewatumia watendaji ambao ndo haswa wanawajua watu wao zoezi lingekuwa rahisi.
Hivi unawajua Maafisa Watendaji?! Hivi unafahamu kwamba Afisa Mtendaji ni Mwajiriwa na most likely wala sio mwenyeji wa eneo husika?! Sasa anawafahamu vp hao wakazi wake?! Au unazungumzia vijijini, tena vijiji vidogo?

Au unadhani Wakazi kumfahamu Afisa Mtendaji wao ni sawa na Afisa Mtendaji kuwafahamu wakazi wake?

Lakini hata kama akiwafahamu hao watu wake, zoezi linaanzaje kuwa rahisi?! Mtaa/kijiji kimoja kuna maafisa watendaji wangapi?!

Tuachane na mjini, na turudi vijijini kwenye population ndogo, na reference hapa ni kijijini kwetu walipo Maafisa Watendaji 4, na kwa mujibu wa sensa ya 2012, kijiji chetu kizima kilikuwa na roughly watu 10K... hapo sijataja kata mzima!

Sasa kama 2012 kulikuwa na Wakazi 10K, leo 2022 kutakuwa na Wakazi wangapi? Kwahiyo unataka kutuambia kwa Wakazi wote hao kazi ingekuwa rahisi endapo ingefanywa na Maafisa Watendaji ambao ni wa-4?
 
Kuna kitu kweli hakipo sawa huko juu, ila ukiachana na changamoto zote na wananchi nao sasa,niliona mahali mtu anapoulizwa hayo maswali hadi ajibu siyo muda huu,swali moja tu Tena dogo linachukua muda mrefu kujibika hasa vijijni,maswali mengine huitwa watu kutoka ndani Mara fulaaani weeee njoo apa unikumbushe, taaabu kweli kwa hao makarani na ukiongeza na uchovu wa kukosa baadhi ya malipo basi ni mwendo wa kuuliza maswali kumi yaliyobaki wanakadiria tu.
 
Kuwafikia wote inaweza kuwa changamoto. Nina maoni mchache juu ya hili zoezi. Hili zoezi la kuhesabu watu limefanana sana na zoezi la anwani za makazi, niulize tu swali dogo, je zoezi la anwani za makazi tangu lilipoanza miezi 3 iliyopita limekamilika? Jibu ni hapana. Kwanini halijakamilika?

Sensa ya makazi pia inachukua taarifa za anwani ya makazi ambalo halijakamilika bado, kwahiyo kuna taarifa za sensa ambazo zitakuwa na mapungufu mengi mengi
Jana nimeona taarifa ya makaranihuko Nyamagama hawajalipwa na siku zinakaribia kwisha Hili nalo ni tatizo tunaweza kupata taarifa za ovyo.

Swali dogo tu la challenges, ni lini Serikali imepeleka maendeleo sehemu fulani kutokana na takwimu za watu? Nikiangalia mfano madarasa ya uviko, vituo vya afya, stendi nk ni vitu ambavyo vinapelekwa uniform na sio kwa kuangalia idadi ya watu .

La mwisho kungekuwa na option ya kupiga picha kila nyumba iliyopitiwa ikawa saved kwenye taarifa za sensa.
Naamini next sensa watafanyia kazi mapungufu yaliyobainika, naamini hakuna linaloshindikana tujitokeze kuhesabiwa the rest tuwaachie Serikali
Nice idea:

Nafikiri wangeweka option ya collection of GPS mwanzoni kabisa kabla ya kufungua dodoso ni rahisi zaid kuliko kupiga picha.

I am not sure kama ipo au haipo.
 
Wanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
Ni lini uliwahi kuona sensa ina maswali 100? Waziri mkuu alihojiwa Kwa dakika 35 he vipi Kwa mtu ngumbaru atahojiwa Kwa muda gani.

Kazi za takwimu zitenganishwe na sensa, ujinga uliofanywa na serikali ni kuchanganya kazi za takwimu kujumuisha na sensa ya watu vifanyike Kwa pamoja.

Hawa vijana wetu waliopata hizi nafasi za ukarani ilibidi waajiliwe au wawe na mkataba wa kuitwa kila baada ya muda Fulani kukusanya takwimu, hii siyo sensa ni uhuni serikali imefanya.
 
Sensa ya nyuma makarani na Wasimamizi 100% walikuwa walimu ambao waliweza kujiongeza mfano unamuona mtu amesimama vizuri amekaa vizuri anasikia anaongea viungo unaona Kuna haja Gani ya kumuuliza ana ulemavu?
Sasa Kuna watu Wana bifu na walimu wanaona wakiwapa kazi watafaidi sana ndio ikawa hivi ilivyo
Sensa ya 2012 walimu waligoma ila baadae walilegea wakaja kwenye dodoso fupi.Ila lile dodoso refu walifanya form six leavers na wanachuo waliokua likizo wakati ule.

Lile zoezi lilikua interesting sana halafu kulikua na pressure kwa vijana kuzingua lakini tulifanya vizuri (speaking from my experience)

Not sure kama makarani wa mwaka huu wamefurahia hili zoezi.
 
Wanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
Sensa kwa siku zaidi ya moja haijaanza leo mkuu. Hata miaka iliyopita ilifanyika zaidi ya siku moja.

Inasikitisha kuona watu wengi hawafahamu historia ya nchi.
2012 ilianza tarehe 26 Aug-1 sept
Vivyo hivyo 2002.

Tatizo ni kwamba kwa sasa imekuwa kisiasa zaidi.

Picha kwa hisani ya google!
Screenshot_20220819-220922.jpg
Screenshot_20220819-220842.jpg
 
Tulishasema hii sio sensa ni interogation...

Mtu unaulizwa masswali ambayo hayana msingi wowote, yani unaulizwa data ambazo ndani ya mwaka au miezi zitakuwa useless.
 
Sensa kwa siku zaidi ya moja haijaanza leo mkuu. Hata miaka iliyopita ilifanyika zaidi ya siku moja.

Inasikitisha kuona watu wengi hawafahamu historia ya nchi.
2012 ilianza tarehe 26 Aug-1 sept
Vivyo hivyo 2002.

Tatizo ni kwamba kwa sasa imekuwa kisiasa zaidi.

Picha kwa hisani ya google!
View attachment 2337027View attachment 2337028
Inasikitisha sana hujui hata umeandika nini, halafu waweza kukuta huyu ni sehemu ya watu wa serikali hopelessness kabisa.
 
 
Kwanza ni km hawakujiandaa na mfumo wao wa kidigitali tukumbuke kn maeneo tanzania network ni shida karani wa sensa Hadi anapanda juu ya mti pili wingi wa maswali unaconsume muda tena ni unnecessary questions eti nyumba yako ni ya nyasi au bati wkt karani anaona kabisa tatu usafiri makarani wengi ni wavivu kutembea wengi wao jua likiwaka kidogo tu wanachili sehemu 😀😀😀😀😀😀 lingine speed and accuracy vishikwambi ni vigeni sasa kufeed data karani anakuwa slow balaa
 
Wanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
Paka now sijahesabiwa. Labda kuna msamalia mwema kanijumuisha kwenye kaya yake
 
Dodoso lina maswali mengi mno, na miongoni mwa hayo maswali yanaleta maswali zaidi kutoka mlengwa kwenda kwa karani. Muda unaotumia karani kumuhoji mtu mmoja utakuta inachukua zaidi ya hata saa moja.
Mi mbona nilitumia dk 7 tu kujibu!!
 
Wanabodi,
Makala ya leo ni Swali
Sensa za nyuma tulihesabiwa Ki Analogia na ilichukua Siku 1 tuu, sasa tunahesabiana Kidigitali inachukua Siku 7!, Could There Be Something Wrong Somewhere?!. Leo ni siku ya 6, kuna kaya hazijafikiwa, kesho ni siku ya 7 ambayo ndio ya mwisho, jee kaya zote zilizobakia zitafikiwa?, Je ambazo hawajafikiwa, mpaka kesho, jee watafikiwa, jee watahesabiwa au ikibidi kuongeza siku moja au mbili, tuongeze wote tufikiwe, wote tuhesabiwe?!
View attachment 2336973View attachment 2336974
Paskali
Unakuta mtu anatoka hapo alipolala hiyo tarehe 23, anasafiri kwenda mji mwingine kwenye kaya ambayo walishahesabiwa. Nadhani kuna udhaifu mkubwa sana kwenye hili zoezi. Walipaswa kuwa na information chache ili zoezi lifanyike siku moja. Nina uhakika watu wengi hawatahesabiwa.
 
HApo hawataweza kupata takwimu za uhakika kamwe, kuna watakao kua hawajahesabiwa siku za nyuma wataamkia sehemu ambazo wameshahesabiwa, Data zitakazopatikana hazitakua sahihi
Wanauliza Hadi no ya simu babu,we ibukia popote lakini hutoongezwa Wala kupunguzwa...dizaini huna idea na takwimu
 
Unakuta mtu anatoka hapo alipolala hiyo tarehe 23, anasafiri kwenda mji mwingine kwenye kaya ambayo walishahesabiwa. Nadhani kuna udhaifu mkubwa sana kwenye hili zoezi. Walipaswa kuwa na information chache ili zoezi lifanyike siku moja. Nina uhakika watu wengi hawatahesabiwa.
Hawahesabu watu tu..ndiyo maana wanauliza Hadi laptop na mashamba
 
Inasikitisha sana hujui hata umeandika nini, halafu waweza kukuta huyu ni sehemu ya watu wa serikali hopelessness kabisa.
Mie najua nilichoandika na ndio maana kabla hata ya sensa kuanza nilituma hii thread humu. Sema wengi hawakuelewa.

Na nilimtag PM kule twiter ili awafahamishe watu kuwa mapumziko hayana tija sana kwasababu sensa ni zaidi ya siku moja! Na nikasema siku great thinkers wakiamka usingizi watajua nini nilimaanisha!

Washauri wengi wa viongozi wa nchi hii hawana taarifa za kutosha na pengine hufanya mambo kwa mihemko!
 
Back
Top Bottom