Sensa: Kianalogia siku 1, kidigitali siku 7! Could there be something wrong somewhere?! Kesho mwisho! Je, ambao bado hawajafikiwa watahesabiwa?!

Wee mzee unataka kumchonganisha makinda na rais Samia je unakumbuka jins makinda alivyoendesha bunge ktk wa wabunge wa cdm

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Anahesabiwa kila mtu ama mkuu wa kaya na spouse tu?
 
Nadhani kweli kutakuwa na 10%. Maana kama wangetumia mabalozi hakika data zingekuwa za ukweli maana balozi hawezi danganywa mfano eti smartphone au kuhusu hali ya ndoa au watu waliolala kwenye nyumba husika.
 
Anna Makinda atakujibu.... ingawa waliohesabiwa wanaweza kutumika kutoa takwimu dhahania... makosa yalianza kwenye idadi ya maswali kuwa ya kiutafiti... mtu mmoja anahojiwa dk 40... sio rahisi kuwafikia wote.
Mi nimehisabiwa pamoja na familia yangu, nikamuuliza Mtu wa Sensa Kama kweli umetuhisabu Mimi mpaka Sasa ni no ngapi!? Lakini kashindwa kunitajia no yangu Kama kweli nimehisabiwa!!?? Huu si utapeli!? Mbona Nyumba zetu zote zimehisabiwa na zikapewa no zake kwa kila Mjengo!? Mbona sisi watu hatupewi no zetu Kama kweli tumehisabiwa!!?? Au kuna kitu nyuma ya pazia!? Ni Nani anatafutwa!!??
 
Hii ilishaborongwa tangu kwenye planning, mbaya zaidi hao planning officers hawataki kupokea ushauri wala ushirikiano inapotokea kuna jambo unawasilisha kwao

Ukiwapa ushauri wanasema hujui hiyo kazi ilivyo ngumu, ukimwambia aachie ngazi wafanye wengine hataki! Hata hivyo ni nadra sana mazoezi mengi ya serikali kufanyika kwa ufanisi. Jambo ambalo hulifanya kwa ufanisi ni wakati wa kukomoa.
 
Anahesabiwa kila mtu ama mkuu wa kaya na spouse tu?
Sina familia kwahiyo sijui! Lakini hata kama anahesabiwa Mkuu wa Kaya bado hapawezi kuwa na tofauti kwa sababu atatoa taarifa kuhusu yeye, na pia atatoa taarifa zile zile kuhusu hao wengine, na hizo taarifa zitajazwa independently.
 
😂😂😂
 
Nadhani kweli kutakuwa na 10%. Maana kama wangetumia mabalozi hakika data zingekuwa za ukweli maana balozi hawezi danganywa mfano eti smartphone au kuhusu hali ya ndoa au watu waliolala kwenye nyumba husika.
You can't be serious!! Katika nchi ambayo sifa ya mtu kugombea ubunge ni angalau Darasa la VII ulishawahi kujiuliza elimu za hao mabalozi especially huko vijijini?! Si utalazimika uanze kuwafundisha jinsi ya kuwasha na kuzima tablet kabla ya yote, kisha uhamie jinsi ya kufungua program inayotumika ku-key hizo data!!

Btw, mwenzetu unaishi wapi huko ambako balozi wenu anafahamu smartphones zenu, na idadi ya watu waliolala kwenye kaya husika in one particular day?! Unazungumzia Mabalozi wa Karne ya 21 au wa enzi za Nyerere?!
 
Miaka kumi ya kujipanga kwa zoezi 😂😂
Acha kabisa vipofu wakiwa viongozi wa msafara.
 
Tumshukuru sana Dkt Kikwete na Mzee Lowasa na shule zao za kata. Kila tarafa ina mhitimu wa form four. Hiki ndiyo kipindi pekee cha kuwatumia hao vijana.
 
B600 kwa siku 7,mkiongeza siku na pesa zinaongezeka. Waaaoooh! Ccm mbele kwa mbele
 
Dodoso lina maswali mengi mno, na miongoni mwa hayo maswali yanaleta maswali zaidi kutoka mlengwa kwenda kwa karani. Muda unaotumia karani kumuhoji mtu mmoja utakuta inachukua zaidi ya hata saa moja.

Hadi inapelekea makarani wanadinyua ama kudinyuliwa
 

Naunga mkono hoja, hili zoezi ni muhimu sana lilipaswa lisimamiwe na kada ya ualimu.

Shida tunawaonea nongwa sana walimu, lakin ndiyo kundi linaloweza fanya kazi kwa moyo na uaminifu.

Wangefanya kwa ufanisi mkubwa sana
 
Zoezi la sensa kwa tafsiri zetu wakush ni kama project ilikuwa ya lazima kutoka UNFPA na mama Marekani aliongelea na kuiombea ufadhili lakini kuna harufu ya reverse engineering ya mchwa kutafuna pesa za sensa.

Kuna kaya nyingi mpaka leo hii hazijahesabiwa bado na wengine wanaona kama story fulani za kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…