Sensa: Kianalogia siku 1, kidigitali siku 7! Could there be something wrong somewhere?! Kesho mwisho! Je, ambao bado hawajafikiwa watahesabiwa?!

Kiukweli hakuna mwaka ambapo sensa ilifanyika siku 1 tu hapa TZ
Sensa ya 2012 ilifanyika week 2 kabisa

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Mwaka 2012 na miaka yote ya nyuma kuhesabiwa ilikuwa siku moja tu siku zingine zilikuwa ni maandalizi ya kutoa ripoti. Tena miaka ya nyuma watu waliendelea na kazi zao kama kawaida siyo kama mwaka huu ilitangazwa kabisa kuwa siku ya mapumziko. Tukubali tu kuna tatizo ili siku za mbele turekebishe.
 
Haha

Mkuu WAPIGAJI wakitaka kulifanya lao, SEBENE lake lazima watengeneze kitu au jambo fulani kama lina ugumu fulani, unafikiri 627 billion, usipotengeneza SEBENE la kununua VISHKWAMBI, WANASIASA KUTREND kwenye mitandao ya kijamii kama wapo serious wanahesabiwa tena wengine wameenda kuhesabiwa VIJIJINI kwenye MAJIMBO yao, wataiba vipi?

Cha kushangaza wamesahau WATANZANIA wa Leo sio kama wale wa miaka arobaini na saba.

Yaani WANASIASA wametuletea kaole(drama) za KISHAMBA, kama fundi MAKENIKA unampelekea gari GEREJI,tatizo anaweza kuliona rahisi, sasa ili akupige pesa nyingi ya MATENGENEZO lazima ataingia uvungu wa gari atatoka, mara atafungua BONETI, mara ataingia ndani kuangalia DASHBOARD, ndio walivyotufanya ili kuhidhinisha UPIGAJI wa zile pesa takribani 627 billion.
 
Wewe si ndio ulikuwa unasifia hili zoezi na mpaka unasema ulitumiwa message na Samia kuwa amehesabiwa ?

Nilikuambia kuwa ukiona kitu chochote nguvu kubwa inatumika kukipa umuhimu jua kabisa kitapuuzwa .

Mnapaswz kuelelewa serikali iko kwenye wiki ya mkwamo wa maswali kutoka kwa wananchi kuhusu tozo kila uchwao na serikali haitaki kutoa majibu na wananchi wameona serikali haina muda nao ipo wazi kuna watu wsmesusia zoezi hili kwa kutotoa ushirikiano kwa namna tofauti tofauti.

Suluhisho ni moja serikali ijitafakari wanannchi wanataka maelezo kuhusu gedha zao na pia wanahitaji waone matunda kutokana na wanachokatwa ila matokeo yake ni inaonekana makato yanakwenda kuwafaidisha watu wale kule wasiolipa kodi kwenye mshahara wao.
 
Mimi walifika kwangu wakakuta milango imefungwa wakaomba Namba Kwa jirani nikapigiwa simu nimeulizwa maswali matatu tu, jina, umri na kazi basii hayo 97 watakuwa wamejiongeza naona mambo mengi Muda mchache
 
Naunga mkono hoja, hili zoezi ni muhimu sana lilipaswa lisimamiwe na kada ya ualimu.

Shida tunawaonea nongwa sana walimu, lakin ndiyo kundi linaloweza fanya kazi kwa moyo na uaminifu.

Wangefanya kwa ufanisi mkubwa sana
Wala sio swala la WALIMU! Swala ni Manpower, Mtu mmoja Maswali yake kwenye kishikwambi ni 100, Akiwa mwanamke yanazidi zaidi ya hapo, imagine umekuta kaya Ina Watu 10 maana yake utawauliza Maswali 1000, kwahiyo hata ukiwa spidi Kiasi Gani huwez kutoboa Kaya zaidi ya 17 Kwa siku. Cha msingi wangepunguza Maswali, maana Kuna wengine ukimuhoji hadi anasinzia na kwenye Mafunzo unafundishwa kudodosa sio kuuliza maswali
 
Sensa ya mchongo... Data za mchongo!
Wanatamani kuhesabu kila mtu ili wapate tozo lakini pia wanawaogopa WB na "dona kantrez"
Japo wangehesabu wote tungegonga milioni 80+. Kwa sensa hii sidhani ka tutafika hata 70+
 
Kwa mganga[emoji16]
 
2012 mlihesabiwa siku Moja?
 
Usimlaumu karani Kwa kushindwa kujua we ni mtu wa ngapi.Kile kishkwambi kimetengenezewa program,karani ana uwezo wa kujua kuwa kahesabia kaya ngapi,maana kinampa summary ya kaya ila summary ya idadi ya watu imekuwa locked hawezi ona
 
Subiri utahesabiwa. Serikali imeshaziagiza mamlaka za wilaya kutengeneza namba za simu zitakazotumika kutoa taarifa kama hujahesabiwa. Kwahyo ndg yangu Pascal Mayalla kuwa na subra utapata namba ya simu utatoa taarifa km hujahesabiwa

Lkn Siamini kama ni kweli sensa ya mwaka 2012 ilifanyika siku moja.
 
Hii sensa ukiiangalia Kwa juu juu unaweza ona kama Serikali imefeli,ila kama taarifa zitakusanywa vizuri hii ni miongoni mwa sensa bora kabisa
 
Kiukweli kupitia hii sensa ilipaswa kuwatoa viongozi wote wa NBS na wanasiasa wanaohusika na hii taasisi. Inatia aibu.
Huku mtaani kwangu amekuja karani wa sense kila vipengere 2 anapiga simu juuliza namna ya kuendeleza, nikamtupia jicho la kiufundi nikagundua kuwa bado mwanafunzi wa kishkwambi chake. Wameingiza wadogo zao ujuzi ziro pont. Ni sawa na huko nyuma uandikishaji wa vitambulisho vya utaifa, mtu ana degree ya computer lakini kanyimwa nafasi harafu unakuta mtu na dadaake wamepita wote hata form 4 hawajafika, ukidodosa kumbe wana ukaribu na mtendaji aliekuwa anachuja maombi. Sasa unajiuliza nchi hii tatizo katiba mbovu au urafi wa rushwa!!
 
Hunalolote unajifalagua tu, kwani mapambio veepe !!!???

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wakikupa uteuzi nageuka kuwa mavi nipo nimekaa pale [emoji117][emoji117][emoji117]
 
Upo sahihi kabisa ila hili haliwezi kuathiri ufanisi wa zoezi husika labda unahitaji tu kuona akili mpya kwenye utendaji hapo Nbs.

kwa nini hawa makarani wa sensa hawakuwa ni wajumbe wetu wa nyumba 10 na maofisa wetu wa serikali za mtaa?!.
Swali zuri sana hili maana ingeepusha mkanganyiko wa makarani kutojua vizuri mitaa waliyotengewa kupita au hata kupotea kabisa.


Upo sahihi kabisa naunga mkono hii hoja.
Ila bado asilimia kubwa ya Watz hawana access na huu mfumo wa kidigitali hivyo hiyo sensa unayoiita ya kijima bado ni muhimu itumike.

Maadam sensa itahusisha watu na makazi sio kila kitu kitafanyika kidigitali kwa huku kwetu labda ushauri hii ya kijima ingeenda sambamba na hiyo ya kidigitali ili kufikia kila mtu.
 
Sikujua kama ulilenga huku. Hata hivyo, huyo Dada Dr Albina alipewa uhuru wa kufanya maandalizi ya sensa hii kwa Uhuru alioutaka?

Mbali na kutatizika na hoja yako hii ya "kumsagia kunguni" Dada wa watu, ninakupongeza kwa kuuliza swali hili digitali siku 7 na analogia siku 1.

Nilichelea kuuliza swali hili maana uhuru wa kuhoji kwa Sasa unakipimo ambacho sijakikamata sawa.
 
Anyway najua hauko serious na hoja yako sensa zote nilizo hesabiwa sikuwahi kupewa namba na hakuna kitu kama hicho kitakuja tokea.
 
Kilichotakiwa kufanyika ni kwanza kuangalia nini hasa kinachohitajika kwenye sensa wanataka ku achieve nini? Kama ilikuwa kufanya research wame fail big time kwa sababu njia zote za ukusanyaji taarifa lazima ziwe na sample standard wangeweza kuwa na dodoso refu na fupi.... wakaamua kaya 6 dodoso fupi kaya 4 fupi.

Au kama walitaka nchi nzima kutuhesabu tungeenda kwenye vituo mahususi sio wao kutufuta tena huko angeenda mkuu wa kaya na taarifa za watu wake basi. Au njia bora zaidi wange fanya sensa kwa kanda hii ingesaidia kupunguza gharama ya muda na vifaa yaani vishikwambi vyote vingekuwa mfano nyanda za juu kusini kwa mwezi mzima then vikimaliza kazi vinahamia kwingine ...sensa hata kama itachukua mwaka mzima na wakakusanya taarifa zote muhimu baada ya mwaka isingekuwa tabu sasa hapa sidhani hata kama 25% ya watanzania tumehesabiwa. Sometimes we need to brain storm as much as we can before hatujaanza project zilizo shindwa kabla ya kuanza.
 
Eti bajeti halisi ta sensa ni tzs ngapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…