mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kwenye ile pill shape notch wameua jinsi inavyotumika,wameamua isikae tu pale kama doa,sometime inatanuka na kuonyesha notiffication[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]
ila kwenye 14,14plus wazidhoofisha ili wakapige $100 za ziada kwenye 14 pro na 14 pro max.
maana ukiwa na 14 plus ni kama una 13 plain iliyo pana zaidi[emoji82][emoji82][emoji82]
ila kwenye 14,14plus wazidhoofisha ili wakapige $100 za ziada kwenye 14 pro na 14 pro max.
maana ukiwa na 14 plus ni kama una 13 plain iliyo pana zaidi[emoji82][emoji82][emoji82]