Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Sera ya Elimu ni janga kwa vyuo vya ualimu nchini. Ni janga kwa wasomi wa shahada za ualimu nchini!

Kuna point ya msingi anayo mathalani graduate alyesoma BA in geography and environmental studies ameitwa kwenye usaili wa somo la geography lakini maswali ya written interview unaulizwa maswali ya ualimu mwaka wa pili , hapa ndipo ujuha unapokuja na kupotezeana muda na pesa . Ujinga kabisa wa hali ya juu kwann huyu aitwee kwenye interview hali ya kuwa unajua hajasoma reaching methodology, lesson development, lesson plan ,psychology na mengine!!!!!
Yn mtu n mwalimu afu hajui lesson plan?

πŸ˜‚ Dah aisee utumishi shikilieni hapo hapo msiachie πŸ˜‚
 
Mimi shida yangu si huo wingi, Bali ni aina ya maswali......yalikuwa favourable kwa mtu aliyemaliza mwaka jana au juzi tu lakini waliomaliza 2018 huko walitengwa kabisa......na Kwakweli wameumizwa na kudhulumiwa sana. Huruma Kwakweli. Mtu yupo mtaani miaka 8, anashighulika na kilimo tu, ghafla analetewa maswali ya kifalsafa tupu ambayo yanahitaji mtu anayesoma na kutestiwa Kila siku. Kama hilo halitoshi, pass mark ilikuwa 80😭😭😭😭. Kwa hapa, kilio changu kipo pamoja na mleta mada.....wamedhulimiwa nauli na muda wao ndugu zetu wa miaka ya 2018, 2019 na 2020
Naunga mkono hoja umeongea point sana ila wajuaji hawatakuelewa.

Interview za utumishi zinatakiwa kubadilika maswali yanatakiwa yawe practical oriented kuliko theory.
 
Kwani lazima waliohitimu mafunzo ya ualimu wote waajiriwe? Serikali haiwezi kuajiri wahitimu wote wa ualimu na kozi nyingine Kwa Mara moja na haitokuja kutokea ikaajiri wote.

Acha mchujo upite, kwanza shughuli zipo kibao za kufanya, Acha kulia.
Nawaza tu. Kama ndivyo, kuna faida gani serikali kujenga shule, vyuo, na kuwekeza mabilioni kwenye mikopo ya elimu ikijua wanaozalishwa vyuoni hawaajiriwi na mikopo haitarudishwa. Hatuna wazo au akili yoyote ya kutengeneza ajira ??
 
Hivi vijamaa hata vikiwa chuoni havisomi kwa kumakinika.

Waekewe bodi, zitungwe paper kama za Tanganyika school of law.

Halafu wanaopita ndio wapigwe interview ya kutiaha na kutosha.

Wakipita huko ndio waajiliwe na kuboreshewa maslahi yao, mazingira ya kazi na Incentive nyinginezo
 
Ndo wanamchangia rais fomu ya kugombea kuendelea kuongoza πŸ˜‚
Yaani Hawa watu sijui wana akili gani, we unaona nafasi zinazohitajika ni 200 watu wanaoenda kufanya usahili ni 30000, unalalama nini?

Kipindi hakuna usahili, mlikuwa mnasema ni rushwa, ndugu na marafiki wanapitishana. Sasa hivi Kuna usahili mnalalama Tena, Sasa mnataka nini? Eti mwenye Gpa kubwa ndo aajiriwe! Akili za kifala kabisa.
 
Nawaza tu. Kama ndivyo, kuna faida gani serikali kujenga shule, vyuo, na kuwekeza mabilioni kwenye mikopo ya elimu ikijua wanaozalishwa vyuoni hawaajiriwi na mikopo haitarudishwa. Hatuna wazo au akili yoyote ya kutengeneza ajira ??
Anaeweza kutengeneza ajira siyo serikali tu, hata wewe unaweza kutengeneza ajira, ukaokoa na wengine wasiokuwa na ajira na kupunguza mzigo wa wahitimu waliopo mtaani. Mitaala ya elimu isitudumaze, bado Tanzania ni developing country.

Haitokuja kutokea serikali ikawa na uwezo wa kutatua tatizo la ajira, wenye uwezo wa kujikomboa katika hili ni wananchi wenyewe, tuondoe dhana ya kuwa watumishi wa serikali, tujifunze kuielewa serikali yetu tupunguze vilio.
 
Nimesoma post zote 1-20 naona shida kubwa sana.

Moja hata mleta mada hajui anataka Nini, maana ukweli hakuna ajira isiyo na interview, na nimeshiriki interview nyingi sana kwenye ajira za walimu shule za Private. Yeyote aliyetimiza vigezo vya Tangazo aliitwa kwenye usaili. Mfano Kuna shule mpya ilikuwa Dar tulihitaji walimu 9 tukipata applications 391 na wote walimeet initial screening procedure. Sheria inatak uwaite.

Baada ya hapo tuliscreen na kupata walimu 36 tukawapa interview ya pili wakabakia 19 then tunafanya mwisho tukipata serious teachers 9. Na shule ipo vizuri sana sana(form two mbili zilizopita wote division one) mwaka huu itakuwa na form four ya kwanza.

Hakuna kubebana wacha waitwe kwenye usaili lakini pia best teacher sio GPA hata kidogo bali uwezo binafsi wa mwalimu. Mfano: Kuna walimu wa kiingreza hawawezi kuzungumza kiingreza five minutes leave alone grammar.

Jambo la pili naona walimu wengi wamefocus kuaniriwa tena serikalini. SI lazima uajiriwe unaweza kujiajiri (walimu watatu au wanne anzisheni tuition center, QT, n.k) huku mnaeeza kujenga majini na kupata ajira. Ombeni kufundisha remedial classes kwenye shule hizo mnagawani mshiko na walimu). Lakini pia mnaeeza kuandaa notes, pamphlets, compendium au vitabu kwenye maeneo yenu ya ubobezi. Etc

Mnamlaumu Prof. Mkenda as if yeye ndio yupo kwenye Halmashauri.,

Mwisho kama walimu wengi ni watoto wa wakulima m ona hatuoni wakikwasaidia wazazi wao kuongeza tija kwenye kilimo na ufungaji badala yake wapo TikTok, X, fB etc. wasaidieni. Kwenye kilimo Kuna tija kubwa sana
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Walimu wanaogopa Usaili kuliko mwanafunzi anavyoogopa mtihani.
Basi kila sekta usaili utolewe,maana kuna sekta hadi umalize una miaka saba darasani,yani mwanaume unaanza chuo hujaoa,unapata mtoto ukiwa chuo na mtoto anaanza baby class bado baba yupo chuo.
Usaili lazima,walimu acheni woga,huko ni kutokujiamini na kuonyesha kuwa chuoni kuna sehemu hapakueleweka.
Pia walimu kumbukeni kwamba, siyo wote wanaokwenda chuo wanaotoka wakiwa vizuri,wengine wanatoka hamnazo, ni vile tu hi dunia haijaumbiwa kwa ajili ya wanaofaulu tu darasani
 
Huyo ndo mwalimu alitaka kuajiriwa bila usaili πŸ˜‚
Asanteni utumishi kwa kuleta usaili πŸ™Œ
. Alihisi labda utumishi wataleta maswali ya Continuous Assessment, 😁😁😁.

. Huyu inabidi akandwe ili adabu ipatikane, baada ya hapo sasa ndo akandwe ili apate ajira 😁😁
 
. Alihisi labda utumishi wataleta maswali ya Continuous Assessment, 😁😁😁.

. Huyu inabidi akandwe ili adabu ipatikane, baada ya hapo sasa ndo akandwe ili apate ajira 😁😁
Alijiandaa na maswali ya what is geography πŸ˜‚
 
Baada ya usaili huu, usaili ujao ni mwaka 2125 πŸ˜‚ kwahy nyie mnalalamika kukaa miaka kumi mtaani kusubiri ajira za ualimu serikalin ongezeni miaka mingine mia jumla iwe miaka 110 ya kukaa mtaani kusubiri kuajiriwa ualimu serikalin πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom