Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
- Thread starter
- #141
Nenda ubeligiji ukaone jinsi walivyowabaguzi kutokana na sera ya majimbo
Tena majimbo ubeligiji yapo mawili tu ila utafikiri watu wa Nchi tofauti
Tena majimbo ubeligiji yapo mawili tu ila utafikiri watu wa Nchi tofauti
Sera ya ubaguzi na mabeberu ambao ndio wanatibia na kuwaendeleza endeleeni kudiscuss hapo lumumba... Nyie hamfai hata kwa punje kuongoza watu... Mnaifanya nchi kubehave kama familia!