Serengeti: Tundu Lissu akumbuka shambulio dhidi yake, amtaka Rais mpya na IGP mpya kuwakamata Wahusika

Serengeti: Tundu Lissu akumbuka shambulio dhidi yake, amtaka Rais mpya na IGP mpya kuwakamata Wahusika

Kuita nyeupe ni nyeupe ni tusi!!?
Hivi nikikwambia wewe kuwa unatumia kichwa kwa ajili ya kufugia nywele nitakuwa nimekutukana au nimesema uongo!!??
Kama unadhani akili ya Tundu Lissu iko sawa basi umepoteza mwelekeo. Naamini ungekuwa ni wewe kwenye nafasi ya Lissu lazima ubinadamu ungekusuta tu !! Huwezi kutendewa vile na Samia halafu ndiyo ukawa umeshika bendera ya kumnanga
 
Kama unadhani akili ya Tundu Lissu iko sawa basi umepoteza mwelekeo. Naamini ungekuwa ni wewe kwenye nafasi ya Lissu lazima ubinadamu ungekusuta tu !! Huwezi kutendewa vile na Samia halafu ndiyo ukawa umeshika bendera ya kumnanga
Rushwa ya Bandari isitutenganishe.
 
Kama unadhani akili ya Tundu Lissu iko sawa basi umepoteza mwelekeo. Naamini ungekuwa ni wewe kwenye nafasi ya Lissu lazima ubinadamu ungekusuta tu !! Huwezi kutendewa vile na Samia halafu ndiyo ukawa umeshika bendera ya kumnanga
Tumia akili wewe! Siku hizi zimeenda wapi? Mbona hukuwa hivyo huko nyuma? Lissu hamshikii bango kama Samia bali Raia na Samia hapaswi kutenda kazi kama Samia bali kama Rais.
 
Tumia akili wewe! Siku hizi zimeenda wapi? Mbona hukuwa hivyo huko nyuma? Lissu hamshikii bango kama Samia bali Raia na Samia hapaswi kutenda kazi kama Samia bali kama Rais.
The "boss" seems to be very desperate! Doesn't understand the benefits of being a man with a loaded "gun"!
 
nikipindikirefutangu,tokeo lilile litokee kwa hiyotusahau tutafute maendeleo ya kweli
 
Kuna wengi wameuwawa kikatili na wengine wameachwa vilema kwa kuonewa
Yeye kama mwanasheria amewateteaje au anaangalia miguu yake tu

Wangapi waliokotwa kwenye viroba
Ashukuru sana maana kuna kina mama bado wanawalilia watoto wao
 
Tumia akili wewe! Siku hizi zimeenda wapi? Mbona hukuwa hivyo huko nyuma? Lissu hamshikii bango kama Samia bali Raia na Samia hapaswi kutenda kazi kama Samia bali kama Rais.
Usiishi kwa kukariri, maisha hayako hivyo. Haijalishi tulimuonea huruma aliposhambuliwa na watu wa Magufuli, akikosea lazima tumrekebishe.
 
Back
Top Bottom