Kuna mmoja tupo nae apa bar ana mwagilia moyo
Na mimi nina swali kama hilo hilo7 ila kwa nini leo iwe siku ya mapumziko?
Hakuna sensa best,ni kupotezeana muda tu,Tangu asubuhi watu tumeshinda home, but holaa, yaani nimehakikisha vitu vyote kwenye fridge vimeisha maana nikikaa kidogo tu nachukua kitu nakula, nikipita tena hivo hivo[emoji23][emoji23] fridge jeupee na Sensa bado[emoji23]
I think wewe ni mrangi wa Pahi [emoji23]Tangu asubuhi watu tumeshinda home, but holaa, yaani nimehakikisha vitu vyote kwenye fridge vimeisha maana nikikaa kidogo tu nachukua kitu nakula, nikipita tena hivo hivo[emoji23][emoji23] fridge jeupee na Sensa bado[emoji23]
Zoezi la siku 7 kuweka mapumziko siku 1 sio sawa.Kuanzia asubuhi hadi sasa mtaani kwangu hawajapita hata nyumba moja, na sidhani kama watakamilisha hii Sensa ipasavyo
πππ ndiyo wana tabia hizo za kuhakikisha fridge jeupe ndiyo roho inatulia?πI think wewe ni mrangi wa Pahi [emoji23]
wakileta karani wa kike, halali yangu
Sasa sijui mapumziko yaliwekwa for what? Tungeendelea tu na shughuliHakuna sensa best,ni kupotezeana muda tu,
Leo nimeamini wanavyosemaga Tz hakuna kitu wanachofanya kikatik.
Kelele tu nyingi,
Kazi ya kushade vile vibox mzee asikwambie mtu,hela unaila kwa mateso....Nashkuru Mungu nilipewa eneo dogo,watu walikaa wiki nzima wanashade...mimi nikimaliza mapema kama siku 2.Hata sensa ya mwaka 2012 ilikuwa na mlolongo mrefu sana wa ku shade! Ilikuwa ukienda kwenye kaya yenye idadi kubwa ya watu, basi cha moto utakiona.
πππwakileta karani wa kike, halali yangu
wa kiume sifungui ng'o
Labda unaishi remote area mpaka ufikiwe ni siku kadhaaKuanzia asubuhi hadi sasa mtaani kwangu hawajapita hata nyumba moja, na sidhani kama watakamilisha hii Sensa ipasavyo
Wameenda kwa mpango tuSisi huku kwetu zavala Chanika ilala mpaka sasa hatujahesabiwa