One labla za HKL sio za PCB au PCM..na hata zikiwepo ni chache sana..Nikupige kamba ili iweje ??
Kwa hiyo kwenye UALIMU hakuna daraja la kwanza au la pili ?? HUNA AKILI KABISA.!
Au aliyekwambia kwamba walimu wote ni failure alikupotosha.
Na hii dharau yako ni kutokana na maslahi mabovu ya Walimu.
TGHS D1 1270,000/=
TGHS E1. 1,530,000/=
TGHS F1. 1,865,000/=
F1 ni mshahara wa Specialist anaeanza kazi.
Nenda kaangalie upya TGHS zipo zote pale wala sio Siri.
Serikalini Watumishi huanza na D1 hizo zingine ni madaraja na specialist View attachment 2586471
Wakati Madaktari walikuwa wanasomeshwa bure muda mrefu hadi leo wanasomeshwa bureAcha kamba wewe..mtu apate one ya PCB aende ualimu?..si atakuwa kichaa.
Wakati Madaktari walikuwa wanasomeshwa bure muda mrefu hadi leo wanasomeshwa bure
MmmhWabunge ningewalipa 250,000 tu, sema ndio wamepewa kipaumbele kuliko walimu
Amani iwe juu yenu nyote.
Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.
Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.
Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.
Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).
Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?
Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.
HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.
UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.
Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.
Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.
Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)
Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?
INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.
WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?
TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Walimu na CCM ni Pete na kidole. Uchawa wenu kwa hilo genge utawagharimu sana.Amani iwe juu yenu nyote.
Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.
Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.
Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.
Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).
Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?
Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.
HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.
UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.
Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.
Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.
Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)
Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?
INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.
WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?
TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Sasa hao walimu wa Sayansi Nchi nzima wapo 23,000 kati ya Walimu 250,000+ hivi hizo one za PCB na PCM nyingi zitatoka wapi ??One labla za HKL sio za PCB au PCM..na hata zikiwepo ni chache sana..
Kwanini tusiongee uhalisia?.
Sasa hilo gap nalo ni la nini tena ? Wakati mpaka mwaka wa kwanza chuo wamesoma pamoja !!?? At least ingekuwa laki moja au hata na nusu.Nipo kada ya afya
Hio D1 ni mfamasia
E1 daktari bachelor
Hivi una watoto ambao wapo shule lakini ?? Hivi unajua umuhimu wa Mwalimu kwenye Taifa lolote Duniani!!?Unawaongezaje mshahara watu wasio zalisha alafu ni wengi? Hizo hela za kuwaongeza zinatoka mfuko gani. Elimu ingekua inauzwa hapo walikua na haki ya kupewa mshahara mkubwa.
ACHA mwl avune alichopanda,wakati wa uchaguzi wanakisaidia Chama Cha kijani kushinda Kwa kuwaibia kura,mimi hata asipolipwa sawa tu maana anatumikia Chama chake [emoji1][emoji1][emoji1]Amani iwe juu yenu nyote.
Mwalimu wa Nchi hii nadhani ametengenezewa UMASKINI kuanzia anaajiliwa mpaka anastafu. Kwanza ni watu wanaotoka kaya Maskini bado akiajiliwa anaishi kwenye umaskini akistaafu bado anakutana na KIKOKOTOO.
Mwalimu akiajiriwa anaanza na mshahara wa TGTS D1 (SANAA) 771,000/= na SAYANSI ni 750,000/= na hawa ni wa Degree Moja.
Hapo Mwalimu alipe kodi ya nyumba, Maji , Umeme, asomeshe, Ale, ahudumie familia na wengine ukoo Mzima. Bado mnataka avae apendeze kama kada zingine.
Mwalimu ili apande daraja afikie TGTS E1 basi itamchukua miaka 4 mpaka 5 nayo inategemeana na Rais wa wakati huo. (SIASA).
Hivi ni kwa nini daktari umlipe TGHS D1 (1270000) tofauti ya laki tano na mwalimu wa Degree na yeye ana degree wakati wengine walisoma wote hadi F6?
Walimu ndio nguzo ya Taifa, Taifa bora linatokana na raia wake walioelimika vizuri kwa kuwa na Walimu bora.
HAKUNA WALIMU BORA BILA MASLAHI BORA.
UALIMU ni vile tu umebebwa sana na watoto wa maskini ila SIO kazi ya kufanya.
Mwalimu hana House allowance, hana perdiem, hana extra duty, hana overtime bado awe mtumishi bora, Watu wanafanya bora liende tu.
Serikali waangalieni Walimu kwa jicho la pekee kama mnataka Taifa liwe bora.
Serikali haishindwi kuhudumia vizuri walimu 250,000+ (Msingi 170,000+ na sekondari 89,000+ huku walimu wa masomo ya Sayansi na hisabati wakiwa 23,000+)
Sio haki eti Mwalimu wa Degree kufikia Mshahara wa 1280,000 ambao ni TGTS F1 ni mpaka akae kazini miaka 8 - 10+ BADO TUNATAKA TAIFA LILILOELIMIKA?
INATIA UCHUNGU SANA, WANASIASA MMEJIWEKEA MASLAHI BORA SANA ILA WATUMISHI MKAAMUA KUWAPA KIKOKOTOO.
WATZ NI KWA NINI TUMEKUBALI MBUNGE MIAKA 5 APEWE MILIONI 270+ HALAFU MTUMISHI APEWE MILIONI 40+ KWA MIAKA 30 - 40 YA UTUMISHI?
TAIFA HILI LINA LAANA WALLAH.
Boss huo ndio ukweli.Hivi una watoto ambao wapo shule lakini ?? Hivi unajua umuhimu wa Mwalimu kwenye Taifa lolote Duniani!!?
Hapa umetapika Pumba kaka, unamaanisha DUCE pale hakuna one? Zipo tena zingine nzuri tu ila walilazimika kwenda uko kutokana ba sababu zilizokua nje ya uwezo wao.Acha kamba wewe..mtu apate one ya PCB aende ualimu?..si atakuwa kichaa.