DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke[emoji16] Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Kazi IPO!! mhhh!!

Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
 
Serikali wataangalia Mambo mangapi, ilo swala la kada ya uhamiaji tu, na uhamiaji ndo serikali nayo, maeneo hayo Kuna viongozi barozi, mwenyekiti, watendaji wanashindwa kwenda uhamiaji kuripot ilo swala?
Yaani watanzania ni watu qa ajabu sana,tunajifanya kila kitu hakituhusu,hivi kweli kama hali ni hiyo kama anavyosimulia jamaa,wananchi wamechukua hatua gani? Wao kama wao?ulinzi huanzia kwa wananchi wenyewe,hii Amani ndio imetufikisha hapa kila mtu hana time,na mgeni likija kutokea tatizo utasikia lawama kibao utafikiria jamaa alikuwa akiishi angani!!
 
Uzuli wa hawa watu kibarua kazi wasizo zitaka wabongo au kuzifanya kwa bei kuwa wao ukusanyika na kufanya kazi hizo kwa malipo nafuu wengi wao wamejazana kwenye makampuni ya ulinzi
Lakini sheria hairuhusu hicho kitu,ndio maana hawezi kuwa vibali halisi.
 
Wale jamaa tabia zao Huwa zinashangaza sana nahisi wakat mwingine kama nati zimelegea.

Kuna siku tuko nyomi la watu tumekaa kwenye kiwanja Cha mwananyamala kwa kopa kulikuwa na game ya kimashindano ya kimtaa sasa tumeuzunguka ule uwanja wote ila Kuna barabara Huwa inapita ndani ya uwanja,

Game ikiwa katikat wakawa wanapita wanyasa wakiume na wa kike kama 6 hivi Cha ajabu wakawa wamesimama ndani kabisa ya kiwanja wanapiga story yaan as if hawaelew ni nini kinaendelea mule kiwanjani ghafra bin vuu mpira ukawa unaelekea upande wao wamesimama tu wachezaji walipofika karibu katka kugombea mpira SI wakawavaa basi wote chini uwanja mzima unacheka.
😂😂 Wanazingua kinoma!
 
Wewe utakua mmalawi sio Bure! Sasa ww unaona ni sawa watu kutomb....! Mchana kweupe Tena kwa makundi ilihali sehemu wanayoishi Kuna watoto,wazee,vijana,wanawake nk?

Unawafunza Nini watoto na vijana wanao barehe kwa mfano???
Ww kwako unatomb.....! Na watoto wakikushudia? Acheni kutetea ujinga wa hao wamalawi. Kama wamekuja kutafuta maisha basi tabia zao ss hatuzitaki, wasubili wakishalud kwao ndo wafanye hayo
Kwanza watanzania wote mliopo eneo hilo ni wapumbavu kabisa!!kama hali ndio hiyo na mpo mpo tu,mkishindwa kuchukua hatua mnakimbilia kulalamika tu.Nenda DRC pamoja na hali yao ya vita uone kama unaweza kukaa sehemu bila kutambulika umefikaje hapo!!Wakati mwingine amani sana hufanya mijitu kuwa mijinga.
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Tukimaliza na Wamalawi, tutaanza na Wapemba, kisha Wachagga na mwisho Wakinga
 
Yaani watanzania ni watu qa ajabu sana,tunajifanya kila kitu hakituhusu,hivi kweli kama hali ni hiyo kama anavyosimulia jamaa,wananchi wamechukua hatua gani? Wao kama wao?ulinzi huanzia kwa wananchi wenyewe,hii Amani ndio imetufikisha hapa kila mtu hana time,na mgeni likija kutokea tatizo utasikia lawama kibao utafikiria jamaa alikuwa akiishi angani!!
Ndio maana inakua ngumu kwa sisi watoa taarifa kama hizi eti kujipeleka kwa viongozi wa mitaa, mala polis kueleza mambo kama haya, wote hao akili zao kama za wachagiaji humu. Hawaoni shida kbs mpaka litokee tatizo ndo utaona lawama za kutupiana mipira zinaanza.
 
Halafu wepesi kujifunza kiswahili hao. Yaani wakishakaa miezi 6 tu wanaongea fluent Swahili. Sema wanakuwa na ka lafudhi Kama watu wa Mbozi. Sio rahisi kuwatofautisha.
Kama Wamakonde sio mbozi utasikia Chiswahili
 
Kwanza watanzania wote mliopo eneo hilo ni wapumbavu kabisa!!kama hali ndio hiyo na mpo mpo tu,mkishindwa kuchukua hatua mnakimbilia kulalamika tu.Nenda DRC pamoja na hali yao ya vita uone kama unaweza kukaa sehemu bila kutambulika umefikaje hapo!!Wakati mwingine amani sana hufanya mijitu kuwa mijinga.
Akili za wachagiaji wengi humu ndo za viongozi wetu mkuu! Wao hawaoni shida watu kutomb..! Mchana kweupe Tena chumba kimoja, kitanda kimoja kwa wakati mmoja huku watoto wakisikiliza Kila kitu kinachofanyika ndani maana maeneo wanayopenda kukaa hao jamaa ni uswahilini.

WIZI-Wao hawaoni shida ktk hilo mpaka waguswe kisiasa ndo utawaona wanakulupuka.
 
Ndio maana inakua ngumu kwa sisi watoa taarifa kama hizi eti kujipeleka kwa viongozi wa mitaa, mala polis kueleza mambo kama haya, wote hao akili zao kama za wachagiaji humu. Hawaoni shida kbs mpaka litokee tatizo ndo utaona lawama za kutupiana mipira zinaanza.
Kama hali ni mbaya kiasi hicho,kwanini wananchi msiitishe mkutano mkatoa malalamiko yenu hayo?yakawafikia viongozi na siku hizi kumfikia hata waziri sio kazi kubwaa!!
 
Iko hivi labda mleta maada hujawahi kutoka au kwenda kuishi inje ya Tanzania,kwangu mimi hicho ni kitu cha kawaida,hata Viongozi wanajua,yaani wananchi wa kawaida kwenda kutafuta maisha kwenye ichi nyingine,na hii inategemeana na nguvu ya uchumi wa ichi husika

Mfano kipindi nafika Malawi miaka ya 1998 nilikuta watanzania ni wengi sana,tena asilimia kubwa walikuwa wa kutoka Mbeya,mpaka wamalawi walikuwa wanajua labda lugha ya Taifa ya Tanzania ni kinyakyusa.

Miaka ilivyoenda hawa watanzania wakawa wana Mahotel yao na mtandao mkubwa Lilongwe katika mtaa mmoja wa Devil street,kiasi kwamba ulikuwa ukifika mgeni,unazani kwamba uko mbeye au Tanzania

Kwa Mozambique watanzania wamejaa, baadhi ya sehemu kama machimboni,kiasi kwamba lugha inayotumika ni kiswahili na hela wanayotumia ni shilingi ya Tanzania ndani ya Mozambique

Sema kilichotofautiana ni ukubwa wa uchumi wa Tanzania kwa hizi inchi,kiasi kwamba hutakuja kuwaona watanzania kwenye hizi ichi wakifanya kazi za ulinzi,bali asilimi kubwa wako kibiashara
Malawi kuna mtanzania mmoja anaitwa Bishop simama kawekeza
Sana huko
Bado kuna sehemu nyingi tu wako wabongo wa kawaida wana hustle huko....

Ova
 
Waacheni wamalawi ndugu zetu ....miaka nyuma sisi tulienda sana sana lilongwe mzuzu etc kufanya biashara sasa uchumi wetu mzuri waache nao wafanya kazi ....wasife njaa
....
Tena mzuzu pale kuna wabongo wengi
Huyu mleta uzi atakuwa mtoto wa mama hajui mambo ya kuvuka mipaka

Ova
 
Back
Top Bottom