Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Serikali kupitia kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Mbarawa leo Jan. 30 imetangaza kukamilika kwa 100% kwa daraja la Tanzanite lililojengwa juu ya bahari kutoka Aga khan hadi Osterbay Jijini Dar Es Salaam na sasa magari yataanza kupita bure kuanzia Feb. Mosi mwaka huu.
View attachment 2101108
View attachment 2101107
Watu kama hawa sibure Mzee Magu aliwatumbua kwa vyeti feki[emoji16]Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.
Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Ndan ya miaka mingap? na JPM katumia muda gan?Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.
Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Hili daraja lilipingwa Sana na wajuvi wa mambo ya maendeleo ya miji na majiji. Wajuvi walisema hili daraja halitakuwa na msaada Sana ktk kupunguza foleni ya kwenda posta.R.ip Magufuli.
R.i.p mzalendo wa kweli.
[emoji3][emoji3][emoji3] akil zako km mtoto , kwan kuna mtu anasema katoa ela mfukoni?Bwashee huyo Mungu kama anajielewa hawezi kumbariki muuaji.
Halafu huyo magufuli hakutoa hela yake ya msahahara kujenga hilo daraja. Ni kodi za walalahoi hizo. Jipongezenj wananchi acheni kusifia mizimu.
Msiwe wapuuzi. Mmesikia na nyie vibwengo wengine? Yamungu Athumani Koryo2 mwandende joseph1989
afrika inahitaj watu kama ww , chama sio kabilaWewe akili yako inawaza vyama mimi siko huko, hatufanani ujinga.
Watafute Chadema muanze kushindania vyama vyenu, mimi si mtumwa wa Chama chochote.
Una akil fup sanaKumbe umeelewa!
Unatakiwa kuwaza CCM siyo vyama.
Hahaa fly over ya k/koo mataa to tazara imefikia wap ?Afadhali limeisha, tujenge vitu vingine...probably sasa itakuwa flyover Mwenge au Fire...
chuki zinakufanya uwe mpuuz sna , 80% ya ujenzi umefanyika chini ya JPMAmbariki kwakua yeye ndio kajenga daraja?au?pesa yake ya mfukoni sidhan Kama inaweza Jenga Hilo daraja...ok ngoja TU niseme AMINA...
Usijitie chiziAcha urongo
Duh kikwete ndo muandaaji wa ilani ya ccm sio ?Hongera Kikwete kwa mpango wa ujenzi wa daraja na kuanza kutafuta fedha toka Korea kusini lakini mpenda misifa aka mungu mtu kauteka nyara mradi na kujifanya yeye ndio mwenyewe.
Kama alivyofanya Daraja la tazara, ujenzi wa terminal 3 na daraja la ubungo.
yataje hayo madaraja , mijitu mingine chuki inawafanya kuwa wapumbav ila watoto zenu watakuja kumuenz JPM , Nyerere pia alichukiwa sana kipind anajenga misingi ya hii nchiTungependa kuona madaraja yote ya Dar yaliyoasisiwa na serikali ya awamu ya nne yaitwe majina yake halisi badala ya kupewa majina rafiki zake mpenda misifa.
Usitegeme fly over yyte nyingine labda wapambane kumalizia hizi zilizopoDuh nchi itajaa ma flyova naona
Ova
Pia hapa Dar kapiga hospital nyingi ikiwemo ninayoifanyia kaz , km mamtoni vile ila huez amini tangu aondoke hakuna water supply kbs sio chooni sio vyumba vya kutolea hudumaMbona kafanya mengi, mwaka jana nilikuwa na projects za Minara ya simu mikoa saba na wenzangu walikuwa mikoa mingine, nimeshudia kwa macho sija simuliwa 70% ya hospital mpya za Wilaya katika mikoa yote zimejengwa kipindi cha Magu nyingine zimeisha nyingine zinafanyiwa finishing ndogo ndogo.
So wanao mchukia wa mchukie ila sisi wengine tumeona legacy yake hatuja simuliwa.
Chato kwann isiwe na uwanja wa ndege wakati na yenyewe ni wilaya ? Iwapo wilaya nyingine nyingi zina viwanja vya ndegeTunamshukuru mama Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha mradi kikamilifu.
Kule Zanzibar Karume alianza ujenzi wa Maghorofa ya watu wa hali ya chini, lakini alipouwawa Marais wote waliofuatia waliachana na mradi huo mpaka mwanaye alipokuja kuupata Urais ndio akakamilisha mradi aliouanza Baba yake.
Hata Magufuli aliukataa mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao aliuanza Kikwete.
Vivyo hivyo Mama ana mamlaka kamili ya kukataa miradi aliyoikuta kama haina tija kwa mtazamo wake.
Mfano Airport ya Chato ndio ingekuwa inaanza ujenzi huo mradi ungepigwa chini on the spot, ni mradi wa hovyo usiokuwa na tija kwa Taifa letu zaidi ya ubinafsi wa Magufuli.
Ww ndo una akili za kimsukule , unaelewa ila unajikuta chizAkili za kimsukule hizi
Ttzo mliofeli form 4 mlizoea mteremko sana kuishi kwa migongo ya wajomba zenu , JPM alileta mfumo wa utakula kwa jasho lako , watu wa namna hii ndo mnamchukia sn JPM ila history itaongea tuUkiingia kwa ndani kabisa, mwendazake alikuwa na sifa za kipuuzi mno.
Mkabila kwa lipi? rais msukuma , makamo mzanzabar , wazir mkuu myaoKitengo kilifeli mno, mtu mkabila mkatili sijui alipewa vipi nchi.
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.
Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.