Serikali fungeni shule na vyuo kuokoa maisha

Ni upambuvu kufunga shule na vyuo kwa Sababu ya vijimafua visivyoweza kuua hata kifaranga cha kuku!!
 
acha ujingasababu ya kufunga ni nn.tanzania ipo salama.ndo nchi pekee Africa na duniani kote yenye usalama kwa sasa.
 
Hawataki kuhimiza watu wavae barakoa wanawe mikono kwa bidii wamekalia kutegea wafe kwa wingi wapate fedha tokea WHO
 
Mbona shule zilipofungwa kwa mara ya kwanza hawakupoteza ajila? Zifungwe hata week mbili kupisha Elimu ya usafi tahadhari ipite sawasawa kisha zifunguliwe
 
Huko kote walipofanya hayo ,hawajafa saaana kivile na sasa hivi hawana corona kabisa....
 
Huko kote walipofanya hayo ,hawajafa saaana kivile na sasa hivi hawana corona kabisa....
Mfumo wa shule za Tanzania ni wa hovyo hususani shule za Serikali ambazo wanafunzi hubanana sana darasani idadi kubwa ya wanafunzi kwenye darasa moja
 
Na mikusanyiko yote isiyo na ulazima ipigwe stop
Huko mitaani stand za mabasi kwenye pool Table kuna mikusanyiko mingi inayoeneza maambukizi hususani wamasai walinzi ambao hulala chini ya miti wakiwa wamerundikana kwa wingi
 
Wanafunzi wangapi wamefariki kwa corona?
Mzee acheni maswali ya kishetani Yaani kila anayekufa wakuletee list nyumbani kwako? Hata maambukizi ya walimu wafanyakazi wa mashule uletewe list hapo nyumbani kwako?
 
Wewe ndio una ufinyu wa akili, yani nyie watanzania dah wacha tu.... shule na zifungwe ili kudhibiti ugonjwa usije ukasambaa sana. lakini hata hivyo wakati nchi zote za africa mashariki zilikuwa za pambana kwa njia moja au nyingine nyie mlikuwa mkitukejeli tu.... watanzania aiseee... wacha tu.... najua sasa mbona nyinyi nchi maskini ingawa mna rasilimali chungu nzima....ni kwa sababu ya upumbavu umekithiri zaidi
 
Mfumo wa shule za Tanzania ni wa hovyo hususani shule za Serikali ambazo wanafunzi hubanana sana darasani idadi kubwa ya wanafunzi kwenye darasa moja
Tulijionea mwaka jana haohao watoto shule zilipofungwa ndo wakawa wanazagaa mitaani kama vile hawana wazazi,,,,,....acha tubet
 
Naona mmegawanyika sana,wengine shule zifungwe wengine zisifungwe, corona ndio atakuwa mwamuzi nyie endelea kubishana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…