Jinga ni wewe usiyeona tatizo la hali mbaya ya uchumi wa nchi. Viposho vya uchawa visikudanganye, kuna kundi kubwa la wananchi linaumia. Husivyo na akili unatueleza fedha ya watu binafsi wanayoipeleka kwa hao unaowaita manabii. Kama una akili hiyo pesa kidogo ndiyo nini kwenye uchumi wa nchi?Jinga
Miradi Kama SGR haiendeshwi kwa pesa za Donors. Hizo ni pesa za MIKOPO.Baadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Ni bora wakale hao watumishi kuliko wale matapeli na mafisadi waliojazana serekaliniWapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
OkUKiona tunaongea sana hiv jua waz tuna lipa kodi..
Sawa,ndio muache kuilalamikia serikali sasaNi bora wakale hao watumishi kuliko wale matapeli na mafisadi waliojazana serekalini
Huduma za kijamii kadai huko kwa matapeli mnaowatajirisha na mafungu ya kumi mmbuz nnyieJinga ni wewe usiyeona tatizo la hali mbaya ya uchumi wa nchi. Viposho vya uchawa visikudanganye, kuna kundi kubwa la wananchi linaumia. Husivyo na akili unatueleza fedha ya watu binafsi wanayoipeleka kwa hao unaowaita manabii. Kama una akili hiyo pesa kidogo ndiyo nini kwenye uchumi wa nchi?
Nyinyi chawa ndio mnafaid pesa za Mabeberu....hongereni sanaHAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Hahaha ila kweli wacha ccm itawale tu.Huduma za kijamii kadai huko kwa matapeli mnaowatajirisha na mafungu ya kumi mmbuz nnyie
Hata watamsingizia LisauSpana la EU limeanza kuzuunguka mudogo mudogo
Tz kisiwa cha AmaniWapi huko kuna haya matukio
Usimwamini Mwarabunhata siku moja.Mkuu kwani mwarabu wa dipii wedi hajaanza kumwaga mpunga? maana tuliambiwa taabu itakuwa bai bai...
Wapuuzi nyie,kodi hamlipi mnashindana kupeleka pesa kwa manabii matapeli,na mafungu ya kumi huko makanisani kutajirisha wwavivu wa kazi hao
Hakuna Rais,hakuna serikali Bali ni matapeli yamejaa paleBaadhi ya donors wameanza kulalamika kuwa wanachangia pesa lakini hazitumiki vizuri. Zinatumika katika kusafiria na kulipana posho.
Mnakumbuka pesa za kukubali uwepo wa Covid 19 na kupigwa chanjo? Tumezila sisi wakuu... Tumewana kwa namna mbalimbali. Inaumiza lakini unaona wenzako wanapiga... Ukisusa wao wala. Unaona nawe uchukue kwa shingo upande huku ukiona huruma.
HAPO TUKAWA TUNAANZISHA MIRADI BUBU YA WAZALENDO humo ndani ndo tunasosomola madollar. Nyie wananchi endeleeni kutudumisha tu. Tudumu cc , tudumu.
Serikali imeshindwa lipa Wakandarasi. Imeshindwa lipa wengi ambao walifanya huduma kwayo. Hakuna pesa. Donors wanasema wanatoa pesa zinaliwa tu na wachache. Hali ni mbaya.
Traffic sasa wamepewa hesabu kwa siku ukiwa barabarani unahakikisha unakusanya kiwango ulichowekewa. Hali imekuwa tete. Makosa yanatafutwa hata usipochomekea unaweza pigwa faini kuwa unaendesha gari bila kuchomekea ni hatari shati linaweza nasa kwenye pedal ya accelerator ukashindwa hamisha mguu kuja kwenye brake.
Kwa hiyo jwtz ingilie katiHakuna Rais,hakuna serikali Bali ni matapeli yamejaa pale
FafanuaSpana la EU limeanza kuzuunguka mudogo mudogo