Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Kuna masharti na vigezo hana, yuko 65+yrs.
 
Umri umeenda, kuteuliwa 60+yrs labda uwe mstaafu serikalini cheo kikubwa mf CDF, Wakurugenzi nk. Mshana Jr ni mtaalamu mstaafu sijui alifika nyota ngapi kule kilingeni.
 
Tutawapata vipi wakati nyie na Wanawake wenu mnafunga PM.
Ngoja tuendelee kuwatumia Uvccm na wale wanaunga juhudi
Wekeni majina yenu wazi ili mjulikane vizuri na hoja zenu; hiyo ndio marketing na branding yako!!
Mfano si huyo Mubyazi wenu hapo JF ; mawazo na misimamo yake inajulikana sio ya kichawa na ndio maana anapata uteuzi!! Sasa nyie wakina Mayalla Njaa leo uko ccm kesho unaponda ccm , huwezi pata uteuzi kwasababu ni opportunist, kwa lugha nyepesi MNAFIKI !
 
🀣🀣🀣🀣
 
nipo huko siku nyingi sana,
na kwa miswada makini sana hii ya uchaguzi na tume ya uchaguzi tunajadili hapa mjengoni,
najiskia kuomba tena ridhaa kwa wananchi kwa awamu nyingine tena 2025-2030...
Joannah baba mtumishi kumbe yuko mjengoni na bado sadaka zetu anazitaka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba wewe ni mmoja wa hao unaowapigia debe ila umekuja kwa ID nyngine.
Hapana mkuu! Mimi siyo Mshana Jr wala Paschal Mayalla.

Humu kuna wataalam wa maandishi. Waliifuatilia uandishi wangu na hao magwiji watagundua ni kama mawingu na ardhi. Hakuna mfanano hata kidogo, naamini.

Na kwa nini Watanzania wengi wako suspicious? Ina maana watu hawaamini kuwa kuna Watanzania wanaoweza kuvisifisia vipawa vya wenzao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…