Serikali iboreshe sheria ya Ndoa za Kikristu ili ziruhusu talaka kuepusha mauaji na fumanizi

Duh
 
Ndio zote za kidini iwe kikristu, Islamic, Buddha, Indian etc zinakuwa guided na Sheria za dini husika.

Ukitaka ndoa isiyo na maadili na miongozo ya dini ni kwa mkuu wa wilaya tu.

However ndoa zote cheti unapata Cha dini ulipofungia na unapewa Cha serikali ambacho ndio cheti Cha ndoa na vyote vinafanana kinachotofautisha ni details za cheti unazojaza mfano aina ya dhehebu ndoa ya wake wangapi nk.

Sasa kwenye divorce kuna miongozo ya kila dini husika ambapo ndio inatumika kama mabaraza ya usuluhishi. Hivyo kama ndoa ni ya kikristu watasuluhisha na hawatawaachanisha Ila wanaposhindwa kusuluhisha wao huandaa muhtasari tu maaana alichounganisha Mwenyezi Mungu binadamu hawezi kutenganisha not even a church can do that.

So, ukiona wameshindwa kusuluhisha uke muhtasari huwa kama ushahidi mahakamani tena huu utaratibu umewekwa baada ya mvutano mkubwa zamani haikuwa hivi ilikuwa hakuna kuachana kabisa

Hata ukienda Mahakamani ilikuwa hamuachani kirahisi Ila baada ya mabadiliko kwenye sheria ya kanisa na mabadiliko ya kijamii na muda ndipo wakaona ni vema kanisa litoe kama muhtasari wa usuluhishi Ila sio kuachanisha, mambo ya kuachana yakaachiwa mahakamani maana watu wanaweza kupatania mahakamani pia huwa inatokea sana.
 
That's Canon law na ndio maana watu wanapaswa kujua ndoa sio kitu Cha fashion tu kama ambavyo imekuwa siku hizi.

Kama uliapa kwa Mungu kwamba kifo ndio kieatenganishe Ile ni nadhiri ambayo sio ya kumchezea Mungu.

Ndio maana wanaijua hukimbilia kubadili dhehebu na kuoa kwa kanisa jingine especially haya ya kilokole wao wanapokea kila mtu kwa kutumia mistari hiyohiyo ya biblia 😃😃😃😃 hata ukifa wakikutenga walokole wanakuzika tu hakina noma 😃😃
 
Alichounganisha MUNGU mwanadamu hawezi tengua. MUNGU anachukia kuachana. Ukitaka ndoa zakuachana baadae nenda kwingine na serikalini. Kwa wakristo talaka no !!!
Ukiwa na ushahidi kuwa mkeo au mumeo anazini huko nje ya ndoa; ndoa inavunjika
 
Talaka inatolewa mahakamani endapo utathibitisha kuwa ndoa imevunjika na haiwezi kurekebishika pia sababu nyingine ya kupewa talaka ni ukatili iwe ni matusi au kipigo.
Sasa huu mchakato wote wa nn ??? Na mahakama zenyewe nazoooo!! ????
 
Ndugu,hakuna kiongozi yeyote wa dini utakaempelekea hoja kuhusu kuachana kwenye ndoa akakupa go ahead,zaidi atakushauri mvumiliane tu.
 
Umenena vema,,,
 
isome vizuri biblia achana na mambo ya kuhadithiwa hayo.kule walipowaunganisha ndio huko talaka inatolewa.uwe na ushahidi kwa hayo ufanyiwayo.
hata kwa waislam ni jambo zito sana kutoa talaka ndio maana zipo 3
sema siku hz watu wanarahisisha tu.
 
Utakuwa hujui Ukristo ila unajaribu kujadili jambo usilojua.
Pia serkali haiingilii imani za watu na kuwawekea sheria.

Kifupi hujui unasema nini.
 
Utakuwa hujui Ukristo ila unajaribu kujadili jambo usilojua.
Pia serkali haiingilii imani za watu na kuwawekea sheria.

Kifupi hujui unasema nini.
Kama wewe
 
Msidanganyane kwamba talaka kwenye ukristo hazipo,kisichokuwepo ni ndoa nyingine ya kikristo baada ya hiyo kuvunjika,isipokuwa mpaka mmoja wenu atakapofariki.

Hivyo kama mmeshindwa tenganeni tu msije kuuana,ila kuoa na kuolewa litakuwa swala gumu.
 
talaka inatolewa serikalini maana hata ukifunga ndoa kanisani lazima ukaandikishe serikalini so ndo inavunjwa ni vile watu wamajibebdsha ukatoliki hatare
 
talaka inatolewa serikalini maana hata ukifunga ndoa kanisani lazima ukaandikishe serikalini so ndo inavunjwa ni vile watu wamajibebdsha ukatoliki hatare
Hahah
 
Ndoa zote za kiserikali
Na talaka ipo
 
Rudi darasani ujifunze sheria za nchi kuhusu imani. Kanisa lina uwezo wa kutatua matatizo ya ndoa, ikibidi hutenganishwa na kutoa nafasi ya kurudiana hali ikiwa shwari.
Unataka inchi nzima tusome sheria?
 
Mkristu aliyefunga ndoa kwa baba Paroko hakuna kuachana ndomaana maandiko yanasema kwa waliyojaaliwa tu sasa kama ujajaliwa unaenda kufunga ndoa kwa baba paroko ya nini
Labda wa edit biblia Kwanza Kama itawezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…