Serikali ichukue hatua hizi haraka ili kuinusuru nchi na tatizo la upungufu wa fedha za kigeni

Mkiambiwa nyie ni wajinga mtabisha? Bilioni 550 ndio expenditures ya mwaka mzima ya serikali kuhudumia magari mapya,mafuta na vipuri Sasa hayo magari ya bil.500 ndio magari gani? Ni mitambo ya jeshi?
Wewe ndio hauna akili. Na kubishana na wewe ni kupoteza muda tu. Chawa ni chawa, atatetea chochote kibaya au kizuri.
 
Haya mambo unaandika ukiwa umekula nini?.

Waachie wataalam wajibu hizi hija, wewe bado mdogo.
 
Haya mambo unaandika ukiwa umekula nini?.

Waachie wataalam wajibu hizi hija, wewe bado mdogo.
Hizi ndio hoja msizopenda kuzisikia, mnataka Mbowe akisema nchi itauzwa au uchumi umedorora wote tushangilie utafikiri tumelewa. In short bwana mdogo hajatoa hoja hata Moja ya maana au yenye uzito wa kujadilika,vyote ni vitimbwi vilivyozoeleka.
 
Safari gani ya Rais Ina tija. Ile ya kwenda kumuona baba yake na Rihanna au?. Safari za Rais zingekuwa na tija Kama Dolla isingeadimika. Ina maana hata utalii haulipi.
 
Wameshaomba msaada kwenye benki ya dunia. Subiri maokoto yanakuja soon
 
Kuna nchi moja huko kuna viongozi wa mchongo, hawana uchungu na maisha ya raia pamoja na rasilimali zao.

Kiufupi ni kikundi cha wahuni tu, hawapo kusaidia raia bali kuwaibia tu, wapo kama vibaka.
Ukiona mtu anafanya jambo lolote hata kuua ikibidi ili aishinde Uchaguzi haya ndio matokeo yake.

Sisi tulijua tangu mwanzo 2020
 
Safari gani ya Rais Ina tija. Ile ya kwenda kumuona baba yake na Rihanna au?. Safari za Rais zingekuwa na tija Kama Dolla isingeadimika. Ina maana hata utalii haulipi.
Acha kujiita mchumi kujiita hivyo ni kuwadhalilisha wachumi. Tatizo lako ni kusikiliza ambao hata hawahusika ili wakupatie Takwimu za kiuchumi, kumsikiliza Lissu au Mbowe na kuacha kumsikiza Dkt.Mwigulu haya ndio matatizo yake.

Dkt.Mwigulu amebainisha wazi kwamba Dola zimepungua Kwa sababu tunalipa sana madeni ili tusiingie kwenye hatari ya kutokukopesheka tena. Kama wewe ni mchumi nichambulie hii scenario kiuchumi, Nchi ambayo bajeti yake Kwa Zaidi ya 50% inategemea mikopo na misaada na huku ikiwa low taxable capacity ,je itumie njia ipi kufinance budget deficit ikiwa imeamua kuachana na mikopo ?

Je, kufidia hiyo gap ya 50% ifidiwe Kwa kuongeza Kodi au kukopa mikopo nafuu yenye riba nafuu?

Je, ni kipi Bora kiuchumi kati ya kuongeza Kodi ili kuwaumiza wananchi au kukopa concessional loan ya miaka ishiri kama ule mkopo wa WB wa kukabiliana na UVIKO 19?
 
Hii nchi ina wezi waliokubuhi ,,,na wana mbinu za kuiba wamebobea. Hebu tafakali mtu Kama tutuba ( Gavanna BOT ana uwezo mkubwa sana lakini anawatazama tuuu .Nan kama mama
Tatizo hao wezi wamejipanga kwa safu na wameunda Cartel yao wakiongozwa na raia namba moja. So kila wizi unaofanyika una baraka zake zote na ndio maana huwezi sikia wala kuona Wakurugenzi wakiwajibishwa. Nchi inayojitambua Lameki asingekuwepo ofisini hadi leo
 
Uhaba wa mafuta halafu yakauzwa 1500 kwa litre?
 
Uhaba wa mafuta halafu yakauzwa 1500 kwa litre?
Kwani huo uhaba ulikuwa all over? Ulikuwa locally na kama kawaida habayzilipigwa pini na kama ni bei yanaweza kuuza hata buku Cha maana ni bei ya soko Duniani ilikuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…