Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

Mpaka sasa idadi iliyotangazwa, inaonyesha wagonjwa wote wametoka nje ya Tanzania, hakuna hata mmoja aliyeambukiziwa hiyo corona hapa, labda ngoja tusubiri hizo siku 14 tuone kama wameishaambukiza watu.
 
Na huyo UMI Mwalimu akae mbali na hii kitu, awaachie madaktari kutoa taarifa hii na miongozo zaidi.
 
Nchi ya Chad, ambayo bado haijapata mgonjwa au mshukiwa wa virusi vya Corona, imefunga mipaka yake yote na viwanja vya ndege ikiwa ni sehemu ya juhudi kuhakikisha virusi hivyo vinadhibitiwa.
NB:Idriss Deby ni raisi diktekta wa kweli sio wale uchwara..maana alipindua Chad toka 1990 mpaka leo raisi ...lakini anafunga mipaka ya nchi yake ili watu anaowaongoza wasife...Hapa kwetu viongozi hawana huruma na watu wanaowaongoza ...
wamefunga mipaka ya ndege na mabasi, je zile njia za wamasai wamefunga
 
Mficha magonjwa, mauti humwumbua. Ni kweli kwamba wale wanaotajwa na serikali tu ndo idadi halisi? Hawa wanaotajwa tajwa kwingine mbona kwenye list hawawekwi?View attachment 1393064

Sent using Jamii Forums mobile app

Vero umenifanya nicheke japo si mazuri, Mungu anakuona ujue. Jamani mpaka wananchi ndo wanawagundua wagonjwa kweli hali ni mbaya sana
 
Enhee!! Basi sawa mtaalam.

Jamani, wengine tukumbushane, siku moja iliyopita Rose Marie Compaure, makamu wa rais wa bunge la Burkina Faso alifariki kwa ugonjwa wa Corona. Rose alikuwa mwafrica mweusi kutoka sub-saharan Africa.
Nimegoogle sijamuona Rose
 
Jamani hata nchi kubwa kama USA haijui inao wagonjwa wangapi sembuse Tz, mpaka sasa hv USA inastruggle kupata vipimo vya wagonjwa ukienda kama hauko hoi wanakurudisha nyumbani na dawa za maumivu tuu, ukianza kuhisi kufa kufa ndio utapewa vipimo na kuchukuliwa seriously.
Hivyo Watanzania kuweni na subira by the time mambo yanaharibika bongo nchi za magharibi watakuwa washapata ufumbuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao Wasafi tuliwaambia humu wasiende huko Ulaya kama sio lazima. Amebaki yule msemaji wa Simba.
 
Mungu asimamie upande wetu na jinsi tulivyokuwa hohe hahe mwee familia ya watu sita vyumba viwili nyumba ina vyumba sita wakaaji 16 choo kimoja bafu moja nawaza mbali mwenzenu sijui tuanze kupungua mjini kurudi vijijini manake kule hakuna mbanano

Sent using Jamii Forums mobile app


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 u made my day mkuu
 
Nashauri tuu corona ingepitia kwa wingi wanachama wa chama fulani kinachosadikika kuwa wanachama wake wengi ni Majinga na hayajitambui.Haya Majinga yakiondoka taaifa haliwezi pata hasara.Katika Maadui watatu ambao wanalitesa taifa kwa mujibu wa Mwl. Nyerere alitangaza 1.Maradhi 2. Umaskini 3. Majitu Majinga. Tubakie wenye weredi tuu tujenge taifa. Pia isiwasahau watu wasio julikana iondoke nao tuu haraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegoogle sijamuona Rose
Ukipata muda Google tena, ninaweza kuwa nimekosea spellings, kifaransa huwa kinanisumbua. Tumia key words: sub-saharan africa first Corona death, deputy president Burkina Faso parliament, member of parliament etc.
 
wakishafika elfu kumi ++ ndio huwa wanaanza kufa, maana kunakuwa na mchanganyiko wa wagonjwa wenye umri tofauti, wenye magonjwa mengine (Presha, Sukari) etc.

Idadi ikiwa kubwa mno vituo maalum vya kupambana na huo ugonjwa ndio huzidiwa na huduma kudorora. Ulaya ilianza hivi hivi na nchi kama Italia wengi walikuwa wanasema huu ugonjwa ni kama mafua tu ya kawaida ila cha moto wanakiona sasa hivi. Siombei mabaya nchi yetu ila ni bora kuwa makini na kujiandaa kwa lolote, wiki ijayo inawezekana tukawa tunaongea lugha tofauti.
Huko Italia hadi sasa wamekufa wangapi mkuu 'Cannabis'?
 
Huko Italia hadi sasa wamekufa wangapi mkuu 'Cannabis'?
Mpaka sasa wamekufa 2,978, hiyo ni kati ya wagonjwa 35,713. Jana ilikuwa ni rekodi ambapo walikufa 475. Kwenye mji wa Bergamo inasemekana wamezidiwa kiasi cha kwamba jeshi ndio limejitolea kubeba maiti, huo ndio msafara hapo chini.
Lakini asilimia 99 ya waliokufa ni watu waliokuwa na magonjwa mengi na ni tishio zaidi kwa wazee. Kwa huku Tanzania mpaka sasa naona wanaopata hawafikii hali mbaya, tuna majanga ya kutosha tuchukue tu tahadhari ili nalo lipite tuendelee kupambana na hali zetu.

26157396-8129959-image-m-3_1584612356502.jpg

26157382-8129959-image-a-6_1584612767421.jpg

26157376-8129959-Mortuaries_are_full_and_crematorium_staff_have_been_handling_24_-a-2_15846168...jpg

26164312-8129959-image-a-2_1584623722368.jpg

'A generation has died': Italian province struggles to bury its coronavirus dead
Bloomberg - Are you a robot?
Military trucks transport Italian coronavirus victims' coffins
 
Tatizo kwa wale ambao immunity yao ipo chini. Wazee na wenye magonjwa yasiyo ambukiza na wenye HIV pia.
Kwa hiyo basi tuamue kwamba hawa ndio wanaohitaji 'isolation'; badala ya hao wenye kinga zao za miili? Au unasemaje?

Wazee wote wenye afya dhaifu dhaifu watengwe majumbani mwao, wasitembelewe na hawa watu wengine wanaoweza kuwaambukiza ugonjwa huo.

Na hapo hapo juhudi nyingine za kusitisha maambukiza hata katika kundi hilo la wenye nguvu zikiendelea kusisitizwa!

Corona sio hatari sana.

Hatari ni upashanaji habari unaosambaa haraka.

Hatari ni 'corona' hakujulikana, ndio kwanza anajitokeza, hana chanjo wala kinga yoyote zidi yake.

Lakini corona, katika 'virulence' yake hana tofauti yoyote na hawa wengine tunaowajua kwa siku nyingi, kama 'influenza' n.k.

Tutamzoea tu na kumdharau siku sio nyingi.
 
Back
Top Bottom