KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hawa ndio waliostahili kuwekwa sehemu maalum, kwa uangalizi wa karibu zaidi, wakiwa wametengwa wasigusane na jamii nyingine, wakati shughuli za kuudhibiti ugonjwa zikiendelea.Lakini asilimia 99 ya waliokufa ni watu waliokuwa na magonjwa mengi na ni tishio zaidi kwa wazee.
Hello, I'm curious. Are you Kenyan 🙃
Nenda Italia leo waambie Corona siyo hatari sana.Kwa hiyo basi tuamue kwamba hawa ndio wanaohitaji 'isolation'; badala ya hao wenye kinga zao za miili? Au unasemaje?
Wazee wote wenye afya dhaifu dhaifu watengwe majumbani mwao, wasitembelewe na hawa watu wengine wanaoweza kuwaambukiza ugonjwa huo.
Na hapo hapo juhudi nyingine za kusitisha maambukiza hata katika kundi hilo la wenye nguvu zikiendelea kusisitizwa!
Corona sio hatari sana.
Hatari ni upashanaji habari unaosambaa haraka.
Hatari ni 'corona' hakujulikana, ndio kwanza anajitokeza, hana chanjo wala kinga yoyote zidi yake.
Lakini corona, katika 'virulence' yake hana tofauti yoyote na hawa wengine tunaowajua kwa siku nyingi, kama 'influenza' n.k.
Tutamzoea tu na kumdharau siku sio nyingi.
indigenous tupo na strong immunity exotic breeds zina sumbuliwa sana na hili dudukwa hiyo natives tupo salama?
natamani ile intelijensia ya polisi ndo itumike sasa kupambana na kirusi cha corona badala ya wapinzaniUnatuna wanajeshi wakazifuate msituni au.
Tuache ushamba jamani. Mipakani na airport hawapimi corunavirus kuona kama msafiri ameambukizwa. Wanachofanya ni kupima tu joto la mwili kuona kama liko juu (ambayo ni moja ya dalili za mtu anayeugua ugonjwa wa corona. Zaidi wanakupa form unajaza kuelezea sehemu ulizotembelea kabla hujasafiri au kama umeshaishi sehemu yenye mlipuko. Kama joto liko sawa unaruhusiwa kuingia lakini unapewa angalizo la kuwa makini kwa kujitenga kwa wiki mbili ili kama uliambukizwa usisambaze kwa watu wengine. Nichi zote ndivyo wanavyofanya. Hata wakati ule wa mafua ya ndege walikuwa wanafanya hivi hivi. Wangekuwa wanapima corona virus yenyewe kusingekalika kwani vipimo bado ni vichache na wasafiri ni wengi. Imagine vuiwanja vyenye wasafiri wengi kama Hearthrow waanze kupima kila msafiri kama ana virus.... itachukuwa muda mrefu sana.Hawa waathirika wa Corona ambao ni takribani 6 waliotangazwa had sasa, na wote wametokea nje ya mipaka ya Tanzania, Walifanyiwa vipimo uwanja wa ndege walipowasilia au ni baada kuingia mtaani ndio wakagundulika?
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahahhaa hiki kirusi lazima waziri atumie approximatelyKwa mnaohoji kuhusu mgonjwa wa 6 ni kwamba wizara ina uhakika mgonjwa wa 6 atajitokeza tu muda wowote kwa hiyo wameona wawaambie in advance. Tuko vizuri...
mwemwemwe! mama Tanzania nchi yanguwa 6 ni wa rizev yuko anapasha misuli muda wowote ataingia uwanjani,
Sent using Jamii Forums mobile app
dah inaweza kuwa kweli hii ngoma pote ilikopita haikuruka High ranks of the national leadershipsMzalendo_Mkweli, Who knows labda huyo wa sita Ni Ummy mwenyewe!
What if Ni Jiwe wanashindwa kumtaja tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari fireUbaya wa Corona, leo mkigundua 1, kesho 10, keshokutwa 439, mtondogoo 3290, mtondo 8439.
Unforgetable
Kwa hiyo ina maana haupo!Huu ugonjwa umetukuzwa mno.
Aisee. Kwamba Corona ishakuwa fursa.
Ndiyo maana yakeAisee. Kwamba Corona ishakuwa fursa.
Noma Sana.Ndiyo maana yake