KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hawa ndio waliostahili kuwekwa sehemu maalum, kwa uangalizi wa karibu zaidi, wakiwa wametengwa wasigusane na jamii nyingine, wakati shughuli za kuudhibiti ugonjwa zikiendelea.Lakini asilimia 99 ya waliokufa ni watu waliokuwa na magonjwa mengi na ni tishio zaidi kwa wazee.
Ngoja niweke siasa kidogo:
Hizo picha mwanzo zilinitisha mkuu 'Cannabis' nilipoziona kwa mara ya kwanza kabla ya kusoma andiko lako.
Jambo la kwanza nililofikiri ni maandalizi ya uchaguzi wetu mkuu mwaka huu!