Serikali: Idadi ya Wagonjwa wa COVID19 kwenye baadhi ya vituo yapungua

Mungu pia huchukizwa na wapumbavu,na amewataja akiwafananisha na hayawani katika maandiko kibao tu,binaadamu wenye roho za kinyama.
Umetukana mbwa sio pumbavu,ungesema pumbavu nisinge kuquote.
Kumbuka Mungu amemuumba Mwanadamu kwa sura na mfano wake Wewe ni nani umwite Mwanadamu mbwa,hata kama amekuudhi ,Muumba hajawai Mwita !Mwanadamu wake mbwa hata Kama amemkosea vip,wewe ni nani umwite Mwanadamu unavyojisikia?
 
Kama ni kweli basi waruhusu wana habari za uchunguzi waende kufanya utafiti,yaani kituo cha amana na mloganzila ambavyo ndio vituo vikuu vya wagonjwa wote wa korona DAR ndio unasema kuna wagonjwa 6????? Like Seriously,you good? whata a lie!! Ni uongo wa plate namba A!! Hatuwezi kuyatatua matatizo kwa kujidanganya kwamba hayapo,tuseme ukweli.
 
Watu walitabiri hadi kufikia may hospitali zitafurika wagonjwa wa corona
 
mkuu mbwa ni zaidi ya sura.

kuna mbwa,simba,nguruwe katika umbo la binaadamu.

binaadamu anayeombea wengine kufa,hata cheo cha mbwa ni kidogo.
 
na kama maambukizi mapya hakuna mbona jiwe bado anang'ang'ania kubaki chatoo, si arejee dar tuchape wote kazi?!

fungueni basi na shule/vyuo

waswahili walisema, NJIA YA MUONGO NI FUPI!!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapiga nyungu ,Tumetumia Dawa zetu tulizogundua wenyewe COVIDOL na NIMRICAF

Very soon tunaanza kuuza Dawa Zetu nje ya nchi hapa kazi tu
 
Tunapiga nyungu ,Tumetumia Dawa zetu tulizogundua wenyewe COVIDOL na NIMRICAF

Very soon tunaanza kuuza Dawa Zetu nje ya nchi hapa kazi tu
 

Angetuambia hao wagonjwa wamepungua kwa kupona au kwa vifo?

Kwa sasa watu wanaogopa kwenda hospitalini kwa hawapatiwi huduma, na pia wahudumu wanawakimbia sasa wakigundua wanaumwa wanajitibia tu nyumbani. Wakifa wanazikana wao kwa wao na pale ambapo serikali itapata taarifa, basi ndo tena hivyo.
 
Wakifa wanazikana wao kwa wao ina maana hata mortuary wanaogopa kupeleka maiti zao zitapata Corona?

Kwa theory hii maana yake mortuary zingefurika na misiba huko mitaani ingekuwa kila kona.
 
Kweli,nilimsikia yule profess wa NIMR akisema ile dawa inasaidia Sana, then pale Jpm aliposema tumesha ishinda hii vita,nilimwelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…