Serikali ijenge kaburi "fake" la Hayati Magufuli pale Nyerere Square Dodoma sehemu ya wazi ili kila mtu apate kulitembelea

Serikali ijenge kaburi "fake" la Hayati Magufuli pale Nyerere Square Dodoma sehemu ya wazi ili kila mtu apate kulitembelea

Kaburi la maalim seif watu wanaenda kuchukua mchanga kisa una mambo mazito.na JPM ni zaidi.
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Uyu kitendo cha kuazimisha kifo chake kila mwaka ,kila siku ikifa uko aliko mateso yaongezeka, waliopotea kupitia mikono yake watakua wanampa za chambe sana
 
Kaburi la maalim seif watu wanaenda kuchukua mchanga kisa una mambo mazito.na JPM ni zaidi.
Nusura kaburi la maalim seif lifutike pale,wapenba kila siku walikuwa wanachota mchanga mpaka serikali ikaingilia kati
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Kumbewapumbavu mpowengi kazikwe nae nanianahamu nahuyo mufilisi alikuwa anauwa elimu taratibu iliatawale milele aunguzwehuko namoto wajahanamu alipo
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Mkuu nimeku PM
 
Waliweke pale tuwe tunaenda kulipiga hata mateke
Yaan nyie mnaomchukia Marehemu Dr Magufuli ,Rais aliyefanya mengi kuliko Rais yeyote Tanzani(Nukuu ya Rais mstaafu Mwinyi) ni wachache sana.Watanzania wengi sana ,wanamkubali sana yule mwamba.Nyie wachache ,ambao mlikuwa mafisadi ,mkiongozwa na timu Msoga et al,na wenye vyeti feki,majambazi ndio mnaomtukana mwamba.Kama mnabisha tukio la kujazwa maji ya bwawa la umeme timu Msoga et al,waliaibika sana.Magufuli alishangiliwa sana sana ,Mara baada ya mwakirishi wa familia kuchukua Zawadi.Uzinduz wa MV Mwanza naona mama na timu Msoga waliingia mitini.Kwa hiyo mtatukana sana hapa jamvini lakin wananchi hawawataki.Wanataka mtu Kama JPM.Tusuburi na tupewe uhai tutaona mengi.Regards.
 
Najua familia ya hayati Magufuli haiwezi kukubali baba yao azikwe upya Dodoma, ila serikali inaweza kufanya ujanja huu nawapa.

Serikali inaweza kuongea na familia Watanzania wanyonge wanatamani kutembelea kaburi la mtetezi wa wanyonge hivyo wanaomba kuhamisha kaburi lake toka kule Chato mpaka sehemu ya wazi hususan Dodoma, Nyerere Square. Sehemu ya wazi kabisa katikati ya nchi, makao makuu ya chama na serikali bila kufukua mwili wa baba yao.

Baada ya hapo taratibu zote za kulihamisha zinafuatwa ila kiualisia mwili unabaki kulekule Chato, Dodoma linapelekwa jeneza tupu huku camera za waandishi zikimulika tukio la kuzikwa upya kwa hayati Magufuli, inabaki kuwa siri ya familia na viongozi wachache wa juu kuwa mwili ulibaki Chato na pale Dodoma ni kanyaboya.

Faida zake itavutia watalii sana kulitembelea kaburi lake, pili wabaya wake watapata wasaa wa kwenda kulidhiaki na kinyongo kitaisha, waliompenda wataenda kutambika na kumuombea na kupiga selfie.

Hii ni kawaida kwa wakristo kuhamisha makaburi, Kardinari Laurian Rugambwa alifariki mwaka 1997 na kuzikwa kwenye kanisa la Kashozi ila mwaka 2012 kaburi lake likahamishiwa kanisa kuu la Bukoba Cathedral ambalo lilikuwa kwenye matengenezo makubwa kipindi Rugambwa anafariki.

Note: Kaburi la sasa la Hayati magufuli liko uani kabisa chini ya ulinzi mkali, tarehe 17 March niliomba kulitembelea ili nikatambike nikazuiwa, najua watanzania wengi wanatamani kulitembelea kupiga nalo picha na kutambika ila kwa zile SMG za walinzi hata ile kusogelea nyumba tu wanaogopa.

Amin amin nawaambia kwa kufanya hivyo kila mwaka tarehe 17 March Dodoma itakuwa inajaa wageni mpaka mji utashindwa kuwahost
Tuondosheeni ujinga.
 
iko namna.
Hata la Marehemu Drt. Omari Ali Juma aliyekuwa Makamu wa Raisi katika Utawala wa Mkapa kipindi cha miaka mitano ya Kwanza bado linalindwa hadi leo.!
Heavy metals NYINGI ni nonbiodegradable materials kama cyanides na Mercury ni rahisi ku zi trace !!!
Wakemia wamenielewa!!
 
Kwa kufanya hivyo umaskini wa nchi hii utaisha?
Watoto wetu watapata elimu Bora? Vipi tatizo la umeme na maji litamalizika?

Wakulima watapata solo Bora Kwa mazao yao?

Huduma za afya zitaimarika?

Hivi mbona idadi ya wapumbavu inaongezeka Kwa Kasi sana ndani ya nchi hii?
 
Yaan nyie mnaomchukia Marehemu Dr Magufuli ,Rais aliyefanya mengi kuliko Rais yeyote Tanzani(Nukuu ya Rais mstaafu Mwinyi) ni wachache sana.Watanzania wengi sana ,wanamkubali sana yule mwamba.Nyie wachache ,ambao mlikuwa mafisadi ,mkiongozwa na timu Msoga et al,na wenye vyeti feki,majambazi ndio mnaomtukana mwamba.Kama mnabisha tukio la kujazwa maji ya bwawa la umeme timu Msoga et al,waliaibika sana.Magufuli alishangiliwa sana sana ,Mara baada ya mwakirishi wa familia kuchukua Zawadi.Uzinduz wa MV Mwanza naona mama na timu Msoga waliingia mitini.Kwa hiyo mtatukana sana hapa jamvini lakin wananchi hawawataki.Wanataka mtu Kama JPM.Tusuburi na tupewe uhai tutaona mengi.Regards.
Ni lini wananchi walikupa mamlaka ya kuwasemea ewe mfuasi wa marehemu
 
Yaan nyie mnaomchukia Marehemu Dr Magufuli ,Rais aliyefanya mengi kuliko Rais yeyote Tanzani(Nukuu ya Rais mstaafu Mwinyi) ni wachache sana.Watanzania wengi sana ,wanamkubali sana yule mwamba.Nyie wachache ,ambao mlikuwa mafisadi ,mkiongozwa na timu Msoga et al,na wenye vyeti feki,majambazi ndio mnaomtukana mwamba.Kama mnabisha tukio la kujazwa maji ya bwawa la umeme timu Msoga et al,waliaibika sana.Magufuli alishangiliwa sana sana ,Mara baada ya mwakirishi wa familia kuchukua Zawadi.Uzinduz wa MV Mwanza naona mama na timu Msoga waliingia mitini.Kwa hiyo mtatukana sana hapa jamvini lakin wananchi hawawataki.Wanataka mtu Kama JPM.Tusuburi na tupewe uhai tutaona mengi.Regards.
Samahani mkuu, Naomba uorodheshe hayo "mengi" aliyofanya kuliko Maraisi wengine

Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom