mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
- Thread starter
-
- #21
Kazi kwani hatufanyi? Umemsikia mwenda zake akitaja kuwa miundo mbinu inaletwa na serikali sasa hiyo stand mnataka ijengwe na wananchi wakati tunakatwa tozo na kodi lakini bado hatupewi hizo fedhaAcheni majivuno fanyeni kazi unataka kusingizia vita ya miaka 42 ndiyo imeleta umasikini. Kwani Kagera ina shida ya watu wa nguvu kazi.
Bora hata uko wanapoijenga stendi ya bukoba sio mbali sana na kushangamka sasa...tatizo la Bukoba ni ccm ..imagine toka 2020 ujenzi ulisimamishwa kwa sababu uongozi wa Bukoba ulibadirishwa toka chadema to ccm.Ninasema hata sie wa ,Njombe, Iringa, Songea n.k tulitakiwa shirikishwa wapi masoko na Stendi vijengwe, hili la Kagera ni mfano tu unaonesha ni KWa namna GANI wananchi Tunaburuzwa na Serikali, kwamba kwenye Miradi inayotugusa moja kwa moja hatushirikishwi, sawa WENDA miaka sita ikawa mingi tokana na malumbano wapi Mradi utajengwa ,ila ni kazi ya viongonzi kupima hoja na kuja na suruhu sio toa maneno ya hovyo,
Kuna pengine yamejengwa ayo masoko tz hii na stendi tena KWa gharama kubwa ila yatachukua miaka hata 30 bila kutorudisha gharama, Sasa nijibu,
Lipi zuri ,jenga mradi KWa mwaka au mda mfupi ila ufanisi wake unakua sufuli, au chelewa kujenga na ukajenga pale ambapo ufanisi ni 100% jibu mkuu
Ni imani yangu Mikoa mingi inapata viongozi ambao wao ubunifu, burasa katika kutatua kero nyepesi upo chini,Bora hata uko wanapoijenga stendi ya bukoba sio mbali sana na kushangamka sasa...tatizo la Bukoba ni ccm ..imagine toka 2020 ujenzi ulisimamishwa kwa sababu uongozi wa Bukoba ulibadirishwa toka chadema to ccm.
Soko kuu Bukoba litajengwa hapo hapo mjini kati...lakin wanalumbana kila siku wafanyabiashara wawaweke wap kwa muda...
RC MWENYE WAJIBU WA KUSOLVE HAYO..ASHAANZA KUWAOGOPA WAHAYA NA USOMI WA KUJUA SHERIA...
Huyu chalamila baada ya kuja kagera ndo nimejua yuko weak..anajifisha kwa kuongea sana tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Umeona anaanza kwa kuponda badala ya kutafuta nini chanzo cha haya mambo. Ameferi kabla ya hata kuanza.Bora hata uko wanapoijenga stendi ya bukoba sio mbali sana na kushangamka sasa...tatizo la Bukoba ni ccm ..imagine toka 2020 ujenzi ulisimamishwa kwa sababu uongozi wa Bukoba ulibadirishwa toka chadema to ccm.
Soko kuu Bukoba litajengwa hapo hapo mjini kati...lakin wanalumbana kila siku wafanyabiashara wawaweke wap kwa muda...
RC MWENYE WAJIBU WA KUSOLVE HAYO..ASHAANZA KUWAOGOPA WAHAYA NA USOMI WA KUJUA SHERIA...
Huyu chalamila baada ya kuja kagera ndo nimejua yuko weak..anajifisha kwa kuongea sana tu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Watupe DC wa Malinyi asimame jiji bila kumwingilia alaf miaka mitatu waje kuangalia mambo.Ni imani yangu Mikoa mingi inapata viongozi ambao wao ubunifu, burasa katika kutatua kero nyepesi upo chini,
Siku moja nikashangaa katika Mapato eti Dodoma jiji ikawa juu ya Mwanza,!!
Leo Kagera, Ruvuma, Tanga , Tabora, kigoma ,KWA nini ziwe maskini? alafu unalaam Elim za watu,
Chalamila wakati anafundisha moja ya chuo hapo IRINGA, alikua anafundisha kwa KIBENA? maana vingereza hataki, na ni kwanini watoto wake awapeleke kwenye shule za kulipa, lengo siwajue vingereza
Kagera Kama ilivyo Mikoa mingine, vipo vyanzo vingi vya kuongeza mzunguko na Mkoa ukapaa ni swala la kuwa na viongozi wabunifu,
Tafuta mikoa maskini list umekosea yaani Tanga unaumwa sio bureNi imani yangu Mikoa mingi inapata viongozi ambao wao ubunifu, burasa katika kutatua kero nyepesi upo chini,
Siku moja nikashangaa katika Mapato eti Dodoma jiji ikawa juu ya Mwanza,!!
Leo Kagera, Ruvuma, Tanga , Tabora, kigoma ,KWA nini ziwe maskini? alafu unalaam Elim za watu,
Chalamila wakati anafundisha moja ya chuo hapo IRINGA, alikua anafundisha kwa KIBENA? maana vingereza hataki, na ni kwanini watoto wake awapeleke kwenye shule za kulipa, lengo siwajue vingereza
Kagera Kama ilivyo Mikoa mingine, vipo vyanzo vingi vya kuongeza mzunguko na Mkoa ukapaa ni swala la kuwa na viongozi wabunifu,
Ipo mashine nyingine hivi, MTAKA yule anafaa Sana kuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza au Kagera, hii Mikoa inategemeana,Watupe DC wa Malinyi asimame jiji bila kumwingilia alaf miaka mitatu waje kuangalia mambo.
Mkuu tatizo mnadanganywa na tafiti za Twaweza, wenda mnazungumzia tu kipi kinapatikana kule katika changia kwenye mfuko wa serikali kuu, kisa hivyo viwanda vichache vinavyofanya kaziTafuta mikoa maskini list umekosea yaani Tanga unaumwa sio bure
Kinachosikitisha ni kwamba kila anayepanda jukwaa kuelezea kinachoitwa umaskini wa Mkoa wa Kagera anakuja na ngonjera za wingi wa maprofesa na ma-PhD holders kutoka mkoani mwetu. Lawama zote zinarundikwa kwa watu hao na Wanakagera kwa jumla.
Huo ndio ukasuku na unafiki wa watawala wetu ambao tumezoea kwa miaka mingi sasa. Watawala wanajifanya kama hawajui chanzo halisi cha kile wanachokiita umasikini uliokithiri mkoani humo. Bila tafakuri yoyote ya "tafiti" zinazodaiwa kufanywa na Serikali, wanakuja tu na porojo za jumlajumla kuhusu "umasikini" huo. Tafiti hizo za kimangumashi hazielezei chanzo cha tatizo la mkoa wa Kagera.
Haziangalii matokeo ya vita vya Kagera na uharibifu wa usalama na miundombinu uliosababishwa na ugomvi wa Serikali na Iddi Amin. Kwamba shughuli za uzalishaji na kiuchumi zilikufa kabisa kutokana na vita hiyo.
Hawaoni kwamba serikali ilikosea (kwa makusudi) kutotangazwa kwa hali ya hatari mkoani humo, kwa maana ya kujenga miundombinu upya na kuwasaidia wanakagera kurudia maisha yao ya kabla ya vita. Hawasemi Serikali ilifunga mpaka na Uganda, hivyo kusitisha shughuli zote za kiuchumi, ambapo soko kuu la mkoa wa Kagera lilikuwa Uganda. Baada ya vita Ukimwi uliotokea Uganda ulimaliza nguvukazi kubwa ya mkoa huo kwa kupuputisha maisha ya maelfu ya nguvukazi wa Kagera.
Wanajifanya hawajui kwamba MV. Bukoba ilizama na kuua mamia ya watu, wengi wao wakiwa Wanakagera. Hapohapo, MV. Victoria "iliharibika" na kufanya Wanakagera kukosa kabisa usafiri wa kuwaunganisha na nchi yao, huku mazao yao ya kiuchumi yakishindwa kusafirishwa kwenda kwenye masoko makubwa ya kibiashara ya hapa nchini kama Mwanza na Dar es Salaam. Serikali haikuona umuhimu wa kuwapa Wanakagera vyombo vingine vya usafiri ili wajimudu kiuchumi.
Ndipo pia ulipoingia "Ugonjwa wa Mnyauko" wa migomba uliopigilia msumari wa mateso na umasikini wa wanakagera. Yapata sasa zaidi ya miaka 15. Je, Serikali ilichukua hatua gani kuwasaidia wakulima wa kilimo cha migomba mkoani Kagera? Hakuna! Wakati huohuo Wanakagera walikatazwa kuuza kahawa yao nchini Uganda ambako walikuwa wanapata bei nzuri kulingana na gharama za uzalishaji. Waliopatikana na uvushaji wa zao hilo waliadhibiwa, ikiwemo vifungo au kufilisiwa, huko kahawa ikilimbikiziwa "tozo" lukuki bila kutilia maanani gharama za wakulima za uzalishaji.
Hiyo ni mifano michache tu ya hujuma ya serikali dhidi ya mkoa wa Kagera kwa miongo mingi sasa. Matokeo yake ni nini, Wananchi wa mkoa wa wa Kagera waliona serikali ilikuwa haiwataki, haiwapendi. Wakasema isiwe taabu, wakaamua kuhamia mikoa nyingine nchini na kuwekeza huko. Je, serikali inajifanya haioni uwekezaji wao mkubwa na uliotukuka katika mikoa mingine nchini, ikiwemo Dar Es Salaam, Mwanza, Arusha na kwingineko?
Serikali imekuwa ikipiga kelele nyingi eti wahaya wameshindwa kujenga soko na kituo cha mabasi mjini Bukoba, ikijifanya haijui kwamba jukumu hilo ni lake na vyombo vyake, ikiwemo TAMISEMI. Kwani vituo vya mabasi na masoko ya Dodoma, Morogoro, Dar Es Salaam, Mwanza na kwingineko vimejengwa na nani kama sio Serikali? Nimalizie kwa kuishauri Serikali kwamba iwekeze mkoani Kagera kama ambavyo imekuwa ikiwekeza sehemu nyingine nchini.
Ikiwekeza Kagera, kama ambavyo Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kufanya kwa kujenga kitengo cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM), mkoani humo, basi itarajie kwamba maprofesa na PhD holders kutoka mkoani Kagera watarudi nyumbani kufaidi fursa za uwekezaji wa serikali. Ni matumaini ya wengi mkoani Kagera kwamba Mkuu mpya wa mkoa wa Kagera, Mhe. Chalamila ataelewa chanzo cha "umasikini wa mkoa wa Kagera."
Punguzeni vikundi vya kuchangiana misiba, harusi , rushwa na sifa za kufekii . Fanyeni kazi kwa bidii muuondoe huo umaskini wenu.Kinachosikitisha ni kwamba kila anayepanda jukwaa kuelezea kinachoitwa umaskini wa Mkoa wa Kagera anakuja na ngonjera za wingi wa maprofesa na ma-PhD holders kutoka mkoani mwetu. Lawama zote zinarundikwa kwa watu hao na Wanakagera kwa jumla.
Huo ndio ukasuku na unafiki wa watawala wetu ambao tumezoea kwa miaka mingi sasa. Watawala wanajifanya kama hawajui chanzo halisi cha kile wanachokiita umasikini uliokithiri mkoani humo. Bila tafakuri yoyote ya "tafiti" zinazodaiwa kufanywa na Serikali, wanakuja tu na porojo za jumlajumla kuhusu "umasikini" huo. Tafiti hizo za kimangumashi hazielezei chanzo cha tatizo la mkoa wa Kagera.
Haziangalii matokeo ya vita vya Kagera na uharibifu wa usalama na miundombinu uliosababishwa na ugomvi wa Serikali na Iddi Amin. Kwamba shughuli za uzalishaji na kiuchumi zilikufa kabisa kutokana na vita hiyo.
Hawaoni kwamba serikali ilikosea (kwa makusudi) kutotangazwa kwa hali ya hatari mkoani humo, kwa maana ya kujenga miundombinu upya na kuwasaidia wanakagera kurudia maisha yao ya kabla ya vita. Hawasemi Serikali ilifunga mpaka na Uganda, hivyo kusitisha shughuli zote za kiuchumi, ambapo soko kuu la mkoa wa Kagera lilikuwa Uganda. Baada ya vita Ukimwi uliotokea Uganda ulimaliza nguvukazi kubwa ya mkoa huo kwa kupuputisha maisha ya maelfu ya nguvukazi wa Kagera.
Wanajifanya hawajui kwamba MV. Bukoba ilizama na kuua mamia ya watu, wengi wao wakiwa Wanakagera. Hapohapo, MV. Victoria "iliharibika" na kufanya Wanakagera kukosa kabisa usafiri wa kuwaunganisha na nchi yao, huku mazao yao ya kiuchumi yakishindwa kusafirishwa kwenda kwenye masoko makubwa ya kibiashara ya hapa nchini kama Mwanza na Dar es Salaam. Serikali haikuona umuhimu wa kuwapa Wanakagera vyombo vingine vya usafiri ili wajimudu kiuchumi.
Ndipo pia ulipoingia "Ugonjwa wa Mnyauko" wa migomba uliopigilia msumari wa mateso na umasikini wa wanakagera. Yapata sasa zaidi ya miaka 15. Je, Serikali ilichukua hatua gani kuwasaidia wakulima wa kilimo cha migomba mkoani Kagera? Hakuna! Wakati huohuo Wanakagera walikatazwa kuuza kahawa yao nchini Uganda ambako walikuwa wanapata bei nzuri kulingana na gharama za uzalishaji. Waliopatikana na uvushaji wa zao hilo waliadhibiwa, ikiwemo vifungo au kufilisiwa, huko kahawa ikilimbikiziwa "tozo" lukuki bila kutilia maanani gharama za wakulima za uzalishaji.
Hiyo ni mifano michache tu ya hujuma ya serikali dhidi ya mkoa wa Kagera kwa miongo mingi sasa. Matokeo yake ni nini, Wananchi wa mkoa wa wa Kagera waliona serikali ilikuwa haiwataki, haiwapendi. Wakasema isiwe taabu, wakaamua kuhamia mikoa nyingine nchini na kuwekeza huko. Je, serikali inajifanya haioni uwekezaji wao mkubwa na uliotukuka katika mikoa mingine nchini, ikiwemo Dar Es Salaam, Mwanza, Arusha na kwingineko?
Serikali imekuwa ikipiga kelele nyingi eti wahaya wameshindwa kujenga soko na kituo cha mabasi mjini Bukoba, ikijifanya haijui kwamba jukumu hilo ni lake na vyombo vyake, ikiwemo TAMISEMI. Kwani vituo vya mabasi na masoko ya Dodoma, Morogoro, Dar Es Salaam, Mwanza na kwingineko vimejengwa na nani kama sio Serikali? Nimalizie kwa kuishauri Serikali kwamba iwekeze mkoani Kagera kama ambavyo imekuwa ikiwekeza sehemu nyingine nchini.
Ikiwekeza Kagera, kama ambavyo Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kufanya kwa kujenga kitengo cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM), mkoani humo, basi itarajie kwamba maprofesa na PhD holders kutoka mkoani Kagera watarudi nyumbani kufaidi fursa za uwekezaji wa serikali. Ni matumaini ya wengi mkoani Kagera kwamba Mkuu mpya wa mkoa wa Kagera, Mhe. Chalamila ataelewa chanzo cha "umasikini wa mkoa wa Kagera."
We ndo unajidanganya Tanga Haina umaskini kama unavyodhani labda uniambie maendeleo ila sio umaskini kwamba ipo kweny danger ,kwa nn usisime lindi, rukwa, kigoma ,kama unabisha leta takwimu zako nimekaa mikoa kiboa uache kutaja mtwara ...acha kusumbua kaangalie mikoa yenye watu weny kipatoMkuu tatizo mnadanganywa na tafiti za Twaweza, wenda mnazungumzia tu kipi kinapatikana kule katika changia kwenye mfuko wa serikali kuu, kisa hivyo viwanda vichache vinavyofanya kazi
Maana vingi ni maghofu,
Pili utazungumzia labda kilimo Cha mkonge ambacho nacho kinasuasua, mashamba yale yaliyokua yakiajili watu wengi mengi yamebaki Kama sanam,ila wachache pitia hatimiliki walishachukulia mamikopo wanakula KWA urefu wa kamba zao,
Utazungumzia kilimo Cha machungwa, ambapo wengi wenye mashamba pale sio wazawa ni Wakinga, wazawa walisha uza
Bandari pia utaizungumzia lakin je imeajiri watu wanagapi?
Pale katika uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja ni wakimaskini wa kutupa,ndo maana linaitwa jiji ila bodaboda za baiskeli ni Kama zote,
Sasa niambie nyie kipimo Cha umaskini katika mkoa mnaangalia kile mkoa inachangia katika mfuko wa serikali kuu au pato kwa mwananchi mmojammoja
Ukiona mtu anazungumzia Umalaya,mashoga, na uvivu kwamba ni sifa ya mkoa flan ndani ya tz, juaPunguzeni vikundi vya kuchangiana misiba, harusi , rushwa na sifa za kufekii . Fanyeni kazi kwa bidii muuondoe huo umaskini wenu.
Vitu vya ajabu sana unaviona hapo Kagera. Mashoga wengi sana wa kihaya, umalaya na uvivu wa kujikweza
Mfanye kazi na huyo mkuu wenu wa mkoa msonge mbele
Sasa wew unachuki na wahaya huna hoja...Punguzeni vikundi vya kuchangiana misiba, harusi , rushwa na sifa za kufekii . Fanyeni kazi kwa bidii muuondoe huo umaskini wenu.
Vitu vya ajabu sana unaviona hapo Kagera. Mashoga wengi sana wa kihaya, umalaya na uvivu wa kujikweza
Mfanye kazi na huyo mkuu wenu wa mkoa msonge mbele
We ni mpuuzi sio kawaida yangu jibiza na wapuuzi,unamtisha nani umekaa Mikoa mingi na kuja na matusi hapa mwanaharam mkubwa, Kama ni laana zako za ukoo kaa nazo huko,binfsi sio mtu wa matusiWe ndo unajidanganya Tanga Haina umaskini kama unavyodhani labda uniambie maendeleo ila sio umaskini kwamba ipo kweny danger ,kwa nn usisime lindi, rukwa, kigoma ,kama unabisha leta takwimu zako nimekaa mikoa kiboa uache kutaja mtwara ...acha kusumbua kaangalie mikoa yenye watu weny kipato
Hata Arusha umaskini upo wa kumwaga ukitoa pale mjini, nenda mwanza ndo usiseme we unaropoka kama umekunywa maji ya chooni
Kwao wamekushindwaNdiyo ni kweli, ila maprofesa hao na PhD holds wa Kagera ndio wana waelimisha watu wa Kigoma, Mara, Mtwara na kwinginko! Hawahudumii Kagera tu! Ni Tanzania nzima na kwingine duniani.
We unahitaji kwenda kusoma kwa vile mshamba sana wa magorofa kaangalie kilimanjaro magofu kibao ila wananchi wake Wana kipato kizuri na ni WA pili kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja..Mkuu tatizo mnadanganywa na tafiti za Twaweza, wenda mnazungumzia tu kipi kinapatikana kule katika changia kwenye mfuko wa serikali kuu, kisa hivyo viwanda vichache vinavyofanya kazi
Maana vingi ni maghofu,
Pili utazungumzia labda kilimo Cha mkonge ambacho nacho kinasuasua, mashamba yale yaliyokua yakiajili watu wengi mengi yamebaki Kama sanam,ila wachache pitia hatimiliki walishachukulia mamikopo wanakula KWA urefu wa kamba zao,
Utazungumzia kilimo Cha machungwa, ambapo wengi wenye mashamba pale sio wazawa ni Wakinga, wazawa walisha uza
Bandari pia utaizungumzia lakin je imeajiri watu wanagapi?
Pale katika uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja ni wakimaskini wa kutupa,ndo maana linaitwa jiji ila bodaboda za baiskeli ni Kama zote,
Sasa niambie nyie kipimo Cha umaskini katika mkoa mnaangalia kile mkoa inachangia katika mfuko wa serikali kuu au pato kwa mwananchi mmojammoja
Nakazia mkuuKagera inakataa kupokea wageni, jamii isiyochangamana haiendelei