Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Umenitaja mimi kuwa mzanzibari....mara moja hii unataka kuhamisha magoli ?!!!Tafuta sehemu nilipo sema,mtoa mada ni mzanzibar,
Nimeongea lugha jumuishi "wazanzibar"
Halafu usiepuke hoja ,usilete hisia jikite kwenye hoja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tumpe nani?Hapa anayepaswa kuachia ngazi ni mmoja tu.
Yule top kabisa.
."Serikali imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu" Hili jiwe ni zito mnoo 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu huyo padri ni habari nyingine kbs, ameshiba maarifa na anajiamini sanaPadri Kitima ni moto wa kuotea mbali, alieleza hoja nziro Kwa Lugha laini, Halafu kama anskunywa DODOMA wine!
Umelishwa matango pori huko unakuja kututapikia usoni.....[emoji1787]Kumbuka waarabu ndio walikuwa wanauza watanganyika na kuwanyanyasa. Aliyewahi kuuza waafrika kwa jina la watumwa na kuwanyanyasa sana hawezi kuja kuwaendeleza waafrika. Watanzania amkeni acha kudanganywa na imani waarabu sio ndugu zetu. Walifaidi fedha za kuuza mababu zetu, bado hazitoshi wanataka kuja tena!
Nawathadharisha wasije amsha hasira, hasira inaweza kuwa mbaya sana.
Kivipi ?!!!Njia ya 2025 Mama Samia kajiwekea miiba mwenyewe!
Ukapimwe akili !!!NoMuungano ni imani yetu yenye nguvu zaidi ya kitu chengine hapa ardhini(maisha ya dunia)...
Wajamaa wa kiafrika tunaamini sana katika asili ya UDONGO....udongo wa Tanganyika ukachanganywa na Zanzibar....spiritual udongo wa kila eneo iliokuwa Tanganyika umebadilika na Zanzibar hivyohivyo....kule Zanzibar udongo wao ambao toka 1964 ni mchanganyiko wa udongo wa iliokuwa Tanganyika...SASA KILA ENEO BARA NA PWANI lina UDONGO CHOTARA....hapa "mahobobo" "mandwanye" wagonjwa wa akili ,wenye matatizo ya kisaikolojia (Post-traumatic stress disorder) secondary to "CHILD ABUSE" wanaweza wasinielewe
Ninaelezea kuwa imani yetu ya ujamaa wa kiafrika na mizimu yake na matambiko yake ikaamuliwa Tanganyika iende katika "spiritual occultation state" na kuzaliwa CHOTARA wa kipekee kabisa....
CHOTARA anaishi...ndio hii Tanzania....sisi sote tuliozaliwa 1964 kuja juu tumekula virutubisho vipya kutoka ardhi hiyo chotara...miili yetu imejaa MINERAL SALTS "CHOTARA" ,VITAMINS "CHOTARA" PROTEINS"CHOTARA"...ukitaka utumalize tusiwepo na "tuhiliki sote" hebu jaribu kuurudisha UDONGO wa mama Tanganyika halafu uone tutakavyokuwa wanyafuzi ,tukakaukiana ,tukapata "mineral deficiencies ,protein deficiencies ,avitaminosis" kifupi mdororo wa Kinga zetu za mwili (U.KI.MWI)....
Mwenye kuutaka kuuvunja muungano avunjike yeye kiuno.,aaamen aamen aaamen
#SiempreJMT
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile aphivp
It's automaticaly huzo SMZ uwezo wao n mdogo sana mkuu ,Mh.Rais SSH ana mtihani mkubwa sana.....ila atauvuka aaamin aaamin[emoji120]
Maswali fikirishi.
Hivi wazanzibari ni raia wa daraja la pili katika JMT?!!!
Mbona wanaposhika madaraka makubwa huwa wanashambuliwa sana kwa hoja kuwa UWEZO WAO WA KIUONGOZI NI MDOGO...HAWANA MAAMUZI....WANAUZA NCHI....?!!!
Watanzania wasio wabaguzi wawe makini sana na haya mambo.....
#SayNoToRacism
#SayNoToBigotry
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Utaheshimika kwa kile unachodeliver ktk nafasi uliopewa, Wazenji deliverence yenu imekuwa ya hovyo mno kwenye hiyo ngazi ya maamuzi...mnapendelea vitu vyepesi vyepesi mnoChuki huuviza moyo wako mwenyewe....uzuri hatujakuja duniani kupendwa na binadamu wote....
Kwa akili yako kubwa kabisa karne hii ya 21 unaamini kabisa kuwa kuna nchi raia wake wana " low IQ"
#MamAnaupigaMwingi[emoji7]
#Siwezi Kuizuia Chuki iwakayo Moyoni Mwako Dhidi Ya Ndugu Zetu Wa Zanzibar
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Legacy hiyo katuachia MwendazakeBunge la hovyo kuwahi kutokea duniani.
Mnapotosha na kuchafua hali ya hewa nisiseme?!!Unalaana si bure haiwezikani kila mtu anamashaka na huu mkataba mpaka alioungia we umebaki anaupiga mwingi mamaye watu ka nyny hatakutolewa kafara haifai
Ona sasa badara ya kujibu hoja unaanza kutukana ,hoja hatuoni manufaa ya Muungano,nipe manufaa kwa watanganyika,wanzibar lazima wautetee ,?Thibitisha uzanzibari wangu...
Nithibitishie hapa kuwa mimi ni mzanzibari....[emoji15][emoji15]
Mwenye kuutaka kuuvunja muungano atavunjika yeye kiuno....hakitavunjika kwa kupigwa na askari bali "mizimu yetu ya ujamaa wa kiafrika wa juu ya pande la ardhi la Tanzania utamvunjilia mbali kiuno na uti wa mgongo wake....
Hivi UAMSHO wako ?!!!
Hivi G55 wako ?!!!
Unatumikia maslahi ya wasiotakia mema Tanzania?!!![emoji15]
Nje ya MUUNGANO kuna :-
1)UGAIDI WA KIDINI (dini yoyote inaweza kutumiwa mifano iko tele duniani )
2)UGAIDI WA KIKOMUNISTI (Afrika ni eneo linalopiganiwa na mataifa makubwa kwa ajili ya raslimali )
3)UZANZIBARA NA UZANZIBARI
4)SIASA ZA KIKABILA ,KIKANDA NA KIDINI
Nje ya Muungano hiyo "Tanganyika" kamwe haitosimama kuwa moja.....
Nje ya Muungano kamwe hiyo Zanzibar haitokuwa moja.......
Hivi mnakwenda shule kusomea "kupakana ma...ta na kuwa wangse"?!!![emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bunge ndiyo ratification ya mwisho kwenye mkataba.Tuliona walichofanya wabunge Dodoma; tumeona wanachofanya wanazuoni kutoka kwenye dini na fani mbalimbali nchini. Wanajadili mule mule alipopita Mzee Mbowe na Lissu, tofauti ni kwamba wanazuoni wanawapiga shule mawaziri wakati wabunge waliwapigia makofi mawaziri bila kuwapa maarifa mapya.
Hiki kinachoendelea ni fedheha kwa bunge na wabunge; kwamba pamoja na kupitisha kumbe wao siyo final bali kazi yao ilikuwa rubber stamp au kukamilisha ratiba.
Goma limekuwa gumu na endapo Mbowe na Safu yao wataingia uwanjani kwenye mikutano ya adhara kwa agenda hii upo uwezekano pakatokea mmomonyoko mkubwa na makundi kuhusu bandari.
Changamoto kubwa ya Watanzania ni wanafiki wazuri; wakiona unataka kusikia habari hoja fulani nao wanakupigia makofi ila moyoni wana ukweli na wewe ukijiongezea unagundua huna watu nyuma yako.
Magufuli alisifika ila waliokuwa wanamsifu angewaruhusi wapige kura ya siri angelalamika kaibiwa kura kwa sababu baada ya kuondoka tu watu walewale waliokuwa mgongoni mwake walijitokeza kumkataa.
Kama walimkataa hadharani akiwa ameondoka je, walimpigia kura sirini? Kwa kuwa alifahamu fika kwamba amewakosea Watanzani aidha akiwa na nia nzuri au mbaya ndipo akaona njia sahihi ni kuchafua uchaguzi.
Kwa mantiki hii, hakuna mwenye uhakika wa nani ambaye anamkubali kiongozi wa CCM sirini. Wote tumebaki kusikia uungwaji mkono wa majukwaani ila unapokuja sirini hakuna mwenye uhakika wa kutoboa. Hii inatokana na ukweli kwamba tumewaweka makovu Watanzania kwa muda mrefu kwa kuwaaminisha tunafanya uwekezaji wenye tija matokeo yake hakuna tija.
Kwa hatua za awali Mhe. Rais ameona walipokosea wasaidizi wake, amejifunza kwa ndani nini jamii inataka, amewasikia viongozi wa kijamii na imani wanasimamia nini, lakini amewasikia wale wasaidizi wake bungeni walichangia nini; obviously amebaini wanaompotosha na kumchonganisha na jamii siyo wapinzani bali wasaidizi wake.
Inatia hasira unapodhani una wataalam wazuri kisha unagundua kazi waliyofanya inapigwa vita na kila msomi; swali la kujiuliza, hao wasomi walioteuliwa kukusaidia wameelimika? Wana exposure au wapo kwa sababu wapo?
Naamini soon Mwanasheria Mkuu wa Serikali na timu yake watapisha ofisi kwa kilichotokea, vinginevyo ikibainika mkataba haukuwa shirikishi, pamoja na kiburi cha kibinadamu bora tuchelewe kufika kuliko tufike tukiwa siyo wamoja.
Padri Kutima ametueleza Somalia na Sudan, mimi nataka niongeze Loliondo na Tarime mgodini, je, tunadhani ni nia zote nzuri ni nia nzuri?
Padri hana jipya, ni yale yale ya Tundu Lissu. Hata mkataba mwenyewe kakiri ni feki, alipewa na Tundu Lissu. Kadiriki kurudia maneno ya Tundu Lissu kuwa Bunge si Wabunge, waliiba kura. Yaani yeye Kitima ndiyo wananchi wameenda kwake kulalamika. Hoja zote alizosema ni za Tundu Lissu. Sijui itakuwaje.Padri Kitima ni moto wa kuotea mbali, alieleza hoja nziro Kwa Lugha laini, Halafu kama anskunywa DODOMA wine!
Mtu katoka Paje na Makunduchi leo unampa uwaziri wa miundombinu ya Tanganyika kama sio laana ni nini. Mbona hakuna Waziri kule Mchamba wima. Hili la Bandari mama atajuta nalo hili. Kajishaua kutoa hela kwa kila goli kumbe ana hela ya Mdubai.Na Watanganyika wangekuwa wanapata haki sawa huko Znz ungeeleweka.
Wakiongozwa na Nape Mwandosya Nauye...hopeless man ever kuwahi kutokea.Bunge la hovyo kuwahi kutokea duniani.
Tabutupu hawa viongozi wetu ni laana sana.Swala la bandari utadhani DP world ilisaini na vipofu..
Ni wazi mtu mwenye akili timamu hawezi saini mkataba wa kijinga kama huu..
Kuna kila dalili za upendeleo either kwa rushwa au kwa sababu tuu wana dini zinazo fanana
Ukweli gani ulionao wewe wakati waziri mwenye dhamana anabunyaa bunyaa tuu???Mnapotosha na kuchafua hali ya hewa nisiseme?!!
Tusiseme?!!
Laana ninayo mimi niongeaye ukweli ama unayo wewe?!!!
Jua la utosi halijapanda....sitoi lugha za ukakasi......[emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app