KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mama anaupiga mwingi na hakuna kitu mtafanya.
 
Reactions: Lax
Hii serikali katili sana. Wanachukua hela kuwahonga akina Msigwa.
Mkuu, amekwenda mwenyewe baada ya kushindwa Uwenyekiti wa jimbo la Nyasa, hii ni aibu sana, angekuwa anaunga mkono maboresho na ufanisi ya kiutendaji ndani ya Serikali basi angejiunga kitambo sana na sio baada ya kukosa uwenyekiti.
 
Julai 1 hii Bwashee, check pengine unadaiwa mwezi uliopita wa Juni
 
Wakuu habarini za jioni,
Naomba kuuliza mnieleweshe ni kwamba ile kodi ya pango inayotozwa kwenye umeme imeongezeka au nini kimetokea

Nimezoea nikinunua umeme mwanzo wa mwezi nakatwa 1500 nashangaa leo nimekatwa 2000

Je kuna mtu amekutana na hii leo au ni mimi tu au ndo tushaongezewa tozo tayari kimya kimya

 
🤣🤣🤣🤣
Uzi huu tayari dada..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…