simon ludovick Michael
New Member
- Nov 28, 2023
- 1
- 1
Jaman ndugu zangu watanzania mmeelewa kuhusu makato ya umeme mbona kila mwaka wanaongeza tu bila kushirikisha wananchi kwa nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ndio maana wateja wengi watajisajiri na Bank zao za Dini ni suala la muda tu.Aiseee haya MABANK ni wezi sana ndiyo maana wanapata FAIDA kubwa sana ,inatakiwa BOT waingilie kati kudhibiti huu wizi.
Mchungaji kafika beiKwamba haya mambo ndio yamemvutia sana Mch Msigwa hadi ameona ccm inaleta maendeleo kwa kasi na I awali wananchi.
Hizo ndio zinaitwa akili za ndezi!
2000 ya serikali, kwa hiyo nunua wa bei ya juu zaidi ya hiyo ili upate umemeUmeme unagoma kuingia msaada Kama Kuna mabadiliko
Mkuu sheria za kimataifa haziruhusuBenjamin Bibi Netapaka lete vikosi huku🤣
Asee kodi mpya hii na watapata pesa ndefu Sana.....2000 ya serikali, kwa hiyo nunua wa bei ya juu zaidi ya hiyo ili upate umeme
Utani utani hii kodi yao ya mchongo itafika 5000 kwa mweziMkuu sheria za kimataifa haziruhusu
Wataiona vipi dunia wadipokukoboa mkuu, acha safari za nchi na nchi ziendeleeAsee kodi mpya hii na watapata pesa ndefu Sana.....
Mkuu, amekwenda mwenyewe baada ya kushindwa Uwenyekiti wa jimbo la Nyasa, hii ni aibu sana, angekuwa anaunga mkono maboresho na ufanisi ya kiutendaji ndani ya Serikali basi angejiunga kitambo sana na sio baada ya kukosa uwenyekiti.Hii serikali katili sana. Wanachukua hela kuwahonga akina Msigwa.
Haya majangili yanatuumiza snUtani utani hii kodi yao ya mchongo itafika 5000 kwa mwezi
Julai 1 hii Bwashee, check pengine unadaiwa mwezi uliopita wa JuniKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Msigwa anaponzwa na tamaa ya madarakaMkuu, amekwenda mwenyewe baada ya kushindwa Uwenyekiti wa jimbo la Nyasa, hii ni aibu sana, angekuwa anaunga mkono maboresho na ufanisi ya kiutendaji ndani ya Serikali basi angejiunga kitambo sana na sio baada ya kukosa uwenyekiti.
Watapata mwisho mbaya sana kile chama chao cha kijaniHaya majangili yanatuumiza sn
Umejielezea vizuri sana 😂Matanzania hata waongeze sukari kg 1 iwe 10000 yanalialia mtandao yakija ishu ya chama tu kwenda yanga yamesahau matanzania yote mambumbu
Watanzania bado ni wajinga snWatapata mwisho mbaya sana kile chama chao cha kijani