DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Namuunga mkono
Huu mji umejaa washamba na wajinga wa maporini
Lazima uishe nao kinyamanyama wakuelewe na kukuogopa kama viboko na simba waliowakimbia huko maporini
 
Msijisahau kama hamumjui Omary mahita .. huyu ni IGP wa kutisha aliyefanya mission Kali sana na za kutisha wakati wa Rais mkapa huyu kukupoteza ilikua ni sekunde muda wote nimefanya kazi wakati wake katika baadhi ya sehemu ni mtu mwenye msimamo wa hatari sana wengi huku ni vijana wa 2005 hamjui huyu ingieni hata YouTube ..anaishi maisha ya kujihami sababu alitumikia jeshi kama IGP amepambana na wahalifu wengi hivyo kwa namna moja ama nyingine ni lazima aishi maisha hayo halafu kingine kijana huyu mzee huwa asahau anaweza kukufuata siku moja umuueleze kwanini ulifunga gari yake .. Anakuambia "Risasi moja mtu mmoja "

Ni IGP Pekee ambaye asilimia 95% ya safari zake alikua anatumia Ndege ..😁
Sasa wewe jifanye kuonyesha wafanyakazi wenzako sijui unajua maadili ya kazi sijui huogopi .. utapotezwa na boss wako atakukana.

Jifunze ni kuwa na lugha nzuri hao mnaowafungia magari halafu mnawajibu shit ipo siku mtavamia mtumbwi wa vibwengo hautarudi kamwe

Ukiambiwa ulitaka kumteka IGP mstaafu umuue unalakujibu?

Ulizia kilichowapata Pemba enzi zile za mkapa
 
Wakati mwingine, ikiwa mtu anakuwa na bunduki inakuwa ni vema awe anafanya kama Mstaafu Mahita ikiwa kama sehemu ya kutoa tahadhari kwa watu wengine.

Maana kama ukianza uchokozi kwa Mzee Mahita, akiitoa bunduki na ukaiona, siyo rahisi kuendelea na utani. Utakausha.

Kuificha bunduki wakati ukichokozwa au kukerwa huwa ni hatari, kwani mchokozaji anaweza kufikia hatua ya juu hadi mwenye bunduki akakosa uvumilivu, akamtwanga.

Ova
 
Yule Mzee busara ni 0
 
Lete video
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sana. Wajuaji sana hao mbwa..ningetaka asogee umle shaba ya kichwa mmaaeh..
 
Walikuwepo watata zaidi yake enzi za nyuma, lakini leo hii wametulia au dunia imewalazimisha wawe wanyenyekevui.e. Dunia imewatiisha.
Ukiikuta gari yake popote basi tunakuomba uipige lock halafu ubaki hapo hapo ili dunia ikusaidie kumtiisha Mahita akija hapo hapo akukute. Halafu uje utupe mrejesho hapa either ukiwa hai ama maiti.
 
Yupo sahihi mzee Majitaka. Vijana washike adabu
 
Naongezea sifa nyingine za mahita.
1. Akiwa rpc/OCD mbeya alikutana uso kwa uso na TUNDU LISU akiwa jkt itende mwaka 1986/7 wakajibishana kunya makavu live mbele ya mamia ya askari.
 
Kuna Mwamba wa kuitwa HASSAN BANTU (RIP) alimyoosha Mahita ktk ugomvi wao wa Shamba! Hv hv na ujinga wk wa kutoa toa Bastola... Mahita aliufyata
 
Laana ya kontena la Visu na Majambia alilosingizia ni la CUF bado imamwandama huyo.
 
Hata mm ningekuwa Mahita ningefanya the same,hawa jamaa wa minyororo wanaboa,huwezi elewa kama sio driver.
 
Pia anapotez

a kumbukumbu sababu ya umri, wamuombe silaha irejeshwe mamlaka husika, ana hasira mno atawadhuru wenzake na hizo silaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…