Duh! Kwa jinsi ya majibu hayo; Unaweza na unafaa kuwa chawa wa IGP mstaafu. Hongera sana.Ww baki huko huko ngara. Mifano mingeni ya kipuuzi kabisa. Embu soma .. nimetaja watu wa ngara mm hapo. Mshamba nn
Ndio watanzania mnapoishia akili zenu, unaelezwa unaleta story za uchawa. Njoo na opinions zako, Unaongelea uchawa.Duh! Kwa jinsi ya majibu hayo; Unaweza na unafaa kuwa chawa wa IGP mstaafu. Hongera sana.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka
Ukute dingi aliona hii ndio nafasi ya kukumbushia kurenga😂 hapo funzo ni serikali iwakumbuke maigp kwenye vijisafari vya nje huko wakarelaxKusema kweli una lock gari ya IGP mstaafu...Watanzania wenzangu kulala na kuamka salama sio jambo dogo...kuna watu hawalali ili sisi tulale na tuamke vyema...yupo sahihi sana imagine amepiga chuma bila kuathiri tairi la gari mlitazame hili..yupo makini kiasi gani...hongera mahita
Mbona wastaafu hawavagi beji kifuani ili watambulike na hivyo waheshimiwe?Kuna watu wanahitaji kutiwa adabu waheshimu wastaafu acha awape doscipline
Mimi ningemtafuta aliyelock nimlambe ya mguu, halafu akilia namlamba nyingineNingekuwa na Chuma na nikute lock ningefanya kama mahita
Jamaa lilibaka House girl na kukataa mtoto na Bado halikufungwa.. kwake haka ka issue ka bastola ni kadogo sanaMbona wastaafu hawavagi beji kifuani ili watambulike na hivyo waheshimiwe?
Kwani hivi asingekuwa na hio silaha angefanyaje ?
Nadhani huko kumiliki gari na kuli park mahali sio sahihi na kutumia silaha kinyume cha maelekezo ya Umiliki wa silaha Kisheria kulifungua gari, kunatosha kuwa ni kiashiria na kielelezo cha wazi kwamba jamaa kwa sasa anatatizo la kiakili na kwa hiyo anahitaji msaada. Serikali ilitazame hilo.
Hivyo ndivyo na issue ya mahita ingeliweza kumalizwa kwa mtindo huo na sio kupiga risasi simply eti kwa kuwa anayo bastola.Mimi nilikuwa pale muhimbili hospital, nikiwa natoa gari bahati mbaya nikagusa gari lingine kwa nyuma, wale walinzi suma jkt wakaizingira gari yangu. Hapo nilipoigusa hiyo gari mwenyewe hata ukimuonesha hawez kupaona. Wakasema hii gari ni ya generali wa jeshi huwezi kutoka mpaka afike hapa uelewane nae, kipindi tunaendelea na mjadala ghafla nashtukia gari ishatiwa lock na mlinzi mwingine.
Nikiwaambia nionesheni huyo jenerali alipoelekea nikaongee nae, wanasema hawawezi kufanya hivyo mie nisubiri mpaka atoke. Mara naambiwa huyo jenerali ni daktari pia kitengo cha wagonjwa wa dharura.
Hapo nipo na mzee wangu ambae nilimleta hospital akitokea kigoma. Namcheki mzee anatetemeka kusikia jenerali, nadhani alikuwa anawaza vita ya kagera na iddi amini😀😀😀
Dakika chache akaja MP wa jeshi akauliza kuna nini hapo na mbona mmezingira gari ya mzee (akimaanisha hiyo gari ya mkuu wake) nikashuka nikamsalimia salamu ya kawaida tu, habari yako kiongozi, imetokea bahati mbaya wakati natoka nimeigusa gari ya mkuu kidogo sana hapa (huku namuonesha sehemu nyingine) jamaa akasema mbona padogo saana, hata mzee hawez kupaona, mimi mwenyewe sijaona shida iliyopo..
Jamaa akaagiza lock zifunguliwe then niruhusiwe niondoke, suma wakafanya hivyo naondoka ety wakanizuia tena kuona yule MP kaondoka, ety ooh mzee akija akigundua atatumaindi sie, tuachie chochote tumpange mzee akitoka. Nikacheka saaaanaaaaaaaaa 😀😀😀😀😀😀
Mlipaswa muongee hivyo mapema kabla yule MP hajairuhusu gari yangu na nyie kukubali. Nitaenda kumwambie yule bwana mnaniomba rushwa...daah jamaa waligeuka nyuma bila kuuliza kitu.
Hapana ndugu. Manispaa ya Morogoro inapoajiri watumishi haiangalii kama ni wenyeji wa siku nyingi au wametoka mikoa mingine.Mahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.
Kingine i don't entertain politics kwenye comment yangu, siasa kaa nazo.
Nasijaongelea mm nyie washamba wa umasaini, nimesema morogoro haswa eneo analopaki yy gari yake.
Unaleta maswala ya masai hapa, nimetaja masai mm hapa.
Ina jina?Huyo kijana alikwendaje kufunga gari ya mahita hana adabu kabisa
Anatumia gari aina Gani huyo dingiMahita ni mfano wa kuigwa morogoro, ndio ujumbe umefika kama amefanya tendo hilo, hata wahusika watakua wamempigia simu tayari.
Kingine i don't entertain politics kwenye comment yangu, siasa kaa nazo.
Nasijaongelea mm nyie washamba wa umasaini, nimesema morogoro haswa eneo analopaki yy gari yake.
Unaleta maswala ya masai hapa, nimetaja masai mm hapa.
Ni mzalendo haswaUkute dingi aliona hii ndio nafasi ya kukumbushia kurenga😂 hapo funzo ni serikali iwakumbuke maigp kwenye vijisafari vya nje huko wakarelax
Nasikia hakusoma pia
Hapendagi ujingaBaada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.
Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!
Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.
Mkuu, it seems hiyo gari wanaoijua ni wale watu wa aina yake mahita (Wababe)na pia hawajui, hawakubali na hawatambui uwepo wa watu raia wengine wasio wa aina yao na wanaotokea maeneo tofauti na anapopark gari yake hiyo ila wameajiriwa na katika Ajira mtu unaweza kubadilishwa kituo cha kazi wakati wowote.Hapana ndugu. Manispaa ya Morogoro inapoajiri watumishi haiangalii kama ni wenyeji wa siku nyingi au wametoka mikoa mingine.
Hivyo hata mtu kutoka Kigoma au Pemba anawezaajiriwa na manispaa ya Morogoro. Kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanaijua gari ya mahita sio kweli.
Mimi nimeishi pale chuo Cha Sokoine SUA kama miezi minne na na nikienda mjini karibia kila siku na sikuwahiona gari la mahita.
Hawezi kukaa sawa Damu za watu roho za watu zinamliliaDepression is real na inamkumba mtu yoyote
Itakuwa stress tu atakaa Sawa I hope
Fungeni magaru yao ndo mtajua hao cdf ni watu wema au laBaada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.
Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.
Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!
Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?
Badilika.
Sasa wewe uishi chuo cha sokoine, Kuna umuhimu gani kumfahamu mahita. Gari ya shabiby wala abood hujawahi iona. Ila maisha yakiwa ya mjini utafahamu tu, haswa kwa hao watu wa parking.Hapana ndugu. Manispaa ya Morogoro inapoajiri watumishi haiangalii kama ni wenyeji wa siku nyingi au wametoka mikoa mingine.
Hivyo hata mtu kutoka Kigoma au Pemba anawezaajiriwa na manispaa ya Morogoro. Kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanaijua gari ya mahita sio kweli.
Mimi nimeishi pale chuo Cha Sokoine SUA kama miezi minne na na nikienda mjini karibia kila siku na sikuwahiona gari la mahita.