DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Walishawahi kufunga gari(ya kazini) nikamwambia dereva piga jeki toa hiyo tairi funga spear tukasepa wakatutafuta kwa kuomba misamaha kibao tuwape kidude chao
 
Ukute dingi aliona hii ndio nafasi ya kukumbushia kurenga😂 hapo funzo ni serikali iwakumbuke maigp kwenye vijisafari vya nje huko wakarelax
Nasikia hakusoma pia
Lakini kwa nini usubiri eti Serikali wakukumbuke kwenye vijisafari vya nje ilhali mstaafu hupokea malipo makubwa mwanzoni si angelitumia kwenda kujirusha huko nje? au bado anaHang over ya posho za kiserikali?
 
Lakini kwa nini usubiri eti Serikali wakukumbuke kwenye vijisafari vya nje ilhali mstaafu hupokea malipo makubwa mwanzoni si angelitumia kwenda kujirusha huko nje? au bado anaHang over ya posho za kiserikali?
😂Itakuwa Hang over. Nilisikia Kuna kipindi TRA walimkalia vibaya
 
Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Ma CDF wastaafu unaweza kuwapigia kufuli gari zao wakipaki sehemu? Umepata unachostahili. Muheshimuni IGP mstaafu
 
Muee ya ngunguri!
 
A
Aisee!
Pole yako.
 
Ana tumia gari gani kwanz aisije kua ni subaru yenye turbo na sport rims [emoji81] .afu tuna ongea humu kutoa kufunga gari lake
 
Manispaa ya Morogoro ni kubwa kuliko mahita.Na hao watu wa parking Kuna wanaostaafu na wengine ni waajiriwa wapya ambao huchukua muda kadhaa kuyazoea magari na wamiliki wake.Mimi kwamfano nimeishi Tanga mjini miaka Tisa bila kutoka ila Kuna watu maarufu sana kama matajiri maarufu, na viongozi wastaafu kama wabunge , mawaziri na wanajeshi wastaafu ambao sikuwahi kuona magari yao. Halafu kwa watu wenye pesa ndefu hawakai na gari moja muda mrefu. Hupenda kubadilisha na kununua magari ya kisasa zaidi kwa sababu Hela inaruhusu. Kwa mfano wakati mahita anastaafu kuna magari ya kisasa yalikuwa hayajatoka ambayo bila shaka atahitaji kuwa nayo ili kwenda na wakati . Kwa hiyo Bado kusema kwamba wakazi wa Morogoro wote wanalijua gari la mahita sio kweli.
 
IGP mstaafu sio askofu mstaafu msichanganye mambo.

Watu wamelika akili zimechoka kwa ajili ya usalam wa nchi miaka kibao,anakuja mtu ambaye hata hajui gharama za hayo anasababishia mzee huyu usumbufu,
Haikuwa kazi ya mfunga lock kujua gari ni ya nani,ila nina imani sasa anaifahamu na atafahamisha wengine.

USA wana salamu kwa wanajeshi"thank you for you're service"kuonyesha wanakubali mchango wao.haighalimu chochote kukubali mchango wa mtu wa aina yake,kwa kumpa favour sehemu yoyote ukimkuta,sio unyonge ni ukomavu wa fikra.unaona kijana alipotea kabisa sababu alijua kabisa bila kujua kafanya jambo la hovyo.
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…