DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwani hujui wabongo ushoga umewakaa akilini? Kila kitu wao ni ushoga. Lol
 
Tujadili Kodi kandamizi,na sio mambo ambayo hayana tija Kwa Taifa.
Kuna mengi ya kujadili na sio upuizi wa aina hiyo.
Mmeshindwa kupaza sauti mambo yenye tija.

Hiyo ni biashara ya mtu binafsi.
Hutalazimishwa kijana kwenda kwenye mazoezi yake.we nenda gym au Mabio basi.
 
Mimi niliiona ile video yake ya kuwa alert machoko ya tz wajiandae kumpokea.
Wasagaji na wafirwaji watalipia mpaka ving'ora vya polisi siku akifika.
Huu upinde una nguvu sana kwakuwa unadhaminiwa na pesa za Ibilisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nyie straight uchwara mnashindwa nn kuzuia? Au hamna pesaa? Woiiiiih
 
Najua ndomaana nimekuuliza,shoga anafanyaje yale mazoezi ilhali sehemu ya haja kubwa ni legevu.
Ndo mnavyo aminishana huko vijiweni? Kuna mashoga wamepita JKT kwa mujibu miezi 3, sembuse hilii la huyu trainer? Khaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
... SIJUI KAMA MAZOEZI YAKE KWELI YANASAIDIA KUONGEZA MAKALIO, Ila kwa kubinua kiuno kwakweli wamama watapata 'coacher' kiboko!
πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…