Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.Kwa hiyo wakishajenga ofisi nzuri ndo ndo ufumbuzi wa kupata hayo madawati 65,000?
Well said.Hakuna nchi iliyomaliza shida za wananchi wake wote kisha ndio ikawekeza kwenye vitega uchumi,ukisema usubiri matatizo yote yaishe ndio uwekeze kwenye Ndege basi sahau kununua hizo Ndege,
Ila hizo Ndege zikisimamiwa vizuri ndizo zitakazo leta faida ya kununua hayo madawati na mahitaji mengine,
Angalizo.Mimi sio shabiki wa vyama vya Siasa,usije ukaniita tu sijui buku 7 au bavicha au vyovyote vile.
Chawa na kunguni ni wewe unayechanganya mada.Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.
View attachment 2168937
View attachment 2168938
View attachment 2168939
View attachment 2168940
Pesa ya kuazima haisitiri umasikini wako!Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.
View attachment 2168937
View attachment 2168938
View attachment 2168939
View attachment 2168940
Elewa hoja kwa kina kabla hujakurupuka kuchangia.Unachanganya mada.
Holywood ndio inatoa huduma za jamii kwa wamarekani?
Umekurupuka ndugu
Mnachagua picha kujaribu kuhalalisha mawazo yenu duni. Kuna maelfu ya shule shikizi zinazojengwa muda huu, tafuta picha zake uziweke humu pia.
Nenda ATCL uulize utapewa taarifa zote.Ebu twambie route za siku za ndege zote kumi na kitu mlizo nunua kwa kodi zetu.
Matatizo yetu ni mengi sana ikiwemo upingaji wa kodi hizo hizo kwa sababu za kisiasa na elimu kuwa duni.Ndio maana maeneo hayo wanayoishi hao billionaires yana shule nzuri na barabara nzuri , sababu ni hizo nyumba zinalipa property taxes na pesa yote inabaki hapo hapo kwa ajiri ya shule zao , park na barabara zao, na sehemu maskini US zina shule mbovu kwa sababu hiyo hiyo hawana loca tax base ya kutosha kufanya shule zao ziwe superb maana pesa wanayopata ni ya federal tuu ambayo ni limited,
Imagine Geita wangekuwa wanapata 10% ya tax inayolipwa hapo na makampuni yanayo operate hapo, ingesaidia kuleta ushindani na watu kufanya kazi kwa bidii popote walipo ili wapate maendeleo
YeyoooooAkili za kimaskini ndio hizi
Hollywood kuna matajiri kama Will Smith, Denzel Washington na Tom Cruise wanaoishi kwenye majumba ya dola milioni 40 halafu kuna watu wanalala nyumba za maboksi, eneo hilo hilo moja.
Huwezi kusubiri kila mtu akawa vizuri kiuchumi eti ndio ununue ndege.
Tuliambiwa kupitia tozo za miamala zitapelekwa kwenye elimu na sehemu nyingine sasa hao sumbawanga siyi watanzania?Matatizo yetu ni mengi sana ikiwemo upingaji wa kodi hizo hizo kwa sababu za kisiasa na elimu kuwa duni.
Nadhani unakumbuka namna tozo zilivyopingwa wakati huduma nzuri zitokanazo na kodi hizo kila mtu anazitaka.
Bila picha au uthibitisho ni UCHONGANISHIHivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?
Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?
Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini ..
CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma baba wa taifa mwl JK Nyerere.
Sidhani kama unatumia akili za kawaida zaidi ya kutumia akili za kichawi kichawi kichawi.Ama kweli kuwa chawa ni aibu kwa taifa. Yani mtu unazungumzia madawati kana kwamba hauoni au haujui kinachofanyika nchini. Kwa sasa serikali imejielekeza katika ujenzi wa shule za kisasa (msingi na sekondari) huku swala la madawati, vyoo na nyumba za walimu vikipewa kipaumbele. Miaka minne ijayo hakuna mwanafunzi atakaekuwa anakaa chini pia hakuna mwanafunzi atakaekosa darasa. Hii ndio serikali ya mama Samia.
View attachment 2168937
View attachment 2168938
View attachment 2168939
View attachment 2168940