Akili za CCM, hovyo kabisa, kipaumbele ilibidi iwe, aliyepata A, aende shule Bora, bila kujali ametoka shule gani, binafsi au ya kata primary,
Sasa kwa akili za CCM, wanaona wakipereka wenye A wote shule teule,shule zao za kata zitabakia na wenye uwezo mdogo, na mstokeo baadae yatakuwa mabaya!
Angalizo, wanafunzi wa shule za msingi za serikali, wengi wanafeli sio kwa vile hawana uwezo, sababu ni uhaba wa, miundombinu ya kufundishia, vitabu, maktaba,waalimu wenye Hari, wingi wa wwnwfunzi darasani,
Mtoto akipewa mazingira mazuri ya kusoma, uwezekano wa kufsnya vzr, unsongezeka, wale walifanya vibaya wakipelekwa shule zenye miundombinu Bora, wanaweza kufsnya vzr tu