Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

Mkuu hii hoja mimi nilisha ileta hapa... Ila nilishambuliwa sana.
Hapa libase kwa CSEE.FORM FOUR.
 
Mbona hatujawahi kuona wanafunzi wa vigogo wanachaguliwa kwenda shule za kata au wao wanafaulu sana? Acha kutetea upumbavu mkuu. Watu kama nyie ndio mnasababisha serikali ya CCM igome kuboresha mazingira ya shule za kata badala yake inawabeba wanafunzi vilaza na kuwasombea sekondari kwa kigezo cha mazingira magumu halafu inaumbuka baadaye.

Huu upumbavu wanaofanya serikali kwa kuchagua wanafunzi kwa upendeleo wa kipuuzi ndio unaosababisha uwepo wa wanafunzi vilaza kwenye sekondari zetu hivyo kuongeza wingi wa illiterates na ujinga kwenye nchi

View attachment 2848433
Mfumo wa elimu wa Tanzania ni outdated na elimu inayotolewa na mfumo huo ni ya dark ages ndo maana nchi haiendi mbele.Hakuna shule ya serikali inayotoa elimu bora bila kujali ikoje na ipo wapi,hata malalamiko yako nayaona hayana msingi kwa sababu anaesoma kata au hiyo spesho wote wapo chini ya mfumo uleule uliofeli. Shule za kata, bweni, teule, spesho kote ni full ujinga uleule,we unapelekeshwa na majina ya shule.
 
Mambo usiyoyajua mkuu usikimbilie kuja kuilaumu serikali, kilichofanyika hapo ni hesabu ya hali ya juu! Wewe umeshindwa kungamua tu!! Kwa hili naipongeza serikali! Kilichofanyikq hapo mm nakijua ni utaratibu na hesabu ndizo zinazofanya hivyo mkuu wala sio ubaguzi!!
Mkuu hesabu gani, uzijue wewe tu? tuambie kweupe hapa tuzijue sote!
 
Kwa hiyo kumbe selection haifuati ufaulu bali inafuata uwiano kama vile Tanganyika inavyowiana na Zanzibar? Hii kali aisee!

Hebu tufafanulie kidogo mkuu huenda unakuwemo kwenye selection board. Huwa mnachagua kwa kutumia muongozo kutoka juu bila kuzingatia ufaulu?
Huwezi kulinganisha ufaulu wa Kagera na Mtwara au Lindi na Mbeya au Katavi na Kilimanjaro.
Huwezi kuweka mizani sawa hata siku moja. Kata ya Umasaini iwe sawa na kata ya Dsm! Nooo!!

Mimi si mmoja wao. Ni fikra zangu zinanifikirisha hivyo
 
Watoto wenu mlitaka wachaguliwe shule gani zaidi ya kata?mtoto kapata A ya 92 unataka apelekwe shule ambayo inachukua A ya 98_100?
Mkuu kama kigezo ni aliyepata 98 na kuendelea ndiye anaenda shule teule iweje aliyepata B aqualify wakati mtihani ni mmoja?
 
Ulitaka wajazwe wapi?
Hivi unajua Nyerere aliwezaje kuondoa ukabila..!!??

Cha kwanza, kila shule ya serikali ilikuwa na wanafunzi wa mikoa yote ya Tanzania. Yaani ukiingia darasani unakutana na almost makabila yote..!!! Unapomtoa mtu Philadelphia na kumpeleka Mwandege , hiyo ni zero grazing..!!
 
Sasa hapa umeandika utopolo gani? Hebu tuliza akili kwanza uje na hoja yenye mashiko. Kama unatetea huu ujinga kwanini wasitunge mitihani ya aina mbili:

1. Mitihani ya kubet kwa wanafunzi wa shule za kata.
2. Mitihani migumu kwa wanafunzi wa shule binafsi.

Kwanini wanafunzi wote watungiwe mitihani ya kubet halafu wengine wabaguliwe. Tumia akili mkuu.
Ndugu Tpaul inaonekana una uraibu wa kamari.
 
Hivi unajua Nyerere aliwezaje kuondoa ukabila..!!??

Cha kwanza, kila shule ya serikali ilikuwa na wanafunzi wa mikoa yote ya Tanzania. Yaani ukiingia darasani unakutana na almost makabila yote..!!! Unapomtoa mtu Philadelphia na kumpeleka Mwandege , hiyo ni zero grazing..!!
Serikali inajua kabisa gap lililopo kwenye jamii kati ya wenye nacho na wasio nacho hivyo ikienda na hizi akili zenu za kishenzi watoto wa walalahoi watazaidi kuwa walalahoi. Angalau hao wanaojitahidi wakipelekwa shule nzuri sekondari itasaidia. Na wengi wao wakitoka Kayumba kwenda shule teule huwa breki ni University. Nyie mliojaliwa kipato pelekeni watoto sekondari za private mkuze uchumi. Tatizo wengi wenu pia mna hela za papatu papatu ndo maana mnataka ahueni mtoto aende shule nzuri za serikali. Hii SERIKALI YA CCM iko makini na wajinga wajinga kama wewe.
 
Upo sahihi, kuna upendeleo fulani.

Ila labda watakua na vigezo fulani mkuu, private na kayumba wanatofautiana
Mkuu wana tofautiana kivipi? wakati wote wanatumia kusoma kwa sera ya elimu moja, mtaala mmoja, walimu waliotoka vyuo sawa, baraza la mtihani moja, mtihani mmoja, wasimamizi ni walimu na maaskari wa serikali na wasahihishaji wa serikali?
 
Kwa hiyo kumbe selection haifuati ufaulu bali inafuata uwiano kama vile Tanganyika inavyowiana na Zanzibar? Hii kali aisee!

Hebu tufafanulie kidogo mkuu huenda unakuwemo kwenye selection board. Huwa mnachagua kwa kutumia muongozo kutoka juu bila kuzingatia ufaulu?
Ninamfaham Mwanafunz aliyepata A masomo yote shule ya serikali na kapangwa shule ya kata
 
Sio kwamba waliopata A wote wanaenda shule za bweni, wewe una uhakika gan kama A zao zilikua Kali zaid, kinachowapeleka shule Nzuri ni marks walizopata,
 
Mkuu wana tofautiana kivipi? wakati wote wanatumia kusoma kwa sera ya elimu moja, mtaala mmoja, walimu waliotoka vyuo sawa, baraza la mtihani moja, mtihani mmoja wasimamizi walimu na maaskari wa serikali na wasahihishaji wa serikali?
Basi kuna tatizo mahali...
 
Serikali hii inaamini kwamba, watoto wanaosoma shule za private wazazi wao Ni wafuasi na wanachama wa chadema na wanaosoma shule za kanumba wazazi wao Ni wafuasi na wanachama wa CCM.
Wanahisi wakiwachagua waliotoka shule za kulipia wanawapa ujiko chadema.
Hapana mkuu sio kweli!
 
Serikali inajua kabisa gap lililopo kwenye jamii kati ya wenye nacho na wasio nacho hivyo ikienda na hizi akili zenu za kishenzi watoto wa walalahoi watazaidi kuwa walalahoi. Angalau hao wanaojitahidi wakipelekwa shule nzuri sekondari itasaidia. Na wengi wao wakitoka Kayumba kwenda shule teule huwa breki ni University. Nyie mliojaliwa kipato pelekeni watoto sekondari za private mkuze uchumi. Tatizo wengi wenu pia mna hela za papatu papatu ndo maana mnataka ahueni mtoto aende shule nzuri za serikali. Hii SERIKALI YA CCM iko makini na wajinga wajinga kama wewe.
Yaani unawasaidia vilaza kwa kwafelisha wenye akili..!!! Ujinga ulioje..!!! Humsaidii masikini kwa kumshusha tajiri
 
Back
Top Bottom