ASANTE KWA MAREKEBISHOMwandege-Mkuranga
Hata siyo marekebisho mkuu.ASANTE KWA MAREKEBISHO
Namaqnisha mazingira ya kujifunza na kufundishia, vitu kama uwepo wa walimu, vitabu, madarasa, madawati n.kUna lipi la kusema kwa mwanafunzi anayekaa boarding mbali au nje ya mkoa ambako ndo nyumbani kwake?
Mfumo wa elimu wa Tanzania ni outdated na elimu inayotolewa na mfumo huo ni ya dark ages ndo maana nchi haiendi mbele.Hakuna shule ya serikali inayotoa elimu bora bila kujali ikoje na ipo wapi,hata malalamiko yako nayaona hayana msingi kwa sababu anaesoma kata au hiyo spesho wote wapo chini ya mfumo uleule uliofeli. Shule za kata, bweni, teule, spesho kote ni full ujinga uleule,we unapelekeshwa na majina ya shule.Mbona hatujawahi kuona wanafunzi wa vigogo wanachaguliwa kwenda shule za kata au wao wanafaulu sana? Acha kutetea upumbavu mkuu. Watu kama nyie ndio mnasababisha serikali ya CCM igome kuboresha mazingira ya shule za kata badala yake inawabeba wanafunzi vilaza na kuwasombea sekondari kwa kigezo cha mazingira magumu halafu inaumbuka baadaye.
Huu upumbavu wanaofanya serikali kwa kuchagua wanafunzi kwa upendeleo wa kipuuzi ndio unaosababisha uwepo wa wanafunzi vilaza kwenye sekondari zetu hivyo kuongeza wingi wa illiterates na ujinga kwenye nchi
View attachment 2848433
Mkuu hesabu gani, uzijue wewe tu? tuambie kweupe hapa tuzijue sote!Mambo usiyoyajua mkuu usikimbilie kuja kuilaumu serikali, kilichofanyika hapo ni hesabu ya hali ya juu! Wewe umeshindwa kungamua tu!! Kwa hili naipongeza serikali! Kilichofanyikq hapo mm nakijua ni utaratibu na hesabu ndizo zinazofanya hivyo mkuu wala sio ubaguzi!!
Huwezi kulinganisha ufaulu wa Kagera na Mtwara au Lindi na Mbeya au Katavi na Kilimanjaro.Kwa hiyo kumbe selection haifuati ufaulu bali inafuata uwiano kama vile Tanganyika inavyowiana na Zanzibar? Hii kali aisee!
Hebu tufafanulie kidogo mkuu huenda unakuwemo kwenye selection board. Huwa mnachagua kwa kutumia muongozo kutoka juu bila kuzingatia ufaulu?
Ulitaka wajazwe wapi?Unazidi kuonyesha ni kwa kiasi gani huelewi. Wanafunzi wa Philadelphia Primary ni wa private, siyo Kayumba na wote wamejazwa Mwandege kutwa..!!
Mkuu kama kigezo ni aliyepata 98 na kuendelea ndiye anaenda shule teule iweje aliyepata B aqualify wakati mtihani ni mmoja?Watoto wenu mlitaka wachaguliwe shule gani zaidi ya kata?mtoto kapata A ya 92 unataka apelekwe shule ambayo inachukua A ya 98_100?
Hivi unajua Nyerere aliwezaje kuondoa ukabila..!!??Ulitaka wajazwe wapi?
Ndugu Tpaul inaonekana una uraibu wa kamari.Sasa hapa umeandika utopolo gani? Hebu tuliza akili kwanza uje na hoja yenye mashiko. Kama unatetea huu ujinga kwanini wasitunge mitihani ya aina mbili:
1. Mitihani ya kubet kwa wanafunzi wa shule za kata.
2. Mitihani migumu kwa wanafunzi wa shule binafsi.
Kwanini wanafunzi wote watungiwe mitihani ya kubet halafu wengine wabaguliwe. Tumia akili mkuu.
Serikali inajua kabisa gap lililopo kwenye jamii kati ya wenye nacho na wasio nacho hivyo ikienda na hizi akili zenu za kishenzi watoto wa walalahoi watazaidi kuwa walalahoi. Angalau hao wanaojitahidi wakipelekwa shule nzuri sekondari itasaidia. Na wengi wao wakitoka Kayumba kwenda shule teule huwa breki ni University. Nyie mliojaliwa kipato pelekeni watoto sekondari za private mkuze uchumi. Tatizo wengi wenu pia mna hela za papatu papatu ndo maana mnataka ahueni mtoto aende shule nzuri za serikali. Hii SERIKALI YA CCM iko makini na wajinga wajinga kama wewe.Hivi unajua Nyerere aliwezaje kuondoa ukabila..!!??
Cha kwanza, kila shule ya serikali ilikuwa na wanafunzi wa mikoa yote ya Tanzania. Yaani ukiingia darasani unakutana na almost makabila yote..!!! Unapomtoa mtu Philadelphia na kumpeleka Mwandege , hiyo ni zero grazing..!!
Mkuu wana tofautiana kivipi? wakati wote wanatumia kusoma kwa sera ya elimu moja, mtaala mmoja, walimu waliotoka vyuo sawa, baraza la mtihani moja, mtihani mmoja, wasimamizi ni walimu na maaskari wa serikali na wasahihishaji wa serikali?Upo sahihi, kuna upendeleo fulani.
Ila labda watakua na vigezo fulani mkuu, private na kayumba wanatofautiana
Ninamfaham Mwanafunz aliyepata A masomo yote shule ya serikali na kapangwa shule ya kataKwa hiyo kumbe selection haifuati ufaulu bali inafuata uwiano kama vile Tanganyika inavyowiana na Zanzibar? Hii kali aisee!
Hebu tufafanulie kidogo mkuu huenda unakuwemo kwenye selection board. Huwa mnachagua kwa kutumia muongozo kutoka juu bila kuzingatia ufaulu?
Basi kuna tatizo mahali...Mkuu wana tofautiana kivipi? wakati wote wanatumia kusoma kwa sera ya elimu moja, mtaala mmoja, walimu waliotoka vyuo sawa, baraza la mtihani moja, mtihani mmoja wasimamizi walimu na maaskari wa serikali na wasahihishaji wa serikali?
Hapana mkuu sio kweli!Serikali hii inaamini kwamba, watoto wanaosoma shule za private wazazi wao Ni wafuasi na wanachama wa chadema na wanaosoma shule za kanumba wazazi wao Ni wafuasi na wanachama wa CCM.
Wanahisi wakiwachagua waliotoka shule za kulipia wanawapa ujiko chadema.
Yaani unawasaidia vilaza kwa kwafelisha wenye akili..!!! Ujinga ulioje..!!! Humsaidii masikini kwa kumshusha tajiriSerikali inajua kabisa gap lililopo kwenye jamii kati ya wenye nacho na wasio nacho hivyo ikienda na hizi akili zenu za kishenzi watoto wa walalahoi watazaidi kuwa walalahoi. Angalau hao wanaojitahidi wakipelekwa shule nzuri sekondari itasaidia. Na wengi wao wakitoka Kayumba kwenda shule teule huwa breki ni University. Nyie mliojaliwa kipato pelekeni watoto sekondari za private mkuze uchumi. Tatizo wengi wenu pia mna hela za papatu papatu ndo maana mnataka ahueni mtoto aende shule nzuri za serikali. Hii SERIKALI YA CCM iko makini na wajinga wajinga kama wewe.