Serikali ipige marufuku shule za dini au izitaifishe?

Serikali ipige marufuku shule za dini au izitaifishe?


kufuatia matokea ya kidato cha nne, form four 2024 yaliyotoka 23/1/2025 inaonyesha shule za dini zinafanya vizuri sana, lakini ukiingia ndani zaidi unakuta ni dini fulani huku zini zingine zikiachwa nje .
Je, ni wakati muafaka kwa SERIKALI KUTAIFISHA SHULE ZA DINI ili kila mtoto awe na usawa kwenye kufaulu ama serikali iache kila dini ijiamulie ama ELIMU DUNIA ama ELIMU AKHERA?

Hapa kuna hoja muhimu:

1. Uhuru wa Kidini: Katiba ya Tanzania inaheshimu uhuru wa dini. Kutaifisha shule za kidini kwa sababu ya matokeo yao ya kitaaluma kunaweza kuchukuliwa kama ukiukwaji wa uhuru huu tu.

2. Ubora wa Elimu: Mafanikio ya shule yanatokana na mambo mengi, kama vile usimamizi bora, walimu wenye sifa, nidhamu, na rasilimali. Badala ya kutaifisha, serikali inaweza kujifunza na kuboresha shule nyingine kwa kuiga mifano bora kutoka shule zinazofaulu.

3. Haki na Usawa: Kutaifisha shule za kidini kunaweza kusababisha mgawanyiko wa kijamii na malalamiko kutoka kwa dini husika. Ni vyema kuweka usawa kwa kushirikiana na taasisi zote za kidini badala ya kuziondoa umiliki.

4. Ushirikiano na Sera Bora: Serikali inaweza kushirikiana na shule za kidini kwa kuweka sera zinazoweka usawa wa fursa kwa wanafunzi wote bila kuingilia umiliki wa shule hizo.

MDAU MMOJA KIJIWE cha kahawa hapa Posta Mtaa wa Mkwepu anasema badala ya kutaifisha shule, serikali inapaswa kuimarisha mfumo wa elimu kwa ujumla na kushirikiana na taasisi zote kwa njia ya usawa ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata fursa ya elimu bora.
Post yako haitoi solution but inaegemea kuficha aibu ya shule zisizo za kidini (kayumba) na dini fulani
Elimu bora na hayo matokeo hayaji bila uwekezaji, uqekezaji ni pesa. Ndio hapo shule za kidini zinapo ng'ara, wamefanikiwa kuboresha elimu ya internally , is why wanapata matokeo ya juu

Badala ya kuficha aibu, wengine wakajifunze huko wao wanafanyaje mpaka wana attain ubora wa juu
 
Hao wasiofaulu kwani wamenyimwa nafasi shule za Kikristo? St Fransis Mbeya na nyingine za Wakristo hazibagui dini zipo open kwa kila mtu. Seminary za wa Katoliki ni kwa ajili ya wanaosomea upadre tu.
Nikurekebishe kaka ,Seminary si kwa ajili ya wanao somea upadre tu, anaenda yoyote. Tuna viongozi nchi hii wenfi tu ni wa seminary, tena wengine si wakatoliki.

Binafsi nikiwemo
 
Kwani sisi waumini wa dini isiyofaulu vizuri tumekatazwa kwenda hizo St. fulani?. we thread starter tafadhali usitake tuonekane sisi ni viazi S 24 ultra
 
Mbona FEZA inafanya vzuri vipi kuhusu Al munawar mbona matokeo yake yapo vzur?

Mission yenu hapa duniani ni kutoka mkiwa wasafi na sio kuchukia imani nyingine mnapoteza maarifa
Aliyemuelewa anieleweshe tafadhari..!!
 
Kuna shule mmoja ya dini nilikuwa na kazi zangu hapo. Wana darasa linalolomika kama darasa la shule elimu dunia na elimu akhera. Kuna kitabu cha elimu dunia kilikuwa kinazagaazagaa mule darasani nikakiokota na kukiweka palipo na vitabu elimu akhera. Kumbe kile kitabu cha elimu dunia hakikustahili kuwekwa pamoja na vitabu elimu akhera, walikitoa pale wakakichanachana, asubuhi nakutana na vipande vya kurasa kitabu kimeharibiwa. Nishikwa na hasira na kutaka kujua ni maalimu akafanya vile au wanamadrasa wake. Kwa nini vile vitabu vya dini uiachwe salama na kile cha kufundishia elimu dunia kiharibiwe? Cha ajabu akaja mwalimu wa elimu dunia mwenye imani hiyo akaanza kunidai kitabu kile nikilipe akidai alinikabidhi kizima kwa nini nilikiweka palipo na vitabu vya dini wakaja wanamadrasa wakakiharibu. Huyo mwalimu nilimjibu nina uwezo wa kulipa hicho kitabu cha elimu dunia hata nakala tatu ila kwa akili mlizo nazo kudharau elimu dunia sitalipa. Wanachanganya sana watoto kwa elimu akhera na elimu dunia, dunia wanaipuza
 
Kuna mambo mengi yanachangia zile shule za dini ile kufeli vibaya. Wanakumbatia sana udini, wanapenda kuajiri wa imani yao hata kama kichwani ni watupu. Udini wao unawajengea mentallity ya kupuuzia masomo ya kidunia
Kuna shule ya seminary ambayo haifundishi dini?
 
Kuna shule mmoja ya dini nilikuwa na kazi zangu hapo. Wana darasa linalolomika kama darasa la shule elimu dunia na elimu akhera. Kuna kitabu cha elimu dunia kilikuwa kinazagaazagaa mule darasani nikakiokota na kukiweka palipo na vitabu elimu akhera. Kumbe kile kitabu cha elimu dunia hakikustahili kuwekwa pamoja na vitabu elimu akhera, walikitoa pale wakakichanachana, asubuhi nakutana na vipande vya kurasa kitabu kimeharibiwa. Nishikwa na hasira na kutaka kujua ni maalimu akafanya vile au wanamadrasa wake. Kwa nini vile vitabu vya dini uiachwe salama na kile cha kufundishia elimu dunia kiharibiwe? Cha ajabu akaja mwalimu wa elimu dunia mwenye imani hiyo akaanza kunidai kitabu kile nikilipe akidai alinikabidhi kizima kwa nini nilikiweka palipo na vitabu vya dini wakaja wanamadrasa wakakiharibu. Huyo mwalimu nilimjibu nina uwezo wa kulipa hicho kitabu cha elimu dunia hata nakala tatu ila kwa akili mlizo nazo kudharau elimu dunia sitalipa. Wanachanganya sana watoto kwa elimu akhera na elimu dunia, dunia wanaipuza
Wewe ni mjinga na chuki zako zisizo na msingi zimekufanya uwe mpumbav.. uliuliza ukaambiwa dini imesema ukichanganya vitabu vichanwe?
 

kufuatia matokea ya kidato cha nne, form four 2024 yaliyotoka 23/1/2025 inaonyesha shule za dini zinafanya vizuri sana, lakini ukiingia ndani zaidi unakuta ni dini fulani huku zini zingine zikiachwa nje .
Je, ni wakati muafaka kwa SERIKALI KUTAIFISHA SHULE ZA DINI ili kila mtoto awe na usawa kwenye kufaulu ama serikali iache kila dini ijiamulie ama ELIMU DUNIA ama ELIMU AKHERA?

Hapa kuna hoja muhimu:

1. Uhuru wa Kidini: Katiba ya Tanzania inaheshimu uhuru wa dini. Kutaifisha shule za kidini kwa sababu ya matokeo yao ya kitaaluma kunaweza kuchukuliwa kama ukiukwaji wa uhuru huu tu.

2. Ubora wa Elimu: Mafanikio ya shule yanatokana na mambo mengi, kama vile usimamizi bora, walimu wenye sifa, nidhamu, na rasilimali. Badala ya kutaifisha, serikali inaweza kujifunza na kuboresha shule nyingine kwa kuiga mifano bora kutoka shule zinazofaulu.

3. Haki na Usawa: Kutaifisha shule za kidini kunaweza kusababisha mgawanyiko wa kijamii na malalamiko kutoka kwa dini husika. Ni vyema kuweka usawa kwa kushirikiana na taasisi zote za kidini badala ya kuziondoa umiliki.

4. Ushirikiano na Sera Bora: Serikali inaweza kushirikiana na shule za kidini kwa kuweka sera zinazoweka usawa wa fursa kwa wanafunzi wote bila kuingilia umiliki wa shule hizo.

MDAU MMOJA KIJIWE cha kahawa hapa Posta Mtaa wa Mkwepu anasema badala ya kutaifisha shule, serikali inapaswa kuimarisha mfumo wa elimu kwa ujumla na kushirikiana na taasisi zote kwa njia ya usawa ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata fursa ya elimu bora.
Umeuliza swali kisha ukajijibu mwenyewe, sasa sisi wenye D mbili tunajibu nini tena!?.
 
Ila wazee mimi tangia nijiunge humu naona ni Wakristu wakiwaandama sana waislam Ila sijaona waislam wakiwaandama wakristu.. yan ni team O na team X kwenye squid game.

tukumbushane mission ya hapa duniani ni kuwa mtu mwema tu haijalishi dini yako,, na ulisha ambiwa adui yako wewe ni shetani tu okay Game iendeleee 😀 team 🙅🏻‍♂️ Na team 🙆🏽‍♂️
 

kufuatia matokea ya kidato cha nne, form four 2024 yaliyotoka 23/1/2025 inaonyesha shule za dini zinafanya vizuri sana, lakini ukiingia ndani zaidi unakuta ni dini fulani huku zini zingine zikiachwa nje .
Je, ni wakati muafaka kwa SERIKALI KUTAIFISHA SHULE ZA DINI ili kila mtoto awe na usawa kwenye kufaulu ama serikali iache kila dini ijiamulie ama ELIMU DUNIA ama ELIMU AKHERA?

Hapa kuna hoja muhimu:

1. Uhuru wa Kidini: Katiba ya Tanzania inaheshimu uhuru wa dini. Kutaifisha shule za kidini kwa sababu ya matokeo yao ya kitaaluma kunaweza kuchukuliwa kama ukiukwaji wa uhuru huu tu.

2. Ubora wa Elimu: Mafanikio ya shule yanatokana na mambo mengi, kama vile usimamizi bora, walimu wenye sifa, nidhamu, na rasilimali. Badala ya kutaifisha, serikali inaweza kujifunza na kuboresha shule nyingine kwa kuiga mifano bora kutoka shule zinazofaulu.

3. Haki na Usawa: Kutaifisha shule za kidini kunaweza kusababisha mgawanyiko wa kijamii na malalamiko kutoka kwa dini husika. Ni vyema kuweka usawa kwa kushirikiana na taasisi zote za kidini badala ya kuziondoa umiliki.

4. Ushirikiano na Sera Bora: Serikali inaweza kushirikiana na shule za kidini kwa kuweka sera zinazoweka usawa wa fursa kwa wanafunzi wote bila kuingilia umiliki wa shule hizo.

MDAU MMOJA KIJIWE cha kahawa hapa Posta Mtaa wa Mkwepu anasema badala ya kutaifisha shule, serikali inapaswa kuimarisha mfumo wa elimu kwa ujumla na kushirikiana na taasisi zote kwa njia ya usawa ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata fursa ya elimu bora.
Dini IPI inayofanya vizuri au zote?
 
Wewe ni mjinga na chuki zako zisizo na msingi zimekufanya uwe mpumbav.. uliuliza ukaambiwa dini imesema ukichanganya vitabu vichanwe?
peleka upuuzi wako kule, mnafundisha watoto upuuzi, mtoto anapenda juzuu kuliko kitabu cha hesabu, huo ni ujinga, matokeo yake wanafeli shuleni
 
Umesema vyema sio shule zote za kidini zinafanya vizuri.

Na ukweli ni kwamba hata kwa hiyo dini unayoona shule zake zinafanya vizuri... sio zote! Zipo zenye matokeo mabaya ila ni chache

Ushauri uliotoa haulengi kutatua tatizo ila kuliongeza na kulifanya sugu.

Mtazamo wangu
Wasiofanya vizuri wakajifunze kwa wanaofanya vizuri na sio wanaofanya vizuri waadhibiwe kwa kufanya vizuri.
💯✅
 
peleka upuuzi wako kule, mnafundisha watoto upuuzi, mtoto anapenda juzuu kuliko kitabu cha hesabu, huo ni ujinga, matokeo yake wanafeli shuleni
Uliuliza ukaambiwa hiko walicho fanya wanafunzi ni sahihi? Nyinyi ndomaana papà Francis amewaruhu muoane anaona akili zenu za kichoko mfano wewe sasa akili gani hyo
 
Unamaanisha shu

kufuatia matokea ya kidato cha nne, form four 2024 yaliyotoka 23/1/2025 inaonyesha shule za dini zinafanya vizuri sana, lakini ukiingia ndani zaidi unakuta ni dini fulani huku zini zingine zikiachwa nje .
Je, ni wakati muafaka kwa SERIKALI KUTAIFISHA SHULE ZA DINI ili kila mtoto awe na usawa kwenye kufaulu ama serikali iache kila dini ijiamulie ama ELIMU DUNIA ama ELIMU AKHERA?

Hapa kuna hoja muhimu:

1. Uhuru wa Kidini: Katiba ya Tanzania inaheshimu uhuru wa dini. Kutaifisha shule za kidini kwa sababu ya matokeo yao ya kitaaluma kunaweza kuchukuliwa kama ukiukwaji wa uhuru huu tu.

2. Ubora wa Elimu: Mafanikio ya shule yanatokana na mambo mengi, kama vile usimamizi bora, walimu wenye sifa, nidhamu, na rasilimali. Badala ya kutaifisha, serikali inaweza kujifunza na kuboresha shule nyingine kwa kuiga mifano bora kutoka shule zinazofaulu.

3. Haki na Usawa: Kutaifisha shule za kidini kunaweza kusababisha mgawanyiko wa kijamii na malalamiko kutoka kwa dini husika. Ni vyema kuweka usawa kwa kushirikiana na taasisi zote za kidini badala ya kuziondoa umiliki.

4. Ushirikiano na Sera Bora: Serikali inaweza kushirikiana na shule za kidini kwa kuweka sera zinazoweka usawa wa fursa kwa wanafunzi wote bila kuingilia umiliki wa shule hizo.

MDAU MMOJA KIJIWE cha kahawa hapa Posta Mtaa wa Mkwepu anasema badala ya kutaifisha shule, serikali inapaswa kuimarisha mfumo wa elimu kwa ujumla na kushirikiana na taasisi zote kwa njia ya usawa ili kuhakikisha kila mwanafunzi anapata fursa ya elimu bora.
ke kama st Francis za kikatokiki na ,tengeru boys ya kikatolki pia ,wawe wanashrikiana na Islamic schools ili kuleta usawa? Yaan walimu wa st.francis walazmishwe waende Islamics schools wafundishe??
 
Nadhani sio kila Dini ina uwezo wa kuanzisha shule na kuzisimamia vizuri. Dini zingine ziendelee kusonga mbele na injili mengine hawayawezi.
 
Uliuliza ukaambiwa hiko walicho fanya wanafunzi ni sahihi? Nyinyi ndomaana papà Francis amewaruhu muoane anaona akili zenu za kichoko mfano wewe sasa akili gani hyo
uwe na ufahamu si wote ni wafuasi wa papa, wengine hawamjui papa ni nani na hawamtambui. Jikite kwenye mada
 
Nadhani sio kila Dini ina uwezo wa kuanzisha shule na kuzisimamia vizuri. Dini zingine ziendelee kusonga mbele na injili mengine hawayawezi.
Hawalazimishwi , wanaombwa kujichanganya.
Haya mambo ya wanafunzi kuanza kuvaa vikofia na kujifunika vitambaa na wengine kuvaa misalaba mashuleni ni tatizo tunalo ogopa kulisema.
 
Back
Top Bottom