Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Huoni wanao faulu ni watu wa dini moja?
Zote zichukuliwe na serikali.
Dini gani wanafaulu zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni wanao faulu ni watu wa dini moja?
Zote zichukuliwe na serikali.
Dini gani wanafaulu zaidi?
Mbona kuna shule nyingi za dini yangu zinafanya vzuri na matokeo ni mazuri sijaona ukizipongeza.ubwabwa unaujua wewe, dini yako ilikurupuka kuiga uanzishaji shule, ona matokeo yake! Bora muendelee na abrakadabra zenu tu, pelekeni watoto wenu wakasome kwenye shule za dini ile. Wale wanajua kuendesha shule zao. Shule za serikali nazo zipo zinafanya vizuri tu
Dini yako ni ya Waitaliano au Waarabu?Mbona kuna shule nyingi za dini yangu zinafanya vzuri na matokeo ni mazuri sijaona ukizipongeza.
Abrakadabra ndo Nini??
HinduDini yako ni ya Waitaliano au Waarabu?
Hao hao Asian.Hindu
Hazikuwa za dini bali wamiliki wa hizo shule walikuwa na dini na zilikuwa zikifundisha watoto wa walio na dini na wasio na diniKwanza serkali irudishe shule zote za dini ilizotaifisha miaka ya 70 kwani sasa zimekuwa za hovyo kabisa.
Kama ww sio mfuasi wa papa na haumtambui, mbona upo unajivunia ufaulu wa shule zinazo milikiwa na taasisi anayo iongoza? kwanini usijivunie shule za warokole wenzio?uwe na ufahamu si wote ni wafuasi wa papa, wengine hawamjui papa ni nani na hawamtambui. Jikite kwenye mada
shule zipi za 'warokore' unazozijua zimefanya vibaya?Kama ww sio mfuasi wa papa na haumtambui, mbona upo unajivunia ufaulu wa shule zinazo milikiwa na taasisi anayo iongoza? kwanini usijivunie shule za warokole wenzio?
Unaweza kunitajia hata shule moja inayo milikiwa na warokole wenzio iliyo fanya vizuri kuzidi hizo shule za waislam unao wakejeli?
Kuna dini ya mizimu? Au tamaduniHao hao Asian.
Ingekuwa ya Mizimu kama Yericko Nyerere ningekushauri, ila hizi doni zinazohubiri ubaguzi, kukataza kula hiki ila kula kile, sijui wewe unampa mwenzio jina baya etc ni upuuzi mtupu.
Hizo ambazo haujazisikia ndo zimefanya vbaya.. haumjui papà fransis ila shule zake una Zishobokeashule zipi za 'warokore' unazozijua zimefanya vibaya?
Sasa hata ukieleweshwa tangu lini makafiri mkaelewa? Halafu mnafaulu sana tumewakubali mbona nchi bado masikini?Aliyemuelewa anieleweshe tafadhari..!!
Makafiri bwana paukwa pakawa ndeeefu ya kipuuzi 😆😆😆😆😆😆😆Kuna shule mmoja ya dini nilikuwa na kazi zangu hapo. Wana darasa linalolomika kama darasa la shule elimu dunia na elimu akhera. Kuna kitabu cha elimu dunia kilikuwa kinazagaazagaa mule darasani nikakiokota na kukiweka palipo na vitabu elimu akhera. Kumbe kile kitabu cha elimu dunia hakikustahili kuwekwa pamoja na vitabu elimu akhera, walikitoa pale wakakichanachana, asubuhi nakutana na vipande vya kurasa kitabu kimeharibiwa. Nishikwa na hasira na kutaka kujua ni maalimu akafanya vile au wanamadrasa wake. Kwa nini vile vitabu vya dini uiachwe salama na kile cha kufundishia elimu dunia kiharibiwe? Cha ajabu akaja mwalimu wa elimu dunia mwenye imani hiyo akaanza kunidai kitabu kile nikilipe akidai alinikabidhi kizima kwa nini nilikiweka palipo na vitabu vya dini wakaja wanamadrasa wakakiharibu. Huyo mwalimu nilimjibu nina uwezo wa kulipa hicho kitabu cha elimu dunia hata nakala tatu ila kwa akili mlizo nazo kudharau elimu dunia sitalipa. Wanachanganya sana watoto kwa elimu akhera na elimu dunia, dunia wanaipuza
Sasa kama mtu jambo dogo kama hili anashidwa kuelewa ataweza kuelewa Simulteneous Equation kweli?uwe na ufahamu si wote ni wafuasi wa papa, wengine hawamjui papa ni nani na hawamtambui. Jikite kwenye mada
Dii kama zilizoletwa na Waarabu na waitaliano.Kuna dini ya mizimu? Au tamaduni
mi ninachoangalia ni elimu tu, huyo papa unamjua weweHizo ambazo haujazisikia ndo zimefanya vbaya.. haumjui papà fransis ila shule zake una Zishobokea
Hakuna dini ya mizimu labda tamaduni soma basi hiki kitabu “Muzimu omulilo” mzimu wa motoDii kama zilizoletwa na Waarabu na waitaliano.