Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wewe ndiyo ukajifunze dogo.
Huwezi kufikia hata robo ya historia ya dunia ninayoifahamu mimi.
Simply huna cha kunifundisha kuhusu kanisa na movement zake.
Ndiyo maana unavyoniambia kanisa linatawala dunia nzima nakushangaa na nimekuuliza Saudia,china,north korea nako kanisa linatawala?
Au huko sio dunia nzima?
🤣Kanisa ni Watu.
Misheni ya Kanisa ni kuwafanya Watu kuwa Wanafunzi wa Kristo.
Kanisa limejengwa katika msingi kuwa Kristo alishinda mauti.
Msingi Mkuu wa kanisa ni kushinda Mauti, kushinda Giza.
Kanisa muasisi wake ni Nani?
Alafu angalia missions zao ni zipi?
Alafu waliopambana nalo ni kina Nani na nini kilitokea?
Sasa hivi limefikia wapi?
Hapana hatuwaoni kama mungu ndo mana mwarabu akija naye anaenda msikitini na anaswalishwa na imami ambaye ni mbongo lakini padre hawezi kusaliswa na muuni wa kawaida. Totally uungu unaanzia hapoJawa waislam wanaowaona waarabu kama Miungu?
Hakuna seminary inayo accept muislamu ndugu. Nyie mmeshajijrngea ufalme hapa duniani na mungu atawasusha one dayUkienda pale Bugando Referral Hospital Mwanza....utakuta waislamu wengi pia wakristo wengi wakiendelea kupewa huduma.
Ukienda seminary schools zote nchini utakutana na wanafunzi wa madhehebu yote.
Acha upumbavu wako na kobazi lako mjinga wewe.
TEC hakuna vilaza pale,wala TEC huwa hawachapani bakora makanisani kugombea umiliki wa misaada toka uarabuni....
Shika adabu yako!
Kila mtu ndani ya uislamu anaweza kuona mwezi siyo lazima atangaziwe na shekhe. Ila nyie kila kitu mpaka muongozwe na mtu Wala siyo mungu. Kuna uwezekano siku ya kiama mkaachwa kisa padre hajawaambia.Unaelewa maana ya neno Kiongozi? Huko kwenye Uislam wenu hamna viongozi? Je, yale matamko ya kuanza na kumalizika kwa mfungo wenu wa Ramadhan huwa yanatolewa na miungu ya kiislam?
Jitahidi kuficha unafiki Sheikh.
Kila mwaka hamuwezi kufunga/kufungulia mpaka Mufti wenu wa Bakwata atoe tamko. Halafu unaleta ubishi hata kwenye jambo dogo tu.Kila mtu ndani ya uislamu anaweza kuona mwezi siyo lazima atangaziwe na shekhe. Ila nyie kila kitu mpaka muongozwe na mtu Wala siyo mungu. Kuna uwezekano siku ya kiama mkaachwa kisa padre hajawaambia.
Shida huujui uislam halafu unataka kubishana kuhusu uislam.Kila mwaka hamuwezi kufunga/kufungulia mpaka Mufti wenu wa Bakwata atoe tamko. Halafu unaleta ubishi hata kwenye jambo dogo tu.
Je, unijibu sasa! Bakwata na Mufti ndiyo miungu yenu? Maana kila wanachosema, na nyinyi huwa mnatii
Mbona mpaka hapa wanateterekaHawawezi kutetereka na hawa TEC
Hakuna alietetereka mkuu watu wanatumia hekima tu.Mbona mpaka hapa wanatetereka
Mimi siujui Uislam! Sawa kabisa. Na wala sitegemei kuujua maisha yangu yote.Shida huujui uislam halafu unataka kubishana kuhusu uislam.
Jadili siasa ndugu mkatoliki
Ukimaliza kusomwa kanisani uletwe mtaani mana waumini wenu hawaji kanisani kwa kukimbia michango.Hakuna alietetereka mkuu watu wanatumia hekima tu.
Walikulevya wewe.The church of walevi, walawiti na wafiraji
Waliotoa matamko hayo na ambayo sasa wanatekeleza waitwe wahojiwe wana mkakati gani.Tulifikirie hili swala bila jazba. Kwa sababu ni jambo ambalo linaweza kuhatarisha amani ya nchi.
Propaganda hiyo itakayotokea na huo waraka wa TEC kusomwa Kanisani ni kambo ambalo serikali itashindwa kutanzua.
TEC imetoa tamko na serikali imesikia. Hiyo inatosha.
Serikali iingize buti Kanisani. That is my robotic advice.
Vinginevyo sasa,tutakuwa na serikali ngapi?
Hakuna maovu kwenye mkataba wa DP World, zaidi zaidi unakuja kutupa changamoto za uendeshaji wa makampuni yetu mengi ya sekta ya usafirishaji.Acha uongo wako wewe. Hatabwakati wa Magufuli, TEC walisimama kukemea maovu.
Na ushahidi wa wazi kabisa ni ule Waraka wa Kwaresma ambao ulisababisha baadhi ya Maaskofu akiwemo Severine Niwemuguzi wa Kagera kuanza kusumbuliwa na uhamiaji.
Na ukija kwa Fr. Kitima ndiyo kabisaa! Mara zote alizohudhuria hafla za Ikulu, alitumia muda wake mwingi kumchallenge Rais wa wakati huo kwa kitoa hoja zisizo na chembe ya unafiki, kiasi cha kuonekana ana itikadi za upinzani.
Rekebisheni madhaifu ya huo mkataba kabla mambo hayaja haribika. Kuna makundi ya watu wengi yalijitokeza kutoa kasoro zao.Hakuna maovu kwenye mkataba wa DP World, zaidi zaidi unakuja kutupa changamoto za uendeshaji wa makampuni yetu mengi ya sekta ya usafirishaji.
Maaskoffu hawajaitendea haki serikali ya awamu ya sita tukizingatia kwa namna kanisa lilivyoshirikishwa kuanzia hatua za awali kabisa za biashara hii.
Angalau hii ni kauli ya mtu mwenye kuheshimu hoja na mantiki.Rekebisheni madhaifu ya huo mkataba kabla mambo hayaja haribika. Kuna makundi ya watu wengi yalijitokeza kutoa kasoro zao.
Hivyo sioni ni kwa nini iwe nongwa kwa TEC nao kutoa maoni yao.
Rome ni jitu juu ya jituSerikali ni jitu kubwa sana