Hii ndo legacy alotuachia MwendazakeHawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
View attachment 2792653View attachment 2792670View attachment 2792655
🎶🎶Polisi msitupige mabomu chadema ni serikali ijayo🎶🎶🎶🎶🤣🤣🤣💺Labda kama umejitoa akili , siku zote nikiwa Tanzania ninaishi Tandika Mwembeyanga au Kyela Kajunjumele , lakini sijawahi kuwa kapuku .
Jifunze kuwa na adabu , sisi ni viongozi wako wajao , usitukanetukane hovyo
Unamtukana bure huyu mleta uzi...kimsingi wafanyabiashara wa Mbagara wengi wao hufanya biashara barabarani kiasi kwamba, magari na vyombo vyengine vya moto hulazimika kutumia njia moja badala ya mbili. Kwakusema ukweli mbali na usumbufu wanaouleta kwa watumiaji wa barabara lakini pia usalama wa wafanyabiashara hawa na watembea kwa miguu upo hatarini.Wewe ni mpotoshaji sana!
Hapo wapo kwenye barabara ya mwendo kasi ambayo bado haijaanza kutumika.
Asante sanaUnamtukana bure huyu mleta uzi...kimsingi wafanyabiashara wa Mbagara wengi wao hufanya biashara barabarani kiasi kw
Una maneno wewe kama watoto wa uswahilini pale soko matola.Hela siyo kama jasho kwamba kila mtu anaweza kuwa nazo
Ajabu siku nyingine foleni hadi saa 6 usiku kisa watu wamepanga bidhaa barabarani.Hivi we umewahi kwenda mbagala mbona watu hovyo namna hii, anapotosha nini? Mbagala Zackiem hadi Rangi 3 kwote wafanyabiashala wametapakaa barabarani foleni haiishi yamagali pale iwe j3 hadi j2 foreni yani kutoka Zackiemu hadi Rangi 3. unaweza kutumia saa zima sehemu ya umbali mita kama 400 tu.
Utashangaa serikali ipo ila wako kimya utadhani nchi haina viongoziHawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
View attachment 2792653View attachment 2792670View attachment 2792655
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .
Mimi naona wagongwe wafe tuu. Yani wasted life ningekuwa na uwezo ningewatoa kafara niendelee kuneemeka na utajiri ama kuwageuza watumwa kwa kuwafanyisha kazi bure bila malipo.Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
View attachment 2792653View attachment 2792670View attachment 2792655
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .
Kumbe adriz ni mmakonde?Wamakonde ni wabishi jamanii ukienda mbagala unashangaa na kujiuliza pasipo majibu kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Barabara ya mwendokasi ni kichanja cha kuuzia bidhaa ?
Halafu kuniita Kima ndio kuonyesha wewe ni Mjanja eeeeh ? huku kwetu Tandika matusi ni sehemu ya salamu , ila sasa tukijibu usimlilie mtu
Swali lako ni zuri lakini majibu yake anayo ChalamilaHivi Mbagala ni Tanzania?
Unaambiwa barabara inapikiwa hadi ugali huku ikikaangiwa hadi mihogo ![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujimwambafai kwingine bhana 🤣🤣🤣sisi ni viongozi wako wajao , usitukanetukane hovyo
Kwani unabisha?Kujimwambafai kwingine bhana 🤣🤣🤣
OhoooooooHakuna mtu mwenye akili zake akaishi mbagala
Kwa hiyo nyie Chadema mnataka wapigakura wafukuzwe? Nendeni Mbagala mkaweke Mkutano harafu mtoe huu UshauriHawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
View attachment 2792653View attachment 2792670View attachment 2792655
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .
Nina uhakika viongozi wa hilo kundi watakuwa makada wa chama tawala na wanakitumia chama kama ngao yao wafuatiliweUnamtukana bure huyu mleta uzi...kimsingi wafanyabiashara wa Mbagara wengi wao hufanya biashara barabarani kiasi kwamba, magari na vyombo vyengine vya moto hulazimika kutumia njia moja badala ya mbili. Kwakusema ukweli mbali na usumbufu wanaouleta kwa watumiaji wa barabara lakini pia usalama wa wafanyabiashara hawa na watembea kwa msi, Serikali iendelee kuwa macho na hai wakati wote ili kuzuia mambo ya namna hii kutokea. Aidha, Serikali iwekeze nguvu kubwa kuhakikisha kwamba, biashara hazifanywi katikati ya barabara.
Mtu hana hata mia unadhani anawaza kuhusu maisha yake wakati ana njaa. Ukimgonga kwake ni bingo. Mkiandika vitu jiwekeni kwenye viatu vya walengwa sababu Serikali ya CCm haina ubunifu wala uwezo kufanya chochote zaidi ya kulalamika kama mwananchi yoyote.Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .