Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wewe umewahi kupita mbgl jioni ukaona Hali ilivyo siyo kwenye mwendo Kasi Wala barabara ya kawaida kokote wapoWewe ni mpotoshaji sana!
Hapo wapo kwenye barabara ya mwendo kasi ambayo bado haijaanza kutumika.
Tatizo jingine litaanza baada ya mradi wa mwendokasi hao wafanyabiashara wataenda wapi na wateja wao wapo hapohapo mbagalaHivi wewe umewahi kupita mbgl jioni ukaona Hali ilivyo siyo kwenye mwendo Kasi Wala barabara ya kawaida kokote wapo
Inasikitisha sanaBarabara ya mwendokasi ni kichanja cha kuuzia bidhaa?
Kwa hiyo huo ndio utaratibu wa nchi hii??Waache! Magari yakianza kupita watatafuta sehemu nyingine ya kupayia riziki zao.
Leo hii unakaa tandika?
Si ulisema hizo ni sehemu za watu masikini?
Legacy ya kufutwa kabisa hiyoHii ndo legacy alotuachia Mwendazake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaambiwa barabara inapikiwa hadi ugali huku ikikaangiwa hadi mihogo !
Kila mtu akisema ajipatie riziki bila utaratibu hii bado itaendelea kuwa nchi ?? Yani watu wakae katikati ya barabara, shuleni, hospitali n.k kufanya umachinga kisa wanatafuta riziki! Akili za hovyo sana hiziNdio wanamopatia riziki mkuu, ajira hakuna, wao selikali wanaishia kununua tu ma V8
Mwenye akili za hovyo ni wewe!Kila mtu akisema ajipatie riziki bila utaratibu hii bado itaendelea kuwa nchi ?? Yani watu wakae katikati ya barabara, shuleni, hospitali n.k kufanya umachinga kisa wanatafuta riziki! Akili za hovyo sana hizi
Kuna wajinga kazi Yao ni kupinga kilakitu hata Hili la wamachinga kufunga barabara wanaona sawa tuKila mtu akisema ajipatie riziki bila utaratibu hii bado itaendelea kuwa nchi ?? Yani watu wakae katikati ya barabara, shuleni, hospitali n.k kufanya umachinga kisa wanatafuta riziki! Akili za hovyo sana hizi
asante sanaHivi wewe umewahi kupita mbgl jioni ukaona Hali ilivyo siyo kwenye mwendo Kasi Wala barabara ya kawaida kokote wapo
Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .