Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Atakwambia anatoka kutalii Kilwa 🤣🤣🤣🤣Waache! Magari yakianza kupita watatafuta sehemu nyingine ya kupayia riziki zao.
Leo hii unakaa tandika?
Si ulisema hizo ni sehemu za watu masikini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakwambia anatoka kutalii Kilwa 🤣🤣🤣🤣Waache! Magari yakianza kupita watatafuta sehemu nyingine ya kupayia riziki zao.
Leo hii unakaa tandika?
Si ulisema hizo ni sehemu za watu masikini?
Huyo jamaa Erythrocyte ana mbwebwe sana,hakuna Tajiri anaishi Tandika Mwembeyanga,hiyo ni kutokana na Ulinzi Binafsi wa mwili na Mali za Tajiri maana huko Tandika ni pango la wanyang'anyiWe una majivuno sana
Tandika hiyoUna maneno wewe kama watoto wa uswahilini pale soko matola.
Hapo ukigonga mtu huponi ndugu yangu, wanakupiga hadi unakata kambaMimi naona wagongwe wafe tuu. Yani wasted life ningekuwa na uwezo ningewatoa kafara niendelee kuneemeka na utajiri ama kuwageuza watumwa kwa kuwafanyisha kazi bure bila malipo.
Wanataka damu ili uchaguzi uwaendee vizuri.Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea.
Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta Maafa ya kukumbukwa milele.
Baada ya Maafa Chalamila ataunda Tume ya Uchunguzi .
Una Imani za kizamani na wewe!kwani viongozi ndio wamewatuma wakakae hapo?na mtu anagongwaje hapo mfano wakati hapo n mwendokasi ambazo hazijaanza matumizi?Wanataka damu ili uchaguzi uwaendee vizuri.
Unadhani watapataje bila maafa?
Utajua hujuiUna Imani za kizamani na wewe!kwani viongozi ndio wamewatima wakakae hapo?na anagomgwaje Kwa mfano wakati hapo n mwendokasi ambazo hazijaanza matumizi?
🤣🤣🤣🤣Waache! Magari yakianza kupita watatafuta sehemu nyingine ya kupayia riziki zao.
Leo hii unakaa tandika?
Si ulisema hizo ni sehemu za watu masikini?
Mbagala ni hatari sanaUnaambiwa barabara inapikiwa hadi ugali huku ikikaangiwa hadi mihogo !
Nani amewaruhusu wawepo kama Sio sihasa za Hovyo, watupe budget ya Yale mabango yanayokataza na hakuna anayeyaheshimu!?Kwa hapa DAR sijapata ona sehemu ambayo wafanyabiashara wanafunga njia ili kufanya biashara isipokuwa huku Mbagala...najua hawa wafanyabiashara wataondoka katikati ya barabara Hadi patokee maafa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hujiona yeye ndio mwenye akili kuzidi kila mtuHuyo jamaa Erythrocyte ana mbwebwe sana,hakuna Tajiri anaishi Tandika Mwembeyanga,hiyo ni kutokana na Ulinzi Binafsi wa mwili na Mali za Tajiri maana huko Tandika ni pango la wanyang'anyi
Sasa ukitaka kufaidi pita saa 8 usiku uone uchafu ulivyotapakaa.Unaambiwa barabara inapikiwa hadi ugali huku ikikaangiwa hadi mihogo !
Mi najiuliza mbona buguruni sheli wameweza na kwasasa ni safi,waliokua wanafanya barabarani wametolewa.Mbagala ni hatari sana
Mimi mwenyewe siku niliyopita nilishangaa sana ule msongamano wa watu na uchafu wa barabara ya mwendokasi.
Watu wamejaa hovyo barabarani, yaani barabara ni chafu mno,Nilikuja nikaandika humu kuhoji,wakasema bado haijamaliziwa ukarabati
.. kwanza foleni kubwa maana barabara ina mchanganyiko wa watu na magari.
Mbona Morogoro road toka kimara kwenda kibaha watu hawafanyi hizo biashara katikati ya barabara ya mwendokasi.. na japokuwa ujenzi wake haujaisha ila siyo chafu kama ya Mbagala.
Watu wa Mbagala wameendekezwa.
Ni matokeo ya kuishi mwembeyanga. Ni wajuaji sana....😁😁😁😁(ila akiamka nitakoma🤣)[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hujiona yeye ndio mwenye akili kuzidi kila mtu
Ngoja aamke!Ni matokeo ya kuishi mwembeyanga. Ni wajuaji sana....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16](ila akiamka nitakoma[emoji1787])