Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.naona baada ya mwingira kuwaambia ukweli mmefura, sasa yanawatoka tu, jifunzeni kuheshimu haki za wengine ili nanyi mpate kuheshimiwa.
Merry Christmas meku!Mwingira amemwaga petrol kwenye kichuguu, mijoka imeanza kujitokeza na kuruka-ruka.
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
kutumia hekima kwa watu wasoheshimu haki na utu wa wengine ni matumizi mabaya ya hekima, wapenda haki wataendelea kuwatolea uvivu mpaka akili ziwakae sawa.Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Kazi y dini ni kuhubiri kuhusu ufalme wa mbinguni.kutumia hekima kwa watu wasoheshimu haki na utu wa wengine ni matumizi mabaya ya hekima, wapenda haki wataendelea kuwatolea uvivu mpaka akili ziwakae sawa.
mwingira wala hajafura, bali ameamua kuwatolea uvivu mashetani.kwani Mwingira kafura kwa sababu ipi?
Umeongea point sana kuna ujinga kama huu wa kuwafanya hawa watu wanaoibia watu sadaka kwa kuwatisha tisha kuhusu kifo na kuchomwa moto kuthaminiwa katika shughuli rasmi. Sijawahi kuona kiongozi ulaya akitaka kuhutubia eti anatanguliwa na maombi sijui nini ujinga mtupuHuu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mwingira njoo uone katoto ka Shetani kameibukia JF!!Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani mtu kanusurika kuuawa halafu akae kimya tu? Angekufa bado mngemtetea Shetani kwamba hausiki kama mlivyofanya kwa LISSU.Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Mauaji ya kimbari yaliyohamishiwa Tanzania toka Rwanda viongozi wa dini walipaswa kukaa kimya? Huo ufalme wa Mungu unapatikanaje kwa viongozi wa dini kunyamazia uonevu?Kazi y dini ni kuhubiri kuhusu ufalme wa mbinguni.
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nadhani kuna umuhimu viongozi wote wa dini wawe na vyeti vya theologia ya dini, na kama hawana makanisa yafungwe (rwanda style). Maana kauli zingine si za hekima hazijengi. Dkt Magufuli ndiye rais pekee aliyependwa na watanzania na kuchukiwa na matajiri.
Umeongea point sana kuna ujinga kama huu wa kuwafanya hawa watu wanaoibia watu sadaka kwa kuwatisha tisha kuhusu kifo na kuchomwa moto kuthaminiwa katika shughuli rasmi. Sijawahi kuona kiongozi ulaya akitaka kuhutubia eti anatanguliwa na maombi sijui nini ujinga mtupu