jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Huu utaratibu wa kuweka maombi kabla ya shughuli za Serikali usitishwe mara moja kwani wapo baadhi wanaochukulia kuwa ni necessity na wanatumia fursa hiyo vibaya.
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sijawahi kuona ibada au misa au dua inaanza kwa kumkaribisha kiongozi wa Serikali.
Zaidi sijasikia wasio na dini(ambao ni wengi Tanzania) wakipewa kipaumbele .
Let Political and adminstrative issues remain so!
Let Religious events be Religious events.
Mara Gwajima,Mara Shoo,Mara Mwingira wanajaribu kuji-overrate!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!