Syo Kwa vile Vichuguu vya tanuru za kuchoma Maiti🙄🙄Hadi Mwili wasisimka
 
Achana na habari za maambukizi kwenye jiji kubwa la Delhi, huko mashambani wapo poa tu, wanaendelea na misongamano kwenye nyumba zao za ibada na mikutano ya siasa kama kawaida!
Pia ogopa Sana media! Nawapongeza Kenya huwa hwaonyeshagi wagonjwa wa covid bali vitanda tu vya ICU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…