Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhWa kufunga paka kengele sasa!
Hata kama brotherTanzania hakuna corona. Tuongeze uzalishaji wa mazao ili tuwauzie hao wenye kuteseka na nafaka kwa sasa maana hawatakuwa na chakula mwakani
Hii picha ina mislead kidogoo:Kuchukua tahadhari peke yako hakukusaidii kitu.
Hii kitu inataka jamii mzima as whole ichukue hatua za kujikinga View attachment 1682937
Mmebaki kusema MTU WANGU WA KARIBU kama ni kweli kwa nini usianike ukweli hapa jamii ielewe.Hii kitu kwa kweli ipo sana tu, juzi Kuna mtu wangu wa karibu amepoteza Dada yake kama masihara, ndani siku kama 3 alikuwa analalamika kifua na koo juzi akazidiwa kupelekwa hospitali doctor akasema ana shida ya upumuaji,akashauru awekewe mtungi wa oxygen ndani ya masaa 4 akavuta...
Mmebaki kusema MTU WANGU WA KARIBU kama ni kweli kwa nini usianike ukweli hapa jamii ielewe.
Hii kauli ni dalili tosha kuthibitisha umbea!
Mjomba tema mate chini, hivi kuna mtu a anapenda kutania kuhusu kifoMmebaki kusema MTU WANGU WA KARIBU kama ni kweli kwa nini usianike ukweli hapa jamii ielewe.
Hii kauli ni dalili tosha kuthibitisha umbea!
Thank you very much!Kuchukua tahadhari peke yako hakukusaidii kitu.
Hii kitu inataka jamii mzima as whole ichukue hatua za kujikinga View attachment 1682937
Au TAKUKURU kabisa! 113Mimi nawasihi
Popote mtakapomuona mzee anaingia gesti ,pigeni simu polisi tuokoe wazee wetu
Quotion: Akiwa na mchepuko!!Au TAKUKURU kabisa! 113
na mchepuko huo ukiwa umenona ita na ambulance kabisa.Quotion: Akiwa na mchepuko!!
Na king'ora kwa sanaaaa!!na mchepuko huo ukiwa umenona ita na ambulance kabisa.